DUDUBAYA? Apart from Harmonise, Rayvanny n' Mond hakuna msanii aliyemzidi Dudubaya usiku ule kwa namna alivyopokelewa vizuri na mashabiki, what a'u talking about?
MOCO (Moni n Country)? Yes walifanya vizuri kwa stage ila sio kivile, walizidiwa hata na Young Killer
NAVY KENZO? Eti hawana uzoefu na big stages, mbona kama ni fiesta wameshazunguka nao sana, ulikuwa wapi?
WASANII WA WCB? Wote walipokelewa vizuri sana na mashabiki, isipokuwa Queen Darlin ambaye tunajua ni wazi anabebwa na 'kaka', hana uwezo kivile
HIPHOP (Nikki Mbishi, One,Stereo)? Yes hapa nakubaliana na wewe, jamaa walikuwa chini ya kiwango, walifanya vibaya