Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata sijui nini nachekaUkioleka au kuwa busy penzini kuna vitu unajikuta unavisahau tu...
Karibu tena basi...Miss you pia Dogo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata sijui nini nachekaUkioleka au kuwa busy penzini kuna vitu unajikuta unavisahau tu...
Karibu tena basi...Miss you pia Dogo..
Wananikela sana awa wanadamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyu ndio uncle wangu mimi MO
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatimaye Mungu amesikia kilio changu auntie tuishi humu sio yule aliyekuwa anatutisha kwa kutuchekea
Nilikuwa napita kimyakimya kwenye thread ya wenye iphone zao kukuona we tu nimeshindwa kukaa kimya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niache.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata sijui nini nacheka
Izoom hii picha mara moja tu.
Kisha angalia picha details zinaonekanaje.
Baadhi ya simu hata ukizoom bado details zinakua nzuri kama ukiwa haujazoom mkuu vipi mazoezi unaendeleaje
Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!iship ni kama ng'ombe.
Zipo dosari nyingi tu za msingi ambazo ni kama kutopata option ya kutuma sms moja kwa moja kwenye namba mpya uliyoiingiza ktk dialling screen mpaka uipige iingie kwenye history au uisave kwanza,huu ududu najua huujui sababu unachojua ni kujipiga picha chooni tu.
Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
iPhone simu za maonesho sana ''show off'', complications kibao, limited access kwa baadhi ya apps hata watumiaji wake wengine baadhi ya app hawajui kuzitumia....
Ukiwauliza sanasana watakwambia tunaipenda kwa sababu ina security nzuri... Suala la Camera, RAM/ROM, Performance na vitu vingine ni za kawaida sana siku hizi kuna simu kali za ANDROID ukilinganisha na ''Aifoni", iPhone anakaa chini vizuri tu
Wale wa ios na apple najua mtakuja kunishambulia hapa ila ukweli ndio huo, nilishatumia hadi i14PM sijaona jipya nikaona nirudi zangu Android
Mambo mengine ni ushamba. Simu ununue mwenyewe, uje kulalamikia watu huku!
Kwanini hukufanya research kabla ya kununua? Na kama umeona haifai, si ubadili uchukue inayokufaa kwa mahitaji yako kwanini uje kutangaza humu?
Ajulikane anatumia iPhone hiyohiyo anayoiponda.Yaani hadi unajiuliza lengo la mleta mada ni lipi hasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mxxxiiieeewSim nyingine yenye kunishawishi ni NOKIA pekee [emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa nimechekaa, nafurahi ukiwa unani mic sis.Ukioleka au kuwa busy penzini kuna vitu unajikuta unavisahau tu...
Karibu tena basi...Miss you pia Dogo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahWenye iPhone HAWANA MARINDA YA VIJAMBIO
Udugu ban ya nn tenaa? [emoji24][emoji24][emoji24]Wizo jiheshimu ushakuwa mtu mzima wewe ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapoo tena wengi mnoo, sema uoneshwee.Sijawah ona mashoga wa kibongo wanatumia simu tofauti na iphone
Kwann Da Shuu?? [emoji23][emoji23][emoji23]Hatimaye Mungu amesikia kilio changu auntie tuishi humu sio yule aliyekuwa anatutisha kwa kutuchekea
Nilikuwa napita kimyakimya kwenye thread ya wenye iphone zao kukuona we tu nimeshindwa kukaa kimya
Harusii ipoo!! Muandae Sare waduguu jomoneee.Aririiiii harusi tunayooo
[emoji23][emoji23][emoji23] Da shuu unacheka nn wee??[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata sijui nini nacheka
Ila watu jamaniii khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiufupi hiyo simu umehongwa baada ya kumwagiwa kimiminika cheupe chenye virusi wa HIV