Nilichokisikia kuhusu mkakati wa kummaliza kimuziki Belle 9


kweli baby ninaye
 
kwani tuna jumla ya tv na radio station ngapi hapa TZ?
 
Aanze kuvuta musharraf ndo tutajua kama nae keshakata ringi

Hana menejiment yoyote ya maana

Amezungukwa na masharo wapiga mizinga new ideas atatoa wapi

Yeye aendelee kutoa nyimbo nzuri tuuu bila promo ndo atajua maana ya promo kwenye game!
 
Kama kutowapenda Clouds ni dhambi,acha nkachomwe moto tu
 
Hata zile tuzo alizochukua diamond kipind belle yuko kwenye ubora wake hakustahili ila fitna tu.........sumu ya penzi na masogange zilikuwa ni mwiba
 


mshauri atafute management ya ukweli kwa ajili ya promo, kwani kituo cha redio ni kimoja? kituo cha televisheni je? mm binafc sijaona mantiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…