Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu sahii wamekua kichwa maji sanaa na mbaya zaidi na sheria inawalinda yaani hata kwenye upuuzi.Bora wewe umesema, tena KE mwenzao.
Watakuja kujitetea hapa kwamba mke akichepuka basi mume ndo alaumiwe, kakosea mahali.
NIngekuwa mimi aisee ningemrusha roho,. Tena ningemtishia ninazo picha za ushahidi wake yaani angefanya kila nachotaka😬😄😄Hahaha anajijua ntamtaja na jina, kabila na anapofanyia kazi af mumewe ni maarufu mjini daslam
Mbona umeandika kiwivu wivu sana. Unamuonea wivu kaolewa na bado anachukuwa vidume unavyovitamani ofisini😛😛😛 pole. Ndoa zitaendelea kuwepo na heshima yake italindwa na wanajielewa.Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point.
Wivu Sina Ila roho inaumaMbona umeandika kiwivu wivu sana. Unamuonea wivu kaolewa na bado anachukuwa vidume unavyovitamani ofisini😛😛😛 pole. Ndoa zitaendelea kuwepo na heshima yake italindwa na wanajielewa.
Bora mimi sijasema lkn hali ni teteNi utapeli na kuwaibia wanaume
Unalipiaje gumegume mahari ili ulitoe kwao?
Wake za watu wengi ni malaya mbwa ni vile tu wamefunikwa na kivuli cha ndoa
Swala La Kuacha Kizazi Chako Wala Alihitaji Ndoalove ni scam dunia ya leo mapenzi yamekua utapeli au ni kama kamari
uwezekano wa kuwin true love ni mdogo sana .
ushauri mwanaume oa mwanamke kwa target moja tu akuzalie watoto ambao ni damu yako waendeleze kizazi chako
Kuzaa kwenyewe anaeza kuzaa na mwanaume mwingine watoto ukapewa wewe.love ni scam dunia ya leo mapenzi yamekua utapeli au ni kama kamari
uwezekano wa kuwin true love ni mdogo sana .
ushauri mwanaume oa mwanamke kwa target moja tu akuzalie watoto ambao ni damu yako waendeleze kizazi chako
Hao ni wanawake wanaofanya kazi tena wale wanaopesa sio hawa wakawaida . Unajua kuna wanawake wanaolewa ili wasiwe wapweke au wasionekane hawajaolewa so hawajaligi wakiwa na kila mwanaume kwa ajili yakulinda kazi yao au wapate kitu wanachotaka hawajui ndoa ni uaminifu.Wengi naowajua wamefyatuka
Kuna mmoja alituma pic ya uchi anamtumia mume wa mtu mwingine ikakamatwa na mke we ikaletwa kanisani
Dah hatareeHao ni wanawake wanaofanya kazi tena wale wanaopesa sio hawa wakawaida . Unajua kuna wanawake wanaolewa ili wasiwe wapweke au wasionekane hawajaolewa so hawajaligi wakiwa na kila mwanaume kwa ajili yakulinda kazi yao au wapate kitu wanachotaka hawajui ndoa ni uaminifu.
Na wale wema wameoana na wanaume makahaba