happy amos
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 251
- 434
- Thread starter
-
- #41
Mimi ninabiashara ambayo nilimuomba aniongezee mtaji akakataa.... Nikamwambia katika kipato chake nikamuambia awe anatoa laki 2 tu anipe ili tuanze maendeleo bado hakunisapot baada ya kuona naongelea maendeleo sana ikabidi siku hz ananificha kipato chake wala akipata semina haniambii wala sijui matumiz yake.... Nikawa kimya tuMshauri mmeo kwenye 1.4ml awe anatoa lak 4 tu kwao nyingine mfanye maisha yenu.
Pili kama atagoma au haeleweki basi atengeneze biashara ya kuwaingizia kipata tofauti na mshahara.
Tatu...wewe mwenyewe anzisha kitu cha ziada ikibidi akuongezee nguvu.
Tabia za dada na watoto wao na wazazi wote kumtegemea kaka ktk familia ni kawaida kwa wasukuma. Hapo mtanisamehe ndugu zangu wa kabila hiyo sina nia ya kuwadhihaki.Dhaaa........huo nao ni upofu, yaani mtu umesota kusoma umepata kazi kisha unaanza kununulia nguo dada zako, hii ndio akili gani sasa. Jambo analopaswa kufanya ni moja tu. Aachanr na familia na ashughulike kwa kiasi tu na baba na mama yake pekee kwa kiwasaidia makazi bora chakula wapambane wenyewe. Hao ndugu wapambane na hali zao tu. Hiyo lazima kuwasaidia imewekwa na nani. Otherwise mtayumba sana na huyo mwanaume asiye na msimamo
mkuu doh upo,..Kupanga ni kuchagua hata sisi hatujatoka kwny familia nzuri ila unafanya kitu kutokana na uwezo wako...mm huwa natoa msaada kwa watt ambao wazazi wao wamefariki haswa linapokuja suala la ada huwa kama ndugu tunachangia kwa anayeweza.
Issue ya kumnunulia shangazi mpk chupi sitikuja kufanya mpk nakufa kila mtu apambane na maisha yake tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hapa beting lazima ihusike..,
Jitahidi sana muwaze mradi utakaoweza kuendesha nyumba yenu. Ikifika hata mahali wote hamna kipato mradi unakuwepo. Mradi wenu ukishasimama wenyewe. Mshauri afungue mradi mwingine kwao. Mradi uwahusishe ndugu zake na uweze kukidhi mahitaji yao. Kiasi kwamba kila ndugu apate kipato toka kwenye mradi huo kwa kadiri ya mchango wake.Siku zote nimekua nikilalamika hum mme/mwenzangu kutohufia nyumban na kuhamishia nguvu kwao ila nilichokiona mpaka nimemuonea huruma
Iko hivi mi na mwenzangu tulikua tunaishi pamoja tangu mwaka Jana,,,,,
Mwaka huu wazazi wakaamua wakamilishe taratibu zote ikabaki ndoa tu
Sasa katika maisha na mwenzangu wajibu wake ndan umekua mdogo maendeleo hakuna hafanyi
Nimeenda kwao likizo nimechoka mwili na roho nimepoteza ndoto za kua na maisha mazuri kabisa
Jamaa ukoo mzima iwe shangazi, mjomba,Dada zake hata walioolewa yeye ndio anawahudumia
Nimemuonea huruma maana sio ombi nilazima,,
Familia ile,,,dada zake wavae aanunulie nguo kila siku
Ikifika mwisho wa mwez hela zote zinaenda kwao ikifika tarehe 10 mshahara umeisha,,,,,
Nilikua nachukia namuona hana akil za maendeleo lkn kwa hali nilivyoiona hata yeye hana jinsi
Jmn nishaur nifanyeje tue na maendeleo na sisi? sababu kipato changu ni lak 3 binafsi mwenzangu yeye anapokea mil 1.4_5 lkn majukum ni mengi kwao hawez kufanya chochote
Nifanyeje jmn?
