CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Kila mtu atapita njia yake,ukimya utatawala sio wa kawaida.Baada ya tar 28 watu watapoteana humu we subiri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu atapita njia yake,ukimya utatawala sio wa kawaida.Baada ya tar 28 watu watapoteana humu we subiri!
ww ndo umeteswa sio wateswe wakina nan ka sio ww na wavivu wenzakoAnapendwa na nani?
Yaani atese wananchi kwa miaka mitano halafu wampende?
Kuna lipi jipya na lenye maana aliwaahidi kuwafanyia wakazi wa Korogwe mwaka 2015 halafu mwisho wa siku akawafanyia?
Baada ya tar 28 watu watapoteana humu we subiri!
Nyie misukule mko so thick vichwani. Ni rais wenu huyo anayetubagua Watanzania akituita wengine watoto wa kambo. Eti atakusanya kodi lakini maendeleo asilete, hajui ukishachaguliwa Rais ni wa wote. Hii ndiyo sababu tarehe 28/10/2020 ni lazima afungishwe virago na kutimuliwa Ikulu.. Bassodawish
Hilo la pili nikuulize kwahiyo ukimchagua mbunge wa chadema Hana haja yakuleta maendeleo tusubiri mpaka rais awe anatokea chadema wewe mbn hujielewi vilee Sasa yanini kuwa na upinzani Kama mbunge wa chadema hawezi kuleta maendeleo?
. Asipotoka?Nyie misukule mko so thick vichwani. Ni rais wenu huyo anayetubagua Watanzania akituita wengine watoto wa kambo. Eti atakusanya kodi lakini maendeleo asilete, hajui ukishachaguliwa Rais ni wa wote. Hii ndiyo sababu tarehe 28/10/2020 ni lazima afungishwe virago na kutimuliwa Ikulu.
Ndio ukweli. Shime tutoke tukampigie kuraRais Magufuli ni mbeba maono ya Watanzania