Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Kitu nimegundua watu wengi WA apple huwa wanatoka kwenye infinix ,Tecno itel za TSH 500,000/= kushuka chini na hizo ni simu za ovyo zinatengenezwa Kwa ajili ya Afrika tu.binafsi Mimi namiliki Samsung A54 NI kama maduka mengi niliuliza zilikuwa 1200,0000/= lakin nlichukuwa 950,000/= ambapo NI simu ya Kati nzur sasa check picha yake apa chini afu uniambie ukinunua ya M2+ itakuaje.View attachment 2800837

wengi ni watoto waliomaliza shule baada ya kutelekeza infinix zao wakajiweka kwenye iphone x au 7plus,hakuna kitu bora wanachokijua.
 
Binafsi sitakuja kutumia IPHONE mpk siku nazama kaburini.

Kwanini?
Simplicity.. IPHONE haina Simplicity, ni kama kitu kinachokutesa ingawa umeweka hela.

Mie natumia Samsung ambayo nimeifanyia Mods ktk Rom yake, apart from it naweza kuitumia kama Computer.

Ni hivi, nikiwa ktk vikao vya kazi sibebi laptop nabeba Simu yangu, Mouse na device ya kufany screen sharing and sometimes a pointing device. Napata full features za Computer(laptop). Hii kwa Iphone ni ndoto.

Kingine watu wanajiaminisha security ya Iphone ipo strong kitu ambacho si sahihi (Kuna forum ya warusi na wachina nipo.
na tyr Iphone nyingi zimefanikiwa kuwa hijacked)

Nimeona hapo hoja ya SD slots haipo ktk Iphone. Naam, SD slot kwa ordinary user anatumia as a media source, but for me ina matumizi mengi sana hasa ya kitech. Mfano via SD card naweza weka payloads za kuifanya simu iwe na nguvu maradufu (Superuser). Pia via Sd Card nawez fanya Rom repairing, Via Sd card naweza export Forensic Image ya device yangu kwa matumizi yangu, naweza fanya cloning na rom duplication endapo simu itapata hitilafu ya ki hardware. Na mambo mengine mengi.

Sasa Malimbukeni mengi hasa wanotumia Iphone wao wanawaza Camera, sijui screen etc.. hawawazi matumizi ya Simu kwa undani.

Ilifanyika Research kwamba Africa wanaojua kutumia simu ni asilimia 0.5 tu. Wengi ni maandazi.
 
Udugu ban ya nn tenaa? [emoji24][emoji24][emoji24]

Utamuweza pimbi wa misitu ya kongo na crew yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Narudi niko bandarini kwanza kuna issue nafanya nimeingia one time
 
Ngoja wazee wa kichaka cha iphone x, xr,11 chache sana na 13 moja au mbili waendelee kutusumbua wazee wa infinix sahv tunakuja mdo mdo hatuna neno
 
Apple ndio walianzisha ujinga wa kuondoa SD card slots na audio jack.

Simu zao ni kama jela fulani hivi.

Apple Kuanzisha sio sababu kwa wengine kuacha kuweka SD card slots japo Android sehem kubwa wanamuiga 
 
Hizi simu zina addiction..
nilipoteza 1
Nikapewa ka infinix nitumie, huwezi amini nilikuwa nasumbuka katika matumizi.
Nikamrudishia mwenye nayo, nikatumia kitochi..

Mi mwenyewe iliharibika i-7 plus kioo tu na nipo porini nikapewa Samsung ilinishinda hadi nikaja town kubadili kioo.

iPhone ukiitumia muda mrefu inaathiri akili huwezi hamia kwenye Android hata iweje
 
watu wa iphone wanapoteseka ni kwenye mziki, spotify 6900, audiomack ni ya hovyo sana....

bora nibaki android niendelee kupirate mziki

Pole sana labda wamiliki wa juzi

IMG_6576.png
 
2014 mwishoni nilioga iphone, nilitumia siku tatu nikaiuza nusu bei baada ya kukataa kuunga bluetooth na redio ya gari, tokea siku hiyo ni mimi na android

Kwa sasa wameboresha radio nyingi ni Android zenye option ya  pia
 
Apple Kuanzisha sio sababu kwa wengine kuacha kuweka SD card slots japo Android sehem kubwa wanamuiga 
Bado hujafuta ukweli kwamba Apple ndio kaanzisha, hata kama hao wengine wamefuatisha, na wao wamefuatisha ujinga walioanzisha Apple.
 
Mambo mengine ni ushamba. Simu ununue mwenyewe, uje kulalamikia watu huku!

Kwanini hukufanya research kabla ya kununua? Na kama umeona haifai, si ubadili uchukue inayokufaa kwa mahitaji yako kwanini uje kutangaza humu?
Best comment ever seen Nifah
 
Bado hujafuta ukweli kwamba Apple ndio kaanzisha, hata kama hao wengine wamefuatisha, na wao wamefuatisha ujinga walioanzisha Apple.

Pole sana yaani ujue huu ni ujinga bado uufuatishe? Kuwa na msimamo wa kubaki tofauti kama  kuliko kuiga huo unaouita ujinga.
 
Pole sana yaani ujue huu ni ujinga bado uufuatishe? Kuwa na msimamo wa kubaki tofauti kama  kuliko kuiga huo unaouita ujinga.
Watanzania wengi kama wewe mna matatizo ya kutoweza kusoma kwa ufahamu.

Na pia mnapofushwa na mihemko ya ushabiki wa kuchagua pande mpaka mnashindwa kujadili hoja.

Unafanya logical fallacy ya logical non sequitur.

Sijatetea yeyote aliyefuatisha ujinga. Nikikutaka unioneshe hapo niliposema hilo, huwezi.

Nimesema Apple ndio walioanzisha ujinga, kitu ambacho mpaka sasa hujaweza kukanusha, umekiacha, una debate kitu ambacho hata sijakisema.

Umeacha hoja niliyoitaja, halafu unataka kunisema kwa hoja ambayo hata sijaitaja.

I did not exonerate anyone for following Apples steps, I merely pointed out that Apple is the pioneer in this buffoonery.

Sasa kwa guluguja asiyejua kusoma kwa ufahamu anayeenda kwa mihemko ya ushabiki wa teams, hapo atasoma anavyotaka yeye, na mimi siko hapa kumfundisha kusoma.

Nina mashaka kama una uwezo wa kufuatilia mjadala hoja kwa hoja.
 
Back
Top Bottom