Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Sare atafunga Lamomy nae sijui kavuruga wapi jamani naona ako na ban
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeona, nimepumzika ban sahv, yaan nlivokuwa napewa utadhan kuna Mode alinitongoza nkamkataa, woiiiiih.

Saree mkuje na mizawadiii mingiii, c mnajua cna jamboo dogo, had shem wenu asijute kuangukia kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitu nimegundua watu wengi WA apple huwa wanatoka kwenye infinix ,Tecno itel za TSH 500,000/= kushuka chini na hizo ni simu za ovyo zinatengenezwa Kwa ajili ya Afrika tu.binafsi Mimi namiliki Samsung A54 NI kama maduka mengi niliuliza zilikuwa 1200,0000/= lakin nlichukuwa 950,000/= ambapo NI simu ya Kati nzur sasa check picha yake apa chini afu uniambie ukinunua ya M2+ itakuaje.View attachment 2800837
Camera naipa 6/10
 
iPhone simu za maonesho sana ''show off'', complications kibao, limited access kwa baadhi ya apps hata watumiaji wake wengine baadhi ya app hawajui kuzitumia....

Ukiwauliza sanasana watakwambia tunaipenda kwa sababu ina security nzuri... Suala la Camera, RAM/ROM, Performance na vitu vingine ni za kawaida sana siku hizi kuna simu kali za ANDROID ukilinganisha na ''Aifoni", iPhone anakaa chini vizuri tu

Wale wa ios na apple najua mtakuja kunishambulia hapa ila ukweli ndio huo, nilishatumia hadi i14PM sijaona jipya nikaona nirudi zangu Android
Acha fix weweeee
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja aje atakwambia mbibi anakuchekea kwa kutisha tulimsema sana abadili akatugomea hatimaye ameibadili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siyo vizuri Auntie..
 
Back
Top Bottom