Unaeza kuta dada zake waliacha shule au kutopelekwa shule kabisa ili baba yake aweze kumsomesha yeye. Pengine dada zake ndio waliamua kuacha kwenda shule wakaenda shamba ili wamlipie ada kaka yao.Dhaaa........huo nao ni upofu, yaani mtu umesota kusoma umepata kazi kisha unaanza kununulia nguo dada zako, hii ndio akili gani sasa. Jambo analopaswa kufanya ni moja tu. Aachanr na familia na ashughulike kwa kiasi tu na baba na mama yake pekee kwa kiwasaidia makazi bora chakula wapambane wenyewe. Hao ndugu wapambane na hali zao tu. Hiyo lazima kuwasaidia imewekwa na nani. Otherwise mtayumba sana na huyo mwanaume asiye na msimamo
Mwambie huyo jamaa aache ujinga wa kuhudumia ndugu wengi namna hiyo anatakiwa angalau awakumbuke wazazi mara moja moja kama na wao wana uwezo wa kufanya kazi si lazima hata wao kuwahudumia ila kama wamezeeka hawajiwezi anaweza fanya hivyoSiku zote nimekua nikilalamika hum mme/mwenzangu kutohufia nyumban na kuhamishia nguvu kwao ila nilichokiona mpaka nimemuonea huruma
Iko hivi mi na mwenzangu tulikua tunaishi pamoja tangu mwaka Jana,,,,,
Mwaka huu wazazi wakaamua wakamilishe taratibu zote ikabaki ndoa tu
Sasa katika maisha na mwenzangu wajibu wake ndan umekua mdogo maendeleo hakuna hafanyi
Nimeenda kwao likizo nimechoka mwili na roho nimepoteza ndoto za kua na maisha mazuri kabisa
Jamaa ukoo mzima iwe shangazi, mjomba,Dada zake hata walioolewa yeye ndio anawahudumia
Nimemuonea huruma maana sio ombi nilazima,,
Familia ile,,,dada zake wavae aanunulie nguo kila siku
Ikifika mwisho wa mwez hela zote zinaenda kwao ikifika tarehe 10 mshahara umeisha,,,,,
Nilikua nachukia namuona hana akil za maendeleo lkn kwa hali nilivyoiona hata yeye hana jinsi
Jmn nishaur nifanyeje tue na maendeleo na sisi? sababu kipato changu ni lak 3 binafsi mwenzangu yeye anapokea mil 1.4_5 lkn majukum ni mengi kwao hawez kufanya chochote
Nifanyeje jmn?
Mkuu laki nne yote awatumie ya nini? Wazazi wanapaswa watumie laki 1 tu ya mboga kwa mweziKama mnaishi karibu na nyumbani ni bora kwanza kufikiria kuishi mbali na nyumbani, ikiwezekana hata kuhama kanda hio ambayo ni karibu na kwao na kuhamia kanda nyingine kabisa.
Halafu ahakikishe anaseti bajeti ya si chini ya laki nne tu kwa mwezi kuwatumia wazee wake kijijini, hapo atapata maendeleo.
Vinginevyo atasumbuka na watu sana, siku akiyumba kiuchumi hao hao watageuka kumcheka tena.
Dunia ya sasa inabidi kuishi kwa akili sana hasa na ndugu.
Huyo jamaa yako ni bwege sana kwa nini asikatae? Kwa mtindo huo yeye ndo kadabisha hiyo familia kujaa mpaka mashangazi wako hapo kwa sababu wanajua kuna kula tu bila shida,mwambie aache undezi anatuaibisha wanaume wenzieNilichogundua jamaa hana jinsi hata ya kujitetea kila kitu anakubali,,, kuna dada zake wametoka kwa wame zao wamekuja kusalimia wakamwambia hatuna nauli ya kurudi wala hatuna cm za mawasiliano jamaa katoa hela kawapa......na nguo kawaliwanunulia. , jamaa hana cha kujitetea
Hao ndugu zake kwa akili hizo hata ukiwategemeza kiuchumi watakula mtaji na kurudi tena kukuombaNafikiri una machaguo mawili tuu
1. Umuache
Hii ni kama unahisi huwezi kuprosper nae kiuchumi kwa mawazo yako yanavo kutuma juu ya mzigo alio nao.
2. Usimuache
Kwa kuwa umeona hali halisi ya ukweni , kaa naye ongea naye kwa kirefu na kwa kutoa mapendekezo juu ya nn mkifanye ili maisha yenu yawe sawa pasipo kuathiri harakati za kuwasaidia hao ndugu zake, coz hujui hao wamemtoa wapi na wamemsaidiaje hadi kufika hapo alipo na kukukutana na ww hivyo huwezi ukamwambia aache kuwasaidia,
Namna nzuri ni kupanga mipango ya kuanzisha kitu ambacho kitakuwa kinawasaidia hao ndugu zake kujisimamia ( kama unampenda kweli huyo jamaa ako ) Pasipo kumtegemea jamaa ako .
Hakika!Undugu Afrika unachangia umasikini kwa asilimia 75!
Dina miss uAaah...kwingine akaze sura sasa...simu?!