Nilichokiona usiku wa leo, msaada wenu wanaJF

Ndoto hiyo haina maana.
Umeota mtu anakukanda mkono.
Ndoto nyingi hazina maana.
Au unaweza kutoa ndoto ina maana, lakini mambo yakawa ni personal.
Au unaweza kutoa ndoto ukaamia ndoto hii lazima nimueleze kila mtu.
 
Kuna kipindi miezi kadhaa iliyopita nilipata kuteguka kwenye Enka nilipokua huko Milimani lushoto sasa niliporudi mjini hapa nilikaa kama mwezi hivi huku nikitibia mguu!

Sasa usiku nimelala akatokea mtu kwenye NDOTO simjui akaushika mguu wangu huo huo nilioteguka akachukua mafuta kwenye chupa akamimina kwenye Enka akaanza kama kuuchua huku yeye amekaa kwenye kiti cha miguu mitatu na mimi nimekaa chini nimemwelekezea mguu wangu ulioteguka huwezi amini hivi kesho asubuhi naamka Nimepona kabisa mpaka leo! Nikamsimulia mpaka wife hilo tukio akashangaa sana
 
Kwa kweli nina malazi ambayo yananisumbua na shida kiroho na maradhi haya yasemekana ni kutokana na kurogwa
Vizuri, Kama una maradhi basi endelea kuomba na kusoma hizo sura kila unapotaka kulala, Ila ongeza pia asubuhi kabla ya jua kuchomoza zisome kama sio mtu wa ibada anza kusali sala tano na kila baada ya sala ya faradh soma ayatul kursi.
Sura ulizosoma ndio sura zilizokuja katika sunnah na hadith kuwa ndio surah za kupambana na uchawi, hasadi na kijicho hivyo usiwe na shaka unafanya kitu sahihi.
Kikubwa jitahidi kujiweka mbali na madhambi kadri uwezavyo, Utapona maradhi yako. INSHAALLAH..
 
Shukrani jazakhaAllahu Khaira 🙏
 
Kataa ukubali huo ndo ukweli,bado ujajua siri na yaliyo jificha kwenye ulimwengu wa roho
Sasa kama tunaishi kwenye ulimwengu wa nyama yanini kuyajua ya ulimwengu wa roho wakati hayatuhusu, hapo ndipo matatizo yanapoanzia. Ndiyo maana wengine mpaka wanaita majini kwa sababu ya ujuaji wao wa mambo yasiyowahusu
 
Unaomba maisha marefu hapa duniani na imeandikwa kwenye kuruani kwamba kuzimu Kuna mito ya pombe tamu na vibinti vibichi?

Yaani mtu kakaa nyuma Yako na anakukanda kanda na umetulia tu eti unajisikia raha kweli?

Basi sote kwa pamoja tuseme takbiiiir.
 
Uliiwaita walikuja
Your browser is not able to play this audio.
 
Uliowaita walikutembelea
Your browser is not able to play this audio.
 
Sasa hayo si ndo mnayoyaabudu yamekutokea laivu unashangaa nini? Si ndo majini yenyewe? Yaambie yakupe hela!
Wenyewe wanaita majini wema hadi wanawachomea sijuwi madude gani eti ubani.Lengo ni kuwavutia hao viumbe na wamerusiwa
 
We itaita tu maruhani leo wamekupapasa kesho watafanya kitu kikubwa zaidi makalioni mwako
 
Oohoo! Mkuu isije ikawa ni popo bawa! 🥺 Chukua hatua kwa kuacha mara moja kuyabipu madubwashika hayo.
 
Hao uliowaona ni majini mapepo na sio malaika.Pia inaweza ikawa ni wachawi ambao wanatumia nguvu za giza wakishirikiana na majini.
Tofauti ya imani yangu na imani nyingine zina amini kuna majini wazuri au wanawaita walimu au wazee au mafundi au wataalamu au wasaidizi.
Ninachokifahamu mimi hakuna jini mzuri na hakuna jini anayekusaidia au mwenye urafiki mwema na mwanadamu.Wale ni maadui za wanadamu,ila ni waongo hupenda kuwaongopea wanadamu kuwa wao ni wema na wasaidizi wa wanadamu.
WALICHOKUWA wanakufanyia ni vitendo vya ushirikina.
HASARA ni nyingi uharibufu ndio kazi yao ni roho za uharibifu za kuzimu.Hakuna faida,zaidi ya kukuingiza kwenye ushirikina uganga wa kienyeji wa vitabu visomo,kuwanga na ushirikina.
DAWA SULUHISHO.
Dawa pekee ni YESU PEKEE NDIO KIBOKO YA KUYAONDOA hayo makitu yasikusimburme tena na kukuokoa .
Ukitaka elimu zaidi juu ya hayo majini
jifunze ILIMU au elimu ya Maarifa chuo cha maarifa ya uchawi
na SHEIKH OMARY MNYESHENI aliyekuwa anauafuga hayo majinj na mwalimu ya uchawi Tanga--mfuatilie youtube tv channel inaitwa PROMOVER TV
mwingine
Sheikh HUSSEIN MUBARAKA huyu yupo dodoma makulu youtube channel promover tv
mwingine
AMIEL KATEKELA promover tv youtube
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…