Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Machinga niliowaona hapa ni zaidi ya watu elfu tano hii ni wilaya moja tu hivi tunakwenda wapi kama taifa idadi kubwa.
Je, Tanzania nzima machinga wangapi? Tuna ardhi nzuri, mito na maziwa nini kifanyike nani wakulaumiwa. Je, wananchi wanashindwa kuzitumia fursa huko zilizopo ama ni serikali imeamua kutufanya masikini?
Katika zoezi hili la siku mbili lakuhamishwa mjini tayari vijana wengi mitaji ishakata hii ni dhahiri kabisa kuna bomu litakuja kulipuka mbeleni mana mahali penyewe walipoamishwa ni eneo la makaburi halina wateja tutegemee nini? Kama Hawa machinga wakiacha kazi hiyo uchinga.
Je, Tanzania nzima machinga wangapi? Tuna ardhi nzuri, mito na maziwa nini kifanyike nani wakulaumiwa. Je, wananchi wanashindwa kuzitumia fursa huko zilizopo ama ni serikali imeamua kutufanya masikini?
Katika zoezi hili la siku mbili lakuhamishwa mjini tayari vijana wengi mitaji ishakata hii ni dhahiri kabisa kuna bomu litakuja kulipuka mbeleni mana mahali penyewe walipoamishwa ni eneo la makaburi halina wateja tutegemee nini? Kama Hawa machinga wakiacha kazi hiyo uchinga.