Nilichomfanyia mwenye nyumba wangu hadi majirani wamenipongeza

Nilichomfanyia mwenye nyumba wangu hadi majirani wamenipongeza

  • Wana jf, kwemaaaaa..?
  • Hapa niliponga kuna kero nyingi sana ambazo zinaweza epukika ila kutokana na utaratibu uliowekwa{nimeukuta} basi inabidi niendane nao hivyo hivyo kama wenzangu walivyobariki.

  • Ipo hivi hapa mamamjengo ni mjane na anavijana wake wakubwa tuu wa 3 umri wao wa kati ni kati ya 26-34, sasa mamamjengo pamoja na wanae hakuna anaechangia bili ya maji,umeme na ata usafi wa choo hawachangii sabuni wala kununua fagio kwa kigezo wao ni yatima na mama yao ni mjane hivyo hawana kazi wala nini ila kila siku night wanakuja wapo tungi hao vijana ni full matusi yaan wanatukanana hatari na wake zao so kila usiku ni kero za makelele ukijumuisha na watoto wao yaani full noise pollution.

  • Sasa j'pili iliyopita nlitoka zangu mlimani kupiga job so kufika home ni kelele nkatoka nje na kuwaeleza watoto wale waache kelele lakini niliambiwa kama hutaki kelele kajenge kwako🙄 nkaona isiwe kesicoz ninae kachanga ndaniwife akaniambia achana nao ckuiz wanapiga mziki mkubwa ad usiku wa manane kama kukomoa vile so we wapotezee tuu. basi me nkatulia zangu ndani na kweli yaani walisumbua haswa mpaka ngoma 9:17 iv usiku.

  • Asubuhi kumekucha tuu nikampeleka wife home kwa maza angu so mbali na ninapokaa then nkaenda kukodisha GENERETOR nkalipeleka mpaka gaza nkaliweka ndani, ilipofika usiku wa sa 4 nkaenda zangu na mafuta nkalijaza then nkaliwasha nkafunga mlango nkasepa nakaliacha linaunguruma usiku kucha, walipiga simu ad walidata, Then asubuhi ya j4 nkaenda nkalizima sikuongea na mtu nkasepa then ilipofka usiku wa kuamkia leo nkaendeleza doziiii.
  • L EO mchana naona balozi na mwenyekiti wamenipigia hii ni kwa mujibu wa jirani yangu alinijulisha ni namba zao so wameniomba kijana tafadhali acha unalolifanya yaani nlikusudia niliinguruishe siku 3 mfulilizo.
  • MAJIRANI WAMENIPONGEZA NA KESHO JIONI NI KIKAO NA BALOZI HOJA ZITU NI VIJNA WAKE WALIPE BILI ZA UMEME NA MAJI.
  • AHSANTENI
Huo ndo U-mwamba 🤝🏾
 
  • Wana jf, kwemaaaaa..?
  • Hapa niliponga kuna kero nyingi sana ambazo zinaweza epukika ila kutokana na utaratibu uliowekwa{nimeukuta} basi inabidi niendane nao hivyo hivyo kama wenzangu walivyobariki.

  • Ipo hivi hapa mamamjengo ni mjane na anavijana wake wakubwa tuu wa 3 umri wao wa kati ni kati ya 26-34, sasa mamamjengo pamoja na wanae hakuna anaechangia bili ya maji,umeme na ata usafi wa choo hawachangii sabuni wala kununua fagio kwa kigezo wao ni yatima na mama yao ni mjane hivyo hawana kazi wala nini ila kila siku night wanakuja wapo tungi hao vijana ni full matusi yaan wanatukanana hatari na wake zao so kila usiku ni kero za makelele ukijumuisha na watoto wao yaani full noise pollution.

  • Sasa j'pili iliyopita nlitoka zangu mlimani kupiga job so kufika home ni kelele nkatoka nje na kuwaeleza watoto wale waache kelele lakini niliambiwa kama hutaki kelele kajenge kwako🙄 nkaona isiwe kesicoz ninae kachanga ndaniwife akaniambia achana nao ckuiz wanapiga mziki mkubwa ad usiku wa manane kama kukomoa vile so we wapotezee tuu. basi me nkatulia zangu ndani na kweli yaani walisumbua haswa mpaka ngoma 9:17 iv usiku.

  • Asubuhi kumekucha tuu nikampeleka wife home kwa maza angu so mbali na ninapokaa then nkaenda kukodisha GENERETOR nkalipeleka mpaka gaza nkaliweka ndani, ilipofika usiku wa sa 4 nkaenda zangu na mafuta nkalijaza then nkaliwasha nkafunga mlango nkasepa nakaliacha linaunguruma usiku kucha, walipiga simu ad walidata, Then asubuhi ya j4 nkaenda nkalizima sikuongea na mtu nkasepa then ilipofka usiku wa kuamkia leo nkaendeleza doziiii.
  • L EO mchana naona balozi na mwenyekiti wamenipigia hii ni kwa mujibu wa jirani yangu alinijulisha ni namba zao so wameniomba kijana tafadhali acha unalolifanya yaani nlikusudia niliinguruishe siku 3 mfulilizo.
  • MAJIRANI WAMENIPONGEZA NA KESHO JIONI NI KIKAO NA BALOZI HOJA ZITU NI VIJNA WAKE WALIPE BILI ZA UMEME NA MAJI.
  • AHSANTENI
Na itoshe kuitwa gen z
 
  • Wana jf, kwemaaaaa..?
  • Hapa niliponga kuna kero nyingi sana ambazo zinaweza epukika ila kutokana na utaratibu uliowekwa{nimeukuta} basi inabidi niendane nao hivyo hivyo kama wenzangu walivyobariki.

  • Ipo hivi hapa mamamjengo ni mjane na anavijana wake wakubwa tuu wa 3 umri wao wa kati ni kati ya 26-34, sasa mamamjengo pamoja na wanae hakuna anaechangia bili ya maji,umeme na ata usafi wa choo hawachangii sabuni wala kununua fagio kwa kigezo wao ni yatima na mama yao ni mjane hivyo hawana kazi wala nini ila kila siku night wanakuja wapo tungi hao vijana ni full matusi yaan wanatukanana hatari na wake zao so kila usiku ni kero za makelele ukijumuisha na watoto wao yaani full noise pollution.

  • Sasa j'pili iliyopita nlitoka zangu mlimani kupiga job so kufika home ni kelele nkatoka nje na kuwaeleza watoto wale waache kelele lakini niliambiwa kama hutaki kelele kajenge kwako🙄 nkaona isiwe kesicoz ninae kachanga ndaniwife akaniambia achana nao ckuiz wanapiga mziki mkubwa ad usiku wa manane kama kukomoa vile so we wapotezee tuu. basi me nkatulia zangu ndani na kweli yaani walisumbua haswa mpaka ngoma 9:17 iv usiku.

  • Asubuhi kumekucha tuu nikampeleka wife home kwa maza angu so mbali na ninapokaa then nkaenda kukodisha GENERETOR nkalipeleka mpaka gaza nkaliweka ndani, ilipofika usiku wa sa 4 nkaenda zangu na mafuta nkalijaza then nkaliwasha nkafunga mlango nkasepa nakaliacha linaunguruma usiku kucha, walipiga simu ad walidata, Then asubuhi ya j4 nkaenda nkalizima sikuongea na mtu nkasepa then ilipofka usiku wa kuamkia leo nkaendeleza doziiii.
  • L EO mchana naona balozi na mwenyekiti wamenipigia hii ni kwa mujibu wa jirani yangu alinijulisha ni namba zao so wameniomba kijana tafadhali acha unalolifanya yaani nlikusudia niliinguruishe siku 3 mfulilizo.
  • MAJIRANI WAMENIPONGEZA NA KESHO JIONI NI KIKAO NA BALOZI HOJA ZITU NI VIJNA WAKE WALIPE BILI ZA UMEME NA MAJI.
  • AHSANTENI
Umeunguza lita ngapi? Yenye thamani Gani?
 
Asa hapo ni wao wamefail hawakupaswa kukushtua ni kutafuta namna wanasepa ni generator night Kali unakuwa umewapa life la kesho wakiuza sema Cha msingi hapo ni kuhama haraka
 
nkaenda kukodisha GENERETOR nkalipeleka mpaka gaza nkaliweka ndani, ilipofika usiku wa sa 4 nkaenda zangu na mafuta nkalijaza then nkaliwasha nkafunga mlango nkasepa nakaliacha linaunguruma usiku kucha,
Hahaha,
Hilo generator uli connect litoe umeme au kazi yake ilikuwa kutoa kelele pekee?
 
  • Wana jf, kwemaaaaa..?
  • Hapa niliponga kuna kero nyingi sana ambazo zinaweza epukika ila kutokana na utaratibu uliowekwa{nimeukuta} basi inabidi niendane nao hivyo hivyo kama wenzangu walivyobariki.

  • Ipo hivi hapa mamamjengo ni mjane na anavijana wake wakubwa tuu wa 3 umri wao wa kati ni kati ya 26-34, sasa mamamjengo pamoja na wanae hakuna anaechangia bili ya maji,umeme na ata usafi wa choo hawachangii sabuni wala kununua fagio kwa kigezo wao ni yatima na mama yao ni mjane hivyo hawana kazi wala nini ila kila siku night wanakuja wapo tungi hao vijana ni full matusi yaan wanatukanana hatari na wake zao so kila usiku ni kero za makelele ukijumuisha na watoto wao yaani full noise pollution.

  • Sasa j'pili iliyopita nlitoka zangu mlimani kupiga job so kufika home ni kelele nkatoka nje na kuwaeleza watoto wale waache kelele lakini niliambiwa kama hutaki kelele kajenge kwako🙄 nkaona isiwe kesicoz ninae kachanga ndaniwife akaniambia achana nao ckuiz wanapiga mziki mkubwa ad usiku wa manane kama kukomoa vile so we wapotezee tuu. basi me nkatulia zangu ndani na kweli yaani walisumbua haswa mpaka ngoma 9:17 iv usiku.

  • Asubuhi kumekucha tuu nikampeleka wife home kwa maza angu so mbali na ninapokaa then nkaenda kukodisha GENERETOR nkalipeleka mpaka gaza nkaliweka ndani, ilipofika usiku wa sa 4 nkaenda zangu na mafuta nkalijaza then nkaliwasha nkafunga mlango nkasepa nakaliacha linaunguruma usiku kucha, walipiga simu ad walidata, Then asubuhi ya j4 nkaenda nkalizima sikuongea na mtu nkasepa then ilipofka usiku wa kuamkia leo nkaendeleza doziiii.
  • L EO mchana naona balozi na mwenyekiti wamenipigia hii ni kwa mujibu wa jirani yangu alinijulisha ni namba zao so wameniomba kijana tafadhali acha unalolifanya yaani nlikusudia niliinguruishe siku 3 mfulilizo.
  • MAJIRANI WAMENIPONGEZA NA KESHO JIONI NI KIKAO NA BALOZI HOJA ZITU NI VIJNA WAKE WALIPE BILI ZA UMEME NA MAJI.
  • AHSANTENI
Jenga kwako bro
 
Mbinu nyingine ni kuhakikisha unatoka na huyo mjane,
ili uwe baba wa kufika wa hao vijana.
Halafu unaanza kuwapangia zamu ya usafi kila mtoto.
Unawapa nguo zako wakufulie,
Una hakikisha wanaondoka wakajitegemee
 
  • Wana jf, kwemaaaaa..?
  • Hapa niliponga kuna kero nyingi sana ambazo zinaweza epukika ila kutokana na utaratibu uliowekwa{nimeukuta} basi inabidi niendane nao hivyo hivyo kama wenzangu walivyobariki.

  • Ipo hivi hapa mamamjengo ni mjane na anavijana wake wakubwa tuu wa 3 umri wao wa kati ni kati ya 26-34, sasa mamamjengo pamoja na wanae hakuna anaechangia bili ya maji,umeme na ata usafi wa choo hawachangii sabuni wala kununua fagio kwa kigezo wao ni yatima na mama yao ni mjane hivyo hawana kazi wala nini ila kila siku night wanakuja wapo tungi hao vijana ni full matusi yaan wanatukanana hatari na wake zao so kila usiku ni kero za makelele ukijumuisha na watoto wao yaani full noise pollution.

  • Sasa j'pili iliyopita nlitoka zangu mlimani kupiga job so kufika home ni kelele nkatoka nje na kuwaeleza watoto wale waache kelele lakini niliambiwa kama hutaki kelele kajenge kwako🙄 nkaona isiwe kesicoz ninae kachanga ndaniwife akaniambia achana nao ckuiz wanapiga mziki mkubwa ad usiku wa manane kama kukomoa vile so we wapotezee tuu. basi me nkatulia zangu ndani na kweli yaani walisumbua haswa mpaka ngoma 9:17 iv usiku.

  • Asubuhi kumekucha tuu nikampeleka wife home kwa maza angu so mbali na ninapokaa then nkaenda kukodisha GENERETOR nkalipeleka mpaka gaza nkaliweka ndani, ilipofika usiku wa sa 4 nkaenda zangu na mafuta nkalijaza then nkaliwasha nkafunga mlango nkasepa nakaliacha linaunguruma usiku kucha, walipiga simu ad walidata, Then asubuhi ya j4 nkaenda nkalizima sikuongea na mtu nkasepa then ilipofka usiku wa kuamkia leo nkaendeleza doziiii.
  • L EO mchana naona balozi na mwenyekiti wamenipigia hii ni kwa mujibu wa jirani yangu alinijulisha ni namba zao so wameniomba kijana tafadhali acha unalolifanya yaani nlikusudia niliinguruishe siku 3 mfulilizo.
  • MAJIRANI WAMENIPONGEZA NA KESHO JIONI NI KIKAO NA BALOZI HOJA ZITU NI VIJNA WAKE WALIPE BILI ZA UMEME NA MAJI.
  • AHSANTENI
Itachukua siku ngapi chumba kirudi kwenye hewa yake na unakachanga.nahumo harufu ya moshi kama garage.
 
Nakumbuka mwenye nyumba alimtumia clip mpangaji wake,ikionyesha mtu (mwenye nyumba) akitoa vyombo vyampangaji wake,akivitupanje.nayule mpangaji akamtumia clip (mwenyenyumba) akionekana (mpangaji) akiwagia petrol nyumba na kuipiga kiberiti ♻️
 
Kaka ebu pambana pambana uhame mazingira hayo ya kimaskini.
Nimeshashindwa kuishi mitaa yenye watu wengi na kelele nyingi. Ni heri nipange nyumba nzima niingie gharama tu kuliko kero za majirani na vurugu mitaani.

Nafurahi sasa hivi naishi mlimani kabisa nje kidogo ya mji kelele ninayoisikia ni ya ndege asubuhi, azana, kengele ya kanisa asubuhi, crickets 🦗 na matawi ya miti upepo ukivuma.
 
Back
Top Bottom