Nilichokikuta kwenye simu ya mpenzi wangu nimebaki njia panda, niendelee naye au nimuache?

Ninyi wote nimewadharau mdogo wene kawaona wa thaman kajitokeza kuomba ushauri mnamtukana,ukute ninyi hao hao mnachati na wanawake wasiojua kutofautisha r na l, s na x Nonsense.
 
Ndio ukome, viherehere vingine sio vizuri.
 
Huuu ndio ushauri sasa.
 
Kwa jinsi anavyoandika mleta mada mnaamini kweli huyu ni mwanafunzi wa chuo kikuu? Mimi siamini.

"If such are the priests, God bless the congregation".
 
Me nilidhani lengo lako la kumdukua unatafuta sababu ya kumuacha, kama unataka kuendelea na mwanamke usimchunguze karibu kila demu anacheat wanatofautiana viwango tu kikubwa ni kuangalia mwenye foleni ndogo

Heavy Weight
 
Mkuu ukiamua kufanya biashara ya kuuza utumbo usiogope inzi. Kupekua simu ya mwenzio unapaswa uwe na ustahimilivu, acha kujitafutia magonjwa ya moyo
 
hahahahahahahahahahahahahah watu wanajitakia stress za kujiua na kufa na kihoro bila sababu leo hii bado kuna Mwanaume na akili timamu anamuamini kumbe knachoitwa Mwanamke... Really? Hivi kuna mtu alimpenda mwanamke kama Samson? Lakini na kumpenda kwake kote hakumwambia ukweli mara ya kwanza na baadae akaingia kichwa kichwa na kumwambia ukweli unajua kilichomtokea? Eti mtu umeshuhudia kabisa Tanga alikuwa kwa Mwanaume, Morogoro alikuwa kwa Mwanaume, Dodoma amekuletea umekula mzigo , Huko Chuo nako anapigwa kama kawa? Yaani bado unataka ushauriwe nini Ndugu? Unadhani hata ukimwambia ukweli ndiyo ataachana na hao wanaume wako? Yaani kweli unapotezza muda kuja kuomba ushauri? Kwa nini usimwamini Muda unapokuwa naye tu ..Jamani sometime tuwe kidogo tunawaza vitu vinavyotuingizia hela khaaa
 
Soma hiyoooooooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe Upo UDOM you got nothing to loose. Hapo naskia mnajirambja tu mtakavyo pia hujui kuandika acha tu upigiwe na smart niggas in the hood.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PIGA CHINI!
 
M nakereka na watu wanaoshindwa kutoa ushaur et linaangalia mwandiko sijui yanafikiri kila mtu anasoma kiswahili cha isha we umesoma kama huna cha kushaur a upite tu yaan lingine limtu lizima et unazidiwa na mwanangu wa la tano yaan mnajichoresha na kuonekana hamna akil

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nawashangaa sana wanao kosoa typing errors, hapa JF. hivi mnakosaga vya kuchangia aisee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…