Kwanini mdau unakataa ndoa??Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point.
Ungefunguka hata style waliyotumia basi ili kataa ndoa wapate point za nyongezaMwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point.
Si kichambo hiki??πkweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Vipi wewe best ushaolewa??Ni utapeli na kuwaibia wanaume
Unalipiaje gumegume mahari ili ulitoe kwao?
Wake za watu wengi ni malaya mbwa ni vile tu wamefunikwa na kivuli cha ndoa
Dahπππ,.Sitaki kutapeli wanaume