Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni kilaza statement yako haina mantiki, unadhami unaweza kuperuzi mtandaoni ukapata ile real experience ya kua na simu mkononi? You can’t analyze what you didn’t apply , ndo maana baada ya kuoshi pamoja ndio watu wanajuan kiundani. Kasome tena research af urudiMambo mengine ni ushamba. Simu ununue mwenyewe, uje kulalamikia watu huku!
Kwanini hukufanya research kabla ya kununua? Na kama umeona haifai, si ubadili uchukue inayokufaa kwa mahitaji yako kwanini uje kutangaza humu?
Natamani nikuone wewe mwanamkeMambo mengine ni ushamba. Simu ununue mwenyewe, uje kulalamikia watu huku!
Kwanini hukufanya research kabla ya kununua? Na kama umeona haifai, si ubadili uchukue inayokufaa kwa mahitaji yako kwanini uje kutangaza humu?
Kwahiyo wewe mwenye akili research hufanyika mitandaoni peke yake? Kwa akili hii hiyo iPhone imekuzidi akili.We ni kilaza statement yako haina mantiki, unadhami unaweza kuperuzi mtandaoni ukapata ile real experience ya kua na simu mkononi? You can’t analyze what you didn’t apply , ndo maana baada ya kuoshi pamoja ndio watu wanajuan kiundani. Kasome tena research af urudi
Tayana-wog ukiachana na zile nguo za animal prints hii unaijua?Simu zinazopendwa na Malaya na Mashoga hizo
Fact [emoji38]Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!
Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
Twende taratibu, don’t lose your temper.I didn’t expect to miss such trivial features, ulitaka nikaazime simu ya mtu nikae nayo kua naitest?
Jirani na me ninunulie aifoni 😜Jipe muda utaielewa
🙂🙂🙂🙂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jirani na me ninunulie aifoni 😜
Ukiwa hujui kitu sema ufundishwe na thread yako ilitakiwa kuwa specific kuwa nahitaji kitu fulani nimeshindwa kukipataI didn’t expect to miss such trivial features, ulitaka nikaazime simu ya mtu nikae nayo kua naitest?
🤭🤔🤣Tayana-wog ukiachana na zile nguo za animal prints hii unaijua?
Huyo jamaa hiyo simu hajui kuitumia kabisa na inaonekana kainunua baada ya kusikia hadithi sehemu hivyo yuko kwenye mafunzo ya simu yake ameona ajifunze kwa kutoa lawama….! Unaweza kukuta hata kuwasha tochi hadi leo hajajua au kurudi back 😂😂😁😁😁😁😁Twende taratibu, don’t lose your temper.
Unajua maana ya simu kuwekwa as display kwenye maduka ya simu? Kazi yake ndio kama hiyo uliyotakiwa kufanya.
Ungeenda uangalie features zote hizo kabla ya kununua. Huitaji kukaa na simu ndipo ujue inakufaa au lah.
Simu sio mke/mume useme itaficha features zake kukuhadaa.
Research gan angemuomba mtu atumie Kwanza ndo akanunue auMambo mengine ni ushamba. Simu ununue mwenyewe, uje kulalamikia watu huku!
Kwanini hukufanya research kabla ya kununua? Na kama umeona haifai, si ubadili uchukue inayokufaa kwa mahitaji yako kwanini uje kutangaza humu?
Wamesema za mashoga na Malaya 🤣🤣Jirani na me ninunulie aifoni 😜
Maneno ya wakosaji hayo 🤣🤣🤣Wamesema za mashoga na Malaya 🤣🤣
Yaani humu jf yanayosemwa ingekua ndo Hali halisi huko mtaani sipati picha
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.
1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.
In short apple complicate everything.
Huu ndio ukweliKwa umri wangu mdogo nilianza kutumia smartphone 2010s baada ya kuachana na kitochi.
wakati huo nilianza kutumia android devices kama tecno, huawei, infinix, samsung, xiaomi na Oppo kidogo sana.
mwaka 2019 niliamua kuhamia iphone, hadi hivi ninavyozungumza hakuna wa kunitenganisha mimi na iphone.
Lakini uhakika ni kwamba zaidi ya 75% ya watumiaji wa iphone kwa mara ya kwanza huwa wanaona wenge sana mwanzoni.