Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

sasa malaya mpuuzi mmoja ndo uje utuandikie uzi etii ooh mke sijui nini

yaan wapuuzi wachache ndo iwe 7bu ya sisi kukataa kuoa
ipo hivi Kuna umri ukifika kam hautatamani basi utaolewa/utaoa utake usitake
tena km ndo ulikuwa mzinguaji baradhuli
utaolewa/utaoa JITU LA HOVYO balaa likutese ukonde upauke na kuiacha hiyo NDOA huwezi basi utazidi kunyorodoka
kusabuku mavi ya kuku
 
Dah hataree
Yani mtu anaolewa tu ili aonekane ameolewa au ndo akina Anna juakali?
Ndioo hivyoo sasa bora anna anampenzi tu ila hawa wengine hata wakitaka kupanda cheo, kuwa na gari nzuri , biashara , mali hizi uonazo wanatoa wanaume watakacho wanapewa hawajui kukataa watoto wengi wandoa wanahakikisha ni wamume wake
Ila kwa kupata vitu yeye hajali kaolewa anatoa tu
 
sasa malaya mpuuzi mmoja ndo uje utuandikie uzi etii ooh mke sijui nini

yaan wapuuzi wachache ndo iwe 7bu ya sisi kukataa kuoa
ipo hivi Kuna umri ukifika kam hautatamani bsii utaolewa/utaoa utake usitake
tena km ndo ulikiwa mzinguaji baradhuli
utaolewa/utaoa JITU LA HOVYO balaa likutese na kuiacha hiyo NDOA huwezi kusabuku mavi ya kuku

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kweli best mie napenda ndoa maana unakuwa namajukumu
 
Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.

Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.

Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.

Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
funguka style iliyotumika basi,
 
Ndioo hivyoo sasa bora anna anampenzi tu ila hawa wengine hata wakitaka kupanda cheo, kuwa na gari nzuri , biashara , mali hizi uonazo wanatoa wanaume watakacho wanapewa hawajui kukataa watoto wengi wandoa wanahakikisha ni wamume wake
Ila kwa kupata vitu yeye hajali kaolewa anatoa tu
Wanawake mbingu yetu iko mbali sana.
Sasa hapa unanifanya niwahisi vivaya wale women directors 😅😅
 
Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.

Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.

Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.

Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
sawa haya mi naomba unizalie watoto watatu tu!, vipi unasemaje..?
 
Wanawake mbingu yetu iko mbali sana.
Sasa hapa unanifanya niwahisi vivaya wale women directors 😅😅
Eh unadhani unapewa nafasi tu kirahisi kwa lipi hasa kwa wanaume wanalala na wanawake wenye vyeo na wanawake wanalala na wanaume wenye vyeo halafu wanapeana kisiri siri .

Unashangaa tu mtu kapata ila kunawengine wachache wameotea hiyo nafasi kwa bahati .

Sana sana haya makampuni makubwa
 
sasa malaya mpuuzi mmoja ndo uje utuandikie uzi etii ooh mke sijui nini

yaan wapuuzi wachache ndo iwe 7bu ya sisi kukataa kuoa
ipo hivi Kuna umri ukifika kam hautatamani bsii utaolewa/utaoa utake usitake
tena km ndo ulikiwa mzinguaji baradhuli
utaolewa/utaoa JITU LA HOVYO balaa likutese na kuiacha hiyo NDOA huwezi kusabuku mavi ya kuku

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
adriz unaona huyu master amekuja kupinga hoja kwa point zinazoonekana japo amefunika funika Ila hajani attack Mimi. Wewe uliniparamia Mimi wakati me ni mjumbe tu
 
Back
Top Bottom