Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mwanmke ana nangaika nin uko na vitoto?Jamaa ni tajiri mwenye vyake boss
Once a whore always a whoreA whore will do anything for money.
So wewe utakubali tukuzalishe tuu?Jamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.
Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.
Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
Nakataaa iyoShida Kataa ndoa ni wazee wa nyeto wengine ni mapapai
Naunga mkono hojaMapenzi utapeli.
We mimi mwanaume ase embu futa iyo kauliLabda mume hamridhishi
Nina evidence za kutosha. Siku wehu wangu ukinipanda nijilipue tu nkapate vyangu
Fanya uchunguzi utaonaNakataaa iyo
Moira pasi ndugu!Jamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.
Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.
Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
Lekebisha pale edit😅😅😅 samahanii
mjumbe anauwawaadriz unaona huyu master amekuja kupinga hoja kwa point zinazoonekana japo amefunika funika Ila hajