Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ni umbeya hakuna kitu kibaya kama mwanaume mtu mzima kukaa chini na kupika umbeya na uzushi, unataka kuimbia dunia tuzo za ktma zinaratibiwa na cloudz fm??? mbona wasanii kibao tuu wanaoipinga cloudz fm akiwemo jide komando wamepata tuzo za ktma??? inahitaji moyo kweli kutunga stori za kimbeya
mkuu hii ndio ilikua inabamba kipindi kile kiukweli belle 9 aliambiwa na uongozi wa clouds kua hajui muziki na kama anataka apikwe vizuri aende tht kitu ambacho alikataa na kama hamjui tuzo za kili zimevamiwa na rugay na wafu agents wengine wengi tu.
hapo nilipo bold .....ni kwamba hujuiiiii.........au unajifanya hujuiiiiii....................au unazuga tu watu waamini vingineeee.......unabisha tuuuuu au nini hasa!!???
huu ni umbeya hakuna kitu kibaya kama mwanaume mtu mzima kukaa chini na kupika umbeya na uzushi, unataka kuimbia dunia tuzo za ktma zinaratibiwa na cloudz fm??? mbona wasanii kibao tuu wanaoipinga cloudz fm akiwemo jide komando wamepata tuzo za ktma??? inahitaji moyo kweli kutunga stori za kimbeya
nlijua utaleta unyoforo wako ni kweli kabisa i used to be bestfriend wa amin mwinyimkuu
belle9 alifanyiwa interview na barnaba i was there na wakamjibu hawezi kuimba dogo alivyotoka boss ruge akawa wa kwanza kumtafuta
kama anakulipa kumtetea kaa kushoto hilo halina siri mjini
Umemaliza ubishi,ILA mangese kama 255,heloo,revo,nyani ngabu & co watakuja hapa na ukuwadi wa mabwana zao kwa hoja za kipuuzi na upumbavu juu!!
huu ni umbeya hakuna kitu kibaya kama mwanaume mtu mzima kukaa chini na kupika umbeya na uzushi, unataka kuimbia dunia tuzo za ktma zinaratibiwa na cloudz fm??? mbona wasanii kibao tuu wanaoipinga cloudz fm akiwemo jide komando wamepata tuzo za ktma??? inahitaji moyo kweli kutunga stori za kimbeya
huu ni umbeya hakuna kitu kibaya kama mwanaume mtu mzima kukaa chini na kupika umbeya na uzushi, unataka kuimbia dunia tuzo za ktma zinaratibiwa na cloudz fm??? mbona wasanii kibao tuu wanaoipinga cloudz fm akiwemo jide komando wamepata tuzo za ktma??? inahitaji moyo kweli kutunga stori za kimbeya