Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Avatar aliyokuwa anatumia mwanzo ilikuwa inanitisha sana [emoji23]Kwann Da Shuu?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Avatar aliyokuwa anatumia mwanzo ilikuwa inanitisha sana [emoji23]Kwann Da Shuu?? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Najua sasa hata ninachochekea[emoji23][emoji23][emoji23] Da shuu unacheka nn wee??
Avatar ipii alikua anatumia?? [emoji23][emoji23][emoji23]Avatar aliyokuwa anatumia mwanzo ilikuwa inanitisha sana [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja aje atakwambia mbibi anakuchekea kwa kutisha tulimsema sana abadili akatugomea hatimaye ameibadiliAvatar ipii alikua anatumia?? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeona, nimepumzika ban sahv, yaan nlivokuwa napewa utadhan kuna Mode alinitongoza nkamkataa, woiiiiih.Sare atafunga Lamomy nae sijui kavuruga wapi jamani naona ako na ban
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mbna cjaionaa hiyoo, khaaah[emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja aje atakwambia mbibi anakuchekea kwa kutisha tulimsema sana abadili akatugomea hatimaye ameibadili
[emoji23][emoji23][emoji23] mke wa mtu mie, kidampa mwenye nyota na bahati yangu town, mama mjengo now.[emoji23][emoji23][emoji23] Najua sasa hata ninachochekea
AaaahNalala bila nguo mwenzioo, ni mwendo wa "geuka huku"
Eeeeh!Aaaah
Camera naipa 6/10Kitu nimegundua watu wengi WA apple huwa wanatoka kwenye infinix ,Tecno itel za TSH 500,000/= kushuka chini na hizo ni simu za ovyo zinatengenezwa Kwa ajili ya Afrika tu.binafsi Mimi namiliki Samsung A54 NI kama maduka mengi niliuliza zilikuwa 1200,0000/= lakin nlichukuwa 950,000/= ambapo NI simu ya Kati nzur sasa check picha yake apa chini afu uniambie ukinunua ya M2+ itakuaje.View attachment 2800837
Oooooo!Eeeeh!
Samsung na pixel sasa hivi midrange zao ziko vizuri sanaStill kwa mid range hii ni simu nzuri kabisa no question
Nina pixel 3XL na Mi Poco F3 on paper Mi inatakiwa awe beast ila hapana.Samsung na pixel sasa hivi midrange zao ziko vizuri sana
Mwenyew kabla sijasahau noache na Wikipedia tu😆😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mxxxiiieeew
Acha fix weweeeeiPhone simu za maonesho sana ''show off'', complications kibao, limited access kwa baadhi ya apps hata watumiaji wake wengine baadhi ya app hawajui kuzitumia....
Ukiwauliza sanasana watakwambia tunaipenda kwa sababu ina security nzuri... Suala la Camera, RAM/ROM, Performance na vitu vingine ni za kawaida sana siku hizi kuna simu kali za ANDROID ukilinganisha na ''Aifoni", iPhone anakaa chini vizuri tu
Wale wa ios na apple najua mtakuja kunishambulia hapa ila ukweli ndio huo, nilishatumia hadi i14PM sijaona jipya nikaona nirudi zangu Android
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siyo vizuri Auntie..[emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja aje atakwambia mbibi anakuchekea kwa kutisha tulimsema sana abadili akatugomea hatimaye ameibadili