Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
AaaaahNa bado unaomba kuguswa na Mungu..!
Muue 🤣Wewe umesoma ila huna akili. Mfumo wa elimu ya darasani umeletwa Afrika chini ya miaka 100 iliyopita, kwa mtazamo wako huo wa kijinga wazee wetu waliotangulia ambao hawakusoma hadi darasa la 7 hawakua na umuhimu wa kuishi hapa Duniani kwa sababu hawakwenda shule?
Sio darasa la saba tu inategemea na mtu kuna jirani yangu mualimu alifanyia mwanae birthday kanunua cake ya 75k lakini asubuhi kakopa nauli ya kuendea kazini huyu ni darasa la saba pia?Watu wa Darasa la saba ni
watu hatari wanaishi Kwa mazoea na sio kutumia akili.
Unampa hela Leo ili afanye matumizi anaenda kununua kiatu then kesho anakuambia hana hela ya kula.
Sio darasa la saba tu inategemea na mtu kuna jirani yangu mualimu alifanyia mwanae birthday kanunua cake ya 75k lakini asubuhi kakopa nauli ya kuendea kazini huyu ni darasa la saba pia?
Usiandike Kwa hasira hivi acha kuandika matusi, relax, usipende kusikia, kuona,au kusoma unavyovipenda, Duniani kuna watu chungumzima ,kila mtu na akili yake na uelewa wakeWewe umesoma ila huna akili. Mfumo wa elimu ya darasani umeletwa Afrika chini ya miaka 100 iliyopita, kwa mtazamo wako huo wa kijinga wazee wetu waliotangulia ambao hawakusoma hadi darasa la 7 hawakua na umuhimu wa kuishi hapa Duniani kwa sababu hawakwenda shule?
kwa hili andiko,Watu wa Darasa la saba ni
watu hatari wanaishi Kwa mazoea na sio kutumia akili.
Unampa hela Leo ili afanye matumizi anaenda kununua kiatu then kesho anakuambia hana hela ya kula.
Ni kweli anapokea mshahara kwa miaka 40 kipindi chabkustaafu ndo anazinduka kwamba hana nyumba na kitenga uchumi lakini ni graduate kabisa.Watumishi wa Serikali asilimia kubwa 90% huwa hawana akili na serikalini ndo sehemu vilaza ukimbilia kujinusuru na maisha
Wewe ndiyo umekosea . Watu wa darasa la 7 na chini yake ni nguvu kazi unatakuwa wewe ndiyo uwatumikishe kuleta maendeleo yako na ya kwao na ya taifa lakoWatu wa Darasa la saba ni watu hatari, wanaishi kwa mazoea na sio kutumia akili.
Unampa hela leo ili afanye matumizi anaenda kununua kiatu then kesho anakuambia hana hela ya kula.
Kuajiriwa ni sawa na madawa ya kulevya,ukishayaonja utoboiNi kweli anapokea mshahara kwa miaka 40 kipindi chabkustaafu ndo anazinduka kwamba hana nyumba na kitenga uchumi lakini ni graduate kabisa.