It's better Ku skip post kuliko kutolea mapovu yasio na maana kwangu. Ndio nina uandishi mbovu, now what? Njoo usome wewe badala yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Non of ur businessWewe utakuwa mwalimu wa aina gani kama unashindwa kuwa makini kwenye uandishi wako...?!
Sent using Vertu Signature Cobra
Hahaha wanaume tunajitesa sana kwa vitu vya ajabu pamoja na shida zote za dunia hii bado mtu anajongezea shida nyingine za kujitaki tuInashangaza sana
Ni heri umfatilie labda kama unamtafutia sababu ya kumuacha
Rudi Shule English hujuiDon't mess up with my dick, if u need it I'm ready to **** ur unus.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndio division zero
Toa ushauri acha kujifanya wewe ndo unajua kiswahili mno kwanza unajua chimbuko la kiswahili wewe?Kwa huu uandishi wako, nachelea kusema wewe ni kilaza wa kutupwa, Kiswahili lugha yako ya taifa unashindwa kuimudu halafu unajiita mwanachuo?
Inaumiza sana kuona Taifa linalotambulika kama chimbuko la lugha ya kiswahili wasomi wake hawajui hata uandishi sahihi wa maneno na sentensi zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaaa! yaaani kiingereza hawezi na kiswahili pia?Rudi Shule English hujui
Yan nijifunze kupitia kejeli na dharau zako,.Kukosoa uandishi wako mbovu ndiyo kukutolea povu? we kijana unaonekana jeuri usiye na haiba ya kujifunza,
Yaani mimi nije kusoma chuo? tulishapita huko kitambo kipindi kile mwanachuo ni mwanachuo haswa! siyo sasa hata kujieleza hujui na huna tofauti na mhitimu wa darasa la saba.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha mkuu kazi ipo mimi sitaki hata kujaribu #i'm playing my part only...rikizo
Kila siku mnaambiwa kama hauko tayari kumuacha usimdukue
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndio wale division zero English mbovu hata kiswahili shida pia
Yaani nitoe ushauri kwa mtu aliyejiridhisha pasi na shaka kuwa anatombewa huyo demu wake?Toa ushauri acha kujifanya wewe ndo unajua kiswahili mno kwanza unajua chimbuko la kiswahili wewe?
BTW mtoa Uzi kwanza pole sana. Wadada wengi wa chuo ndivyo walivyo,
Kikubwa umeshamwelewa madudu yàke we mwache tu aendelee kukuonyesha upendo fake ila hapo na wewe anza kujipanga either kutafta replacement ili siku mkija kubwagana usichukue uamzi utakao kucost maishan mwako.
Wewe siyo wa kwanza kusalitiwa.
We songa nae taratibu itafika stage unamwacha mazima kama utaona bado anaendelea na upuuzi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndio wale division zero English mbovu hata kiswahili shida pia
We upo nyuma nyuma Sana technology hua haisubirii mtuAcha uongo huwezi kudukua msg za Whatsapp tunga story nyingine.