Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

baby zu

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2015
Posts
1,816
Reaction score
4,770
Amani ya Mungu iwe nanyi wapendwa, naomba ushauri.

Ni mume niliempenda nilemuheshimu na kumfanyia kila kitu anachostahili mwanaume kufanyiwa kumfariji wakati wa magumu na kuwa nae wakati wa furaha, naye mwenyewe aliyakubali yote niliyokua nafanya.

Sasa juzi kachelewa kurudi nyumbani na sikumuuliza sababu akasema anaomba ale chakula ndipo aoge, nikapakua tukala kisha nikamuandaa akaoge ndipo nilipokuta kwenye nguo za ndani uchafu wa kutoka kujamiana na mwanamke.Nilipomuuliza akajibu fikiria utakachoamua kufikiri.

Naomben ushauri kwani hapa nasikia mwili wote unauma, kichwa kinataka kupasuka.
 
Pole sana, msamehe tu, wanaume karibu wote tuko hivyo! Kila wanaume 9 katika 10 ni watumwa wa ngono! Kwa kifupi wanaume tunawaka sana tamaa. Kuna mwenzio juzi tumeambiwa katelekeza mke na watoto watatu kisa tu toto la kihaya!
 
kwamba alipiga peku.....
kwamba ulimvua boxer alafu ukaichungulia mbele..
kwamba kuchelewa kwako ni SAA ngapi...
kwamba hulali mpaka arudi...
iyo ndoa itakushinda....

achana na pekuapekua..nimependa jibu alilokupa..ukome!!

rejea Uzi wangu 'ninavyoishi na mke wangu"
kalaghabaho
 
Pole sana, msamehe tu, wanaume karibu wote tuko hivyo! Kila wanaume 9 katika 10 ni watumwa wa ngono! Kwa kifupi wanaume tunawaka sana tamaa. Kuna mwenzio juzi tumeambiwa katelekeza mke na watoto watatu kisa tu toto la kihaya!

asante mpendwa ila yani hapa cjajua cha kufanya naamka asubuh namwandalia kama kawaida anakwenda kazn nami natoka jioni namfanyia vyote lakin natamani hata nimchome kisu
 
kwamba alipiga peku.....
kwamba ulimvua boxer alafu ukaichungulia mbele..
kwamba kuchelewa kwako ni SAA ngapi...
kwamba hulali mpaka arudi...
iyo ndoa itakushinda....

achana na pekuapekua..nimependa jibu alilokupa..ukome!!

rejea Uzi wangu 'ninavyoishi na mke wangu"
kalaghabaho

hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun
 
kwamba alipiga peku.....
kwamba ulimvua boxer alafu ukaichungulia mbele..
kwamba kuchelewa kwako ni SAA ngapi...
kwamba hulali mpaka arudi...
iyo ndoa itakushinda....

achana na pekuapekua..nimependa jibu alilokupa..ukome!!

rejea Uzi wangu 'ninavyoishi na mke wangu"
kalaghabaho

kurudi saa 4
 
asante mpendwa ila yani hapa cjajua cha kufanya naamka asubuh namwandalia kama kawaida anakwenda kazn nami natoka jioni namfanyia vyote lakin natamani hata nimchome kisu
Nisikilize Mimi, jimazie mwaego! Assume as if nothing happened, zidisha upendo kwake, nakuapia atakuja kupiga goti na hatorudia tena!
 
asante mpendwa ila yani hapa cjajua cha kufanya naamka asubuh namwandalia kama kawaida anakwenda kazn nami natoka jioni namfanyia vyote lakin natamani hata nimchome kisu

Fanya kitu moyo wako unatamani....ila uje marijali wakati mwingine mashine husimama wakiwakumbuka wake zao nyumbani...hivyo viuchafu ni vya kukuwaza wewe...
 
kwamba alipiga peku.....
kwamba ulimvua boxer alafu ukaichungulia mbele..
kwamba kuchelewa kwako ni SAA ngapi...
kwamba hulali mpaka arudi...
iyo ndoa itakushinda....

achana na pekuapekua..nimependa jibu alilokupa..ukome!!

rejea Uzi wangu 'ninavyoishi na mke wangu"
kalaghabaho

Unamtetea kwa sababu ww zako kurudi saa nane husemeshwi aahhahha hhhh ila siku mkeo akirudi saa tisa hakuna kututumuka mwili kama umekula amira
 
Back
Top Bottom