Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujinga huu, sasa najiunga rasmi na Nyani Ngabu kuwatetea Clouds kwa hata ujinga ambao hauwahusu, huku tunakoelekea sasa hata ukosefu wenu wa nguvu za kiume kwa ajili ya kula michips yai mtawasingizia clouds Fm na Ruge, Nyambafu kabisa.
hivi ukienda kuomba sapoti mahali kumbe ni lazima upewe sapoti?? nilifikiri sapoti ni ombi tuu na si lazima mtu unayemuomba lazima akupe! Heaven on earth
unajua maana ya kutetea? naomba mtu anayesema clouds inaua vipaji atoe tangible evidence kwamba wanaua vipaji kivipi?? sio kubwaja bwaja tuu, redio zipo nyingi sana hapa nchini je kuna ulazima kwa msanii kupeleka nyimbo zake clouds?? huyo bele 9 anayesema ananyonywa kila show ya fiesta hakosi kwani amelazimishwa?? wasanii kibao nchini huwa wanaomba kila mwaka wajumuishwe kwenye show za fiesta
Wewe umekatazwa kuwa dalali? nauliza tu.Ninadhani watu hamuelewi mambo mengi kuhusu huu muziki mkaa kishabiki tu.
Cloudz hawalalamikiwa kwa kutopiga tu nyimbo za wasanii lakini kikubwa kinachoua wasanii ni wao kujifanya madalali kila
dili ya muziki wao wanataka wao mtu wa tatu hivyo kuvuruga opportunity nyingi wanazozipata wasanii ikiwa tu
watakataa wafu fm kuwa dalali.
F****k wafu fm.
Hivi huyu Ruge ana ushawishi wa kiasi gani???mpaka kila mdau wa muziki asikilize mawazo yake pekee???Yaan huko BASATA hakuna anayefikiri vizuri...kila mtu anamlilia njaa yeye tuu???SIDHANI.....
Hapa ndipo ninapotofautiana na watu humu jamvini!! Wimbo upo Kapuni, kapu lipi? Kapu la Clouds au Radio zote? Hivi kwani ni lazima nyimbo ya mtu ipigwe Clouds ndipo ionekane habaniwi?!Kwanini mtu "kubaniwa" na Clouds tu iwe ndo tayari ameshamalizwa?Kama umeusikiliza wimbo unaoitwa "listen" ni takribani miezi mitatu toka utoke, lakini sasa upo kapuni!!
Afadhali umeamua kujivua GAMBA. LOL!! Yaani ni mambo ya ajabu sana!!! Hapa Dar , studio nyingi ni vijiwe vya kula ganja....lakini wasanii wanapogeuka na kula unga, wanasema Clouds wanawa-stress!! Miongoni mwa studio nyingi ambazo nimepata kwenda, nilishangaa hali kama hiyo nilipoikuta hata SoundCrafters kwa jinsi Enrico anavyoonekana mstaarabu!! Lakini hata pale, ukifika unakuta furushi la ganja limewekwa(labda waache siku hizi).....baadae wale wale waliokuwa wanakula ganja wakibadilika kuwa wala unga; pira linatupwa kwa Clouds!!Hujinga huu, sasa najiunga rasmi na Nyani Ngabu kuwatetea Clouds kwa hata ujinga ambao hauwahusu, huku tunakoelekea sasa hata ukosefu wenu wa nguvu za kiume kwa ajili ya kula michips yai mtawasingizia clouds Fm na Ruge, Nyambafu kabisa.
Kuhusu kutoshine kwa belle 9 siongelei clouds, lakini kiukweli na ukimuuliza mtu anayejua musiccc hasa producer aliyesomea mziki atakwambia kuwa belle 9 anajua sana tena sana.
ni kati ya wasanii wachache wanaoweza kuimba key za juu na ana sauti ya kipekee.
hata mimi nadiriki kusema Ben Pol na Diamond kwa belle 9 wanasubiri.
lakini kila mtu ana bahati yake si bongo tu hata mbele kuna watu wanakubarika kuwa wanajua kuimba sana lakini hawapigi mpunga sana kama wengine.
HAKIKA, HAWAJITAMBUI na kutokana na kutojitambua kwao ndo kama unavyosema as if Clouds ni KINGMAKERS to the point that bila Clouds you're done!! Kwa akili ndoo ndogo wanazani wanaiponda Clouds kumbe umakini wake ni kwamba wanatuambia kwamba ukibaniwa na Clouds, ndo basi tena!Mleta uzi hebu weka mikakati ambayo clouds wameandaa kumaliza huu mziki wa kijana. Hawa clouds mbona mnawazungumzia sana utadhani wao ni bonge la MA KING MAKER.
KIla kiu kinasimama hapo kwenye RED haya mengine ni blah blah tu!! Muziki wa Bongo Flavor ni fitina mtindo mmoja, from A-Z. So, unapokuwa na management isiyofahamu fitina ya industry ya Bongo Flavor, then you're done! Generally speaking, nyimbo zinazopigwa redioni ni less than 10% ya zile ambazo zinapelekwa....na sio Clouds tu, bali redio zote...wanazopiga ni chache sana kati ya zile wanazopokea!! Sio kwamba zote hizo ni mbaya, unaweza kuta zipo tight kuliko zinazopigwa....lakini wasanii wamekosa managament inayofahamu ni namna gani soko la huu muziki linaendeshwa endeshwa vipi!!Kuna mwingine huyu Rama d, jamaa anajua sana kuimba na kuandika nyimbo. Nadhani hqyupo serious sana na muziki au na yeye ndio hajapata bahati ya kutoka kiivyo. Ukimlinganisha na wasanii kama Diamond au Ommy Dimpoz utagundua hawa jamaa wana bahati na promo pamoja na management zao zinajua kazi, ila wanafanya nyimbo za kawaida tu.
huu ni umbeya hakuna kitu kibaya kama mwanaume mtu mzima kukaa chini na kupika umbeya na uzushi, unataka kuimbia dunia tuzo za ktma zinaratibiwa na cloudz fm??? mbona wasanii kibao tuu wanaoipinga cloudz fm akiwemo jide komando wamepata tuzo za ktma??? inahitaji moyo kweli kutunga stori za kimbeya
Hahahahhhh. BASATA? COSOTA? Wizara ya habari? say it again. Wamefeli kabisa kunyanyua kazi za sanaa