Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilichogundua jamaa hana jinsi hata ya kujitetea kila kitu anakubali,,, kuna dada zake wametoka kwa wame zao wamekuja kusalimia wakamwambia hatuna nauli ya kurudi wala hatuna cm za mawasiliano jamaa katoa hela kawapa......na nguo kawaliwanunulia. , jamaa hana cha kujitetea
Ndugu nilishakaa nae nikamwambia kila mwisho wa mwezi anipe laki 2 tu nami niongeze za kwangu angalau kila mwezi tunafanya kitu,,, akakubalu ila nimiez 5 tangu tukubaliane hivyo hajafanya kitu kama ichoNafikiri una machaguo mawili tuu
1. Umuache
Hii ni kama unahisi huwezi kuprosper nae kiuchumi kwa mawazo yako yanavo kutuma juu ya mzigo alio nao.
2. Usimuache
Kwa kuwa umeona hali halisi ya ukweni , kaa naye ongea naye kwa kirefu na kwa kutoa mapendekezo juu ya nn mkifanye ili maisha yenu yawe sawa pasipo kuathiri harakati za kuwasaidia hao ndugu zake, coz hujui hao wamemtoa wapi na wamemsaidiaje hadi kufika hapo alipo na kukukutana na ww hivyo huwezi ukamwambia aache kuwasaidia,
Namna nzuri ni kupanga mipango ya kuanzisha kitu ambacho kitakuwa kinawasaidia hao ndugu zake kujisimamia ( kama unampenda kweli huyo jamaa ako ) Pasipo kumtegemea jamaa ako .
Huyo jamaa ako ana tatizo kidogo ,Ndugu nilishakaa nae nikamwambia kila mwisho wa mwezi anipe laki 2 tu nami niongeze za kwangu angalau kila mwezi tunafanya kitu,,, akakubalu ila nimiez 5 tangu tukubaliane hivyo hajafanya kitu kama icho
Jaman mi sijui namsaidiaje sababu tulishakaa nikamwambia kila mwisho wa mwezi anipe laki 3 au 2 tufanye maendeleo lkn hataki ikafikia hatua alipoona namwambia maendeleo ikabidi anifiche kipato chake,,,mshahara ukiingia siambiwi wala akipata semina haniambii kapata ngapi mi nafanyaje?"Poverty circle". Kuna dhana kwenye uchumi isemayo "mduara wa umaskini". Hii dhana imejikita katika kuonyesha jinsi ilivyo vigumu kwa mtu aliezungukwa na umaskini (wa kipato) kufanikiwa hata kama akifanya juhudi za kutoka humu kwa sababu wale wanaobaki kwenye mduara huo humvuta kumrudisha ima kwa kujua au kwa kutokujua(ndicho kinachomtokea mumeo). Ndio maana suala la kuushinda umaskini ni la jamii nzima na si la mtu mmoja mmoja.
Mumeo kwa kushirikiana na wewe mnayo nafasi ya kusonga mbele. Mosi kaeni pamoja mjaribu kupanga namna ya kujiwekea akiba. Pili, tafuteni namna ya kuongeza kipato nje ya mishahara yenu. Tatu, tafuteni njia ya kupunguza namna ya kutoa misaada huko ukweni ili muweze kufanikisha ya hapo juu. Kwa hili shirikiana na mumeo na lenu liwe moja. Mfano katika ya mwezi mnaweza kuwataarifu wazazi(wa mumeo). Kuwa kuna matatizo ya kikazi yametokea na ofisi imeamuru kila mfanyakazi afidie hasara kwa kukatwa mshahara wake kwa kiasi kisichopungua laki tatu kwa mwezi kwa kipindi cha mwaka mzima. Kitu cha muhimu ni kulishana yamini ili siri hii isitoke ima mpo pamoja au mmefarakana.
Uso umeubwa na haya na kuna watu wenye mioyo yenye kuguswa na matatizo ya wengine na kusahau yake. Mumeo ni mmoja wao. Jitahidi umsaidie.
Acha kuniangusha dada yangu. Mwanaume ni shujaa na jasiri kwenye uwanja wa vita na si kwenye mahaba. Wanawake Mungu kawapa kipawa kikubwa katika ushawishi. Kaa chini, waza huku ukiwazua, mumeo huyo unamjua na unajua "angle" ipi utapitia. Kila la kheri na Mungu akutangulie.Jaman mi sijui namsaidiaje sababu tulishakaa nikamwambia kila mwisho wa mwezi anipe laki 3 au 2 tufanye maendeleo lkn hataki ikafikia hatua alipoona namwambia maendeleo ikabidi anifiche kipato chake,,,mshahara ukiingia siambiwi wala akipata semina haniambii kapata ngapi mi nafanyaje?
Zungumzeni dada yangu.Sasa nifanyeje? maana mwenzangu yeye dizain kama anawaogopa wazazi
Unaweza kuta kusoma kwake,waliuza Mali zote za familia na hao ndugu zake walitumia nguvu zao pia,kwahyo lazma alipe fadhilaDhaaa........huo nao ni upofu, yaani mtu umesota kusoma umepata kazi kisha unaanza kununulia nguo dada zako, hii ndio akili gani sasa. Jambo analopaswa kufanya ni moja tu. Aachanr na familia na ashughulike kwa kiasi tu na baba na mama yake pekee kwa kiwasaidia makazi bora chakula wapambane wenyewe. Hao ndugu wapambane na hali zao tu. Hiyo lazima kuwasaidia imewekwa na nani. Otherwise mtayumba sana na huyo mwanaume asiye na msimamo
Ndio maana nimeishia kumsamehe na kumuonea huruma tuUnaweza kuta kusoma kwake,waliuza Mali zote za familia na hao ndugu zake walitumia nguvu zao pia,kwahyo lazma alipe fadhila