Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Acha kufoka sana na kuwashauri watu vitu unavyovipenda huoo ni ushambaa
Hii kima imekunywa nini leo.

Nimewashauri kupenda mahitaji ya matumizi yao ambayo hata siyajui, na sio kushobokea brand kama wewe hiyo 15 pro max ukiachana na kuangalia hizo porno zako nitajie jambo la maana unalolifanya hapo,
kweli hata vijana wapumbavu wanazeekaga asee

Afu na hizo emoji za kujichekesha hivi kweli we ni mzee au ujanani walishakuharibu.
Nitolee USHAMBA hapa
 
Huna uwezo wakunisaidia nimekujibu ulivyokuwa unadhani sina kila mtu kama wewe nizi brand kubwa zinatumika tuu changamkaa
Mi nachangamkiaga chini hapa nna kibunda cha kusaza nipe namba ya bibi yetu nimchangamkie atanunua hiyo pro max na chenji itabaki
 
Hii kima imekunywa nini leo.

Nimewashauri kupenda mahitaji ya matumizi yao ambayo hata siyajui, na sio kushobokea brand kama wewe hiyo 15 pro max ukiachana na kuangalia hizo porno zako nitajie jambo la maana unalolifanya hapo,
kweli hata vijana wapumbavu wanazeekaga asee

Afu na hizo emoji za kujichekesha hivi kweli we ni mzee au ujanani walishakuharibu.
Nitolee USHAMBA hapa

Simu yangu nilionunua kwa pesa yangu nikutajie matumizi nayoyatumia shekhe tuli na bado ujasema kuhusu porn umenikumbusha mbali kwa sasa siangalie ila nawanunua dada zako kuruka nawa uarabuni kuwachakazaa Vizuri tu
 
Mi nachangamkiaga chini hapa nna kibunda cha kusaza nipe namba ya bibi yetu nimchangamkie atanunua hiyo pro max na chenji itabaki

Kibunda daaah kweli wewe bado upo local 2015 ndo tumeacha kuwa na kibundaa alafu kwanza tafuta bakuzindukia maana na nachomiliki hata gharama yake ya skin care ughaibuni ndo inaweza [emoji2379]
 
Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!

Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
Eti kuna watu wanapenda iphone kama watoto wa shule na sisi tumuulize hilo huwezi kuta mzee wa miaka 50 anataka iphone aseme hao wazee wanahitaji utoto?

The issue ni kwamba mdau amecomplain iphone ni complicated muelekezeni how it is easy ajue kuwa alikuwa hajui
 
Eti kuna watu wanapenda iphone kama watoto wa shule na sisi tumuulize hilo huwezi kuta mzee wa miaka 50 anataka iphone aseme hao wazee wanahitaji utoto?

The issue ni kwamba mdau amecomplain iphone ni complicated muelekezeni how it is easy ajue kuwa alikuwa hajui

Ukichunguza,majolity ya watumiaji wa iphones ni watu wa mkumbo na ujiko tu,wala hawaimudu vilivyo.

Kwa mtu ambaye ni makini atakwambia kabisa mazuri na mapungufu ya simu hizo bila kuumauma maneno,mfano ubora wa vifaa vyao hauna shaka mara nyingi,shida iko kwenye features muhimu kama hizo alizouliza mleta mada,ios huwa hawapendi kusukumwa na maoni ya watumiaji.
 
Ww uyo[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sure niliiacha I4n kisa kuna chimbo 3 zilikataa ku install, nkaona niachane nayo tyuuh.

Siku I4n wakitoa limitations zao za kiwakii, mbna mapemaa tyuuh naishi nayo.
 
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.

1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.

In short apple complicates everything.
Simu ni Infinix huko kwingine mnapigwa pesa Bure 😁😁
 
Back
Top Bottom