Martyr 360
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 433
- 660
Watu wanashindwa kuelewa kitu kimoja unatakiwa unaponunua kitu kama simu angalia majority inayo kuzunguka ,sasa wewe unanunua iPhone alafu unazungukwa na window na android utateseka tuNina mwaka sasa natumia Mac Book pro, ukweli ni kwamba Windows is the best OS. Ni tools nyingi na ni rahisi kutumia, performance nzuri, look and feel nzuri etc. Device za apple ni majina tu hazina cha ziada ku compare na bei yake.
ofcourse shida tunashindana brand na toleo maarufu, ni kweli kuna matoleo kweli ukiangalia unaona hii kitu sio poa, lakini ukishainunu ukajijaji kwa matumizi yako unaona mambo ni yale yale tofauti ni upya wa brand, unajikuta hakuna kipya ulichopata kimatumizi zaidi ya pride that you own new brandkuna ukweli hapa,
simu yeyote ya 2M+ lazima iwe nzuri
😂😂😂 hizi cm zinapiga chenga tuNaijua babe, halafu nimeona maelekezo yako ya kuhusu kuongeza na kupunguza mwanga kwenye torch ikabidi nifanye majaribio maana nilikuwa sijui 🤣🤣🤣.
Ubarikiwe😊😍
Hata iwe 4Yaan huyu ana iPhone 6s anasumbua
Huna chochote ulichokigunduaAlafu nilichogundua simu nyingi za iPhone za wadada awa njaa njaa NI feki yaan ukimwambia akupige picha Bora hata Tecno tochi
I know.. ila Microsoft is the best… ina vingi nimevizoeaHIYO MAIL ALTERNATIVELY UNAWEZA UKAWEKA AKAUNTI YAKO YA GMAIL NA OUTLOOK ukaendelea kula maisha, so hamna haja ya kuinstall app ya gmail au outlook, nilikuwa nafanya hivyo kipindi natumia iPhone....
Reminder kwa sisi wasahaulifu nilikuwa naitumia sana, nikipata notification mambo yanakuwa fresh
Sema mtu ukimgusa sehem anaanza kurusharusha miguuHuna chochote ulichokigundua
Una makasiriko ya njaa 😂😂 si ukale aisee ndio urudi jf kupoteza muda
Sasa tatizo nini. mbona app nyiungi za android tuna download.we bibi acha uongo hizi ni mpaka u dowload sio stock app,
Sorry, mbona ulikiandika wewe ni utoto mtupu, badala kumuelekeza aliyokosoa wewe umeishia ..............[emoji1787][emoji1787][emoji1787] iphone inaududu mwingi sana sema wewe ni wa kitambo umechakaa mzeee ....Very easy to use iphone but very complex kwa watu wenye utoto mwingi maana inaitaji akili tulivu kufanya utoto kwenye iphone Over !!
Am out [emoji1787][emoji1787]
Umaskin gan sasa, kama unajidanganya ukiwa na iPhone utaonekana unahela umepitwa na wakatiUmeongea jambo zito sana na lenye uhakika. 🤣🤣
Si kila mtu anaetaka row ya numbers kwenye keyboard.achana na keyboard za ku download, iphone haina hiyo feature
Hakuna zaidi ya mfamle IPhone, ni zaidi ya uijuavyo. Wewe fikiria mpaka mademu wanagawa papuchi kwa hii kitu, si mchezo mkuu. Muulize mwanamke anataka ndoa au IPhone maishani mwake, usikie jibu lake.Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.
1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku schedule message
3. Nikitaka kujua running apps yaani hadi ni click katika specific area very trickly na huwezi kuzi clear kwa pamoja.
In short apple complicates everything.
Watu wa Android wako smart sana.Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!
Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
OOOH basi sawa DI know.. ila Microsoft is the best… ina vingi nimevizoea
Ukinipeleka kwenye mail utanichanganya.
Kwenye uwanja wa smartfoni hakuna iiliyowahi kunisismua,iOs ishakuwa kama mdosho kila demu anayo, android ukiachana na matumizi basic hakuna jipya la kutisha,
sema wabongo tunakaushamba kwenye hizi brand kubwa ila ukiangalia performance kuna simu nyingine ziko vyedi ukikompare na brand yako ungesave hata 40%.
sina ushabiki na simu yoyote ushauri wangu tuache ushamba,
angalia unachokihitaji kwenye simu camera, processor, network coverage, upgaradable OS na mambo mengine ya msingi kuzungumzia brand ni ushamba wa kutojua matumizi ya simu, yaani unaweza kuta manzi anajibana, anadanga, anapiga mizinga ili anunue ayifoni lakini akishainunua hana matumizi yanayoendana na gharama na usumbufu aliopitia kutafuta hiyo simu, anaweka makava ya midoli na kuitoa toa mbele za watu, na kupiga selfie nje na hapo hamna cha ziada ambacho angekikosa kwenye tekno y3.
USHAMBA TU mi natumia nokia ya tochi,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba wamiliki iphone hawapendi utoto[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kuna watu wana utoto kama watu wa iphones??
Mfano hapa badala ya kumuelekeza number raws inakaa wapi ktk keyboard umeishia kujishebedua tu!!!!
Lingekuwa tatizo ni la android kungekuwa na watu kibao wameshamuelekeza.
Paragraph ya 1 ilifanya niachane na I4n.iPhone simu za maonesho sana ''show off'', complications kibao, limited access kwa baadhi ya apps hata watumiaji wake wengine baadhi ya app hawajui kuzitumia....
Ukiwauliza sanasana watakwambia tunaipenda kwa sababu ina security nzuri... Suala la Camera, RAM/ROM, Performance na vitu vingine ni za kawaida sana siku hizi kuna simu kali za ANDROID ukilinganisha na ''Aifoni", iPhone anakaa chini vizuri tu
Wale wa ios na apple najua mtakuja kunishambulia hapa ila ukweli ndio huo, nilishatumia hadi i14PM sijaona jipya nikaona nirudi zangu Android
Nimechekaa mbavu cnaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simu zinazopendwa na Malaya na Mashoga hizo