Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Aiseee!
 

Attachments

  • 1739272027797.jpg
    1739272027797.jpg
    53 KB · Views: 7
Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.

Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.

Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point.
Mbona umeandika kiwivu wivu sana. Unamuonea wivu kaolewa na bado anachukuwa vidume unavyovitamani ofisini😛😛😛 pole. Ndoa zitaendelea kuwepo na heshima yake italindwa na wanajielewa.
 
Mbona umeandika kiwivu wivu sana. Unamuonea wivu kaolewa na bado anachukuwa vidume unavyovitamani ofisini😛😛😛 pole. Ndoa zitaendelea kuwepo na heshima yake italindwa na wanajielewa.
Wivu Sina Ila roho inauma
Namhurumia mwanaume wake. Siwezi furahia Jambo La namna hii. Kama wewe unafurahia sawa dear
 
Wengi naowajua wamefyatuka
Kuna mmoja alituma pic ya uchi anamtumia mume wa mtu mwingine ikakamatwa na mke we ikaletwa kanisani
Hao ni wanawake wanaofanya kazi tena wale wanaopesa sio hawa wakawaida . Unajua kuna wanawake wanaolewa ili wasiwe wapweke au wasionekane hawajaolewa so hawajaligi wakiwa na kila mwanaume kwa ajili yakulinda kazi yao au wapate kitu wanachotaka hawajui ndoa ni uaminifu.

Na wale wema wameoana na wanaume makahaba
 
Hao ni wanawake wanaofanya kazi tena wale wanaopesa sio hawa wakawaida . Unajua kuna wanawake wanaolewa ili wasiwe wapweke au wasionekane hawajaolewa so hawajaligi wakiwa na kila mwanaume kwa ajili yakulinda kazi yao au wapate kitu wanachotaka hawajui ndoa ni uaminifu.

Na wale wema wameoana na wanaume makahaba
Dah hataree
Yani mtu anaolewa tu ili aonekane ameolewa au ndo akina Anna juakali?
 
Back
Top Bottom