Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
- Thread starter
-
- #21
Mastermind wako wengi sana tena sana sema hawana exposure.Ruge is overrated since ana platform ya kufanya kile akifanyachoNinachosikitika tunatengeneza wanamuziki wengi sana ila tunashindwa kuwatengeneza wakina Ruge wengi ambao ni mastermind, mainnovator magamechanger so sad kwa kweli kwa afya ya industry yao anyway show kwa kuwa ni ya kwanza ilikuwa poa sana
Mastermind wako wengi sana tena sana sema hawana exposure.Ruge is overrated since ana platform ya kufanya kile akifanyacho
Tehe [emoji23]hela za kustaafu zenyewe zinapigwa panga halafu unataka uende kwenye starehe ukautane na wakina gigy money,watazimaliza zote ufe kwa msonho wa mawazo
utawaonea wapi wakati platform hawan? ungekua upo karibu na wadau wa muzik ndo ungejua nachokisema...unajua kinachohariby bongo ni ile kwamba Ruge,Ruge,Ruge what a shit 😬Unapisema wapo wengi wakwapi maana tunachohitaji uwepo wao uliopo sio wa kufikilika
Sawa mkuu😁😁😁Ungeweza kuchambua mambo ya msingi kwenye hii nchi kama ulivyochambua sijui mnaita fiesta hii nchi ingekuwa mbali sana!
Platform inatengenezwa kama ruge alivyotengeneza ila bado tunawahitaji akina ruge wengi tuache blah blahutawaonea wapi wakati platform hawan? ungekua upo karibu na wadau wa muzik ndo ungejua nachokisema...unajua kinachohariby bongo ni ile kwamba Ruge,Ruge,Ruge what a shit [emoji51]
nilishangazwa sana nimeacha leo kuongea sana juu ya hilo sababu ukimgusa diamond unaambiwa una wivu,harmonise alijitahidi sana,ila tamaduni wameniangusha overrall sound na perfomance zilikuwa hovyo ,PLAYBACK?halafu inaonekana wengi walikuwa wamelewa kabisa,mara mikono juu,dj ommy crazy subiri kidogo,,,ah siyo hiyo ngooma bana...dah hta rayvanny kalipua tu ,warekebishe bana,kama sio liveband basi walazimishe wasanii waimbe na BEAT CHORUS...playback iwe chorus tu ,verse waimbe live.
Hip-hop tulitisha sana young killer aliua dudu baya alizika kabisaVip kuhusu dogo Nikki mbishi nae alifanya vizuri au alituangusha watu wa hip-hop
dudu ndo mwaka wake wa mwisho huu mwakani chaliiHip-hop tulitisha sana young killer aliua dudu baya alizika kabisa
Kwangu man of the match alikuwa dudu baya. KAMA UNA MARINDA NYOSHA MKONO JUU watu wote nikono juu
Aah wapi akikaza anarudi kwenye peakdudu ndo mwaka wake wa mwisho huu mwakani chalii
Marinda c mchezo hahahaaHip-hop tulitisha sana young killer aliua dudu baya alizika kabisa
Kwangu man of the match alikuwa dudu baya. KAMA UNA MARINDA NYOSHA MKONO JUU watu wote nikono juu
nadhani hatuelewani hapa,have a nice dayPlatform inatengenezwa kama ruge alivyotengeneza ila bado tunawahitaji akina ruge wengi tuache blah blah
hela za kustaafu zenyewe zinapigwa panga halafu unataka uende kwenye starehe ukautane na wakina gigy money,watazimaliza zote ufe kwa msonho wa mawazo
awe makini tu[emoji38][emoji38][emoji38] umenichekesha sana mkuu. lakini mara moja moja sio mbaya
Dogo ame-mcover Diamond kwa muda mfupi....2 to 3 yrs to come.....Mungu akitupa maisha tutakuwa tunazungumzia habari nyingine....
Haya bana....muda utatuambia....LILE jini kaka alitabiriki ingawa dogo yupo vizuri ila kum compare na diamond aiwezi kuwa frsh
Hapo kwa Rayvanny umeongozwa na roho mbaya na si uhalisia, ila hapo kwa 'Tamaduni Music' ni kweli walikuwa 'worst performers'nilishangazwa sana nimeacha leo kuongea sana juu ya hilo sababu ukimgusa diamond unaambiwa una wivu,harmonise alijitahidi sana,ila tamaduni wameniangusha overrall sound na perfomance zilikuwa hovyo ,PLAYBACK?halafu inaonekana wengi walikuwa wamelewa kabisa,mara mikono juu,dj ommy crazy subiri kidogo,,,ah siyo hiyo ngooma bana...dah hta rayvanny kalipua tu ,warekebishe bana,kama sio liveband basi walazimishe wasanii waimbe na BEAT CHORUS...playback iwe chorus tu ,verse waimbe live.
mnatanguliza kila kitu roho mbaya.why?huoni Rayvany alivyokuwa anapishana na playback,kwanza ana sauti nzri naturally sasa anatumia playback ya nini?atumie beat chorusHapo kwa Rayvanny umeongozwa na roho mbaya na si uhalisia, ila hapo kwa 'Tamaduni Music' ni kweli walikuwa 'worst performers'