Nilichokiona usiku wa leo, msaada wenu wanaJF


Hii ni hatua maridadi ya kukaribisha mapepo na mashetani!


โ€œKwa kawaida yangu na ratiba zangu za kulala siku za hivi karibu zimekuwa kabla ya kulala lazima nichome ubani chumbani na pale ninapotaka kulala ni lazima nishike udhu na Baada ya hapo nasoma surat nas X3 surat faraq X3 surat ikhas X3 na ayatul qurs X3 Kisha huplay Quran na kuiacha ikisomwa kuanzia surat fatihaโ€
 
Tuliza mihemko brainwashed wa mwamposa
 
Hapana sisikilizagi radio wana sipendi miziki wala sijawai kuwa na miziki wala siku ya Jana hakukuwa na mazungumzo yoyote yale
Huwa unapenda kuangalia Tamthiliya/Movie za aina ya picha uliyoweka Dp?
 
Leo walikukanda kanda hao wamevaa nguo nyeupe na bado unachekelea..Ngoja siku aje pdidy akukande kande hivyo hivyo tuona kama utakuja kuuliza hapa ๐Ÿ˜‚
 
Hizi ndoto za wapi ?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ classification gani hii ??

una reference ?! ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ. Hizi ndi ndoto mwamposa anaclassify ?!!
Mwamposa kaingiaje hapo? Acha kudandia dandia watu.

Mimi siishi kwa reference! ๐Ÿ‘Š๐Ÿพ
 
Ubatili mtupu! Ubatili mtupu!
 
Tusimulie na ile ndoto ya kukojoa kitandani nipo siti ya mbele nasubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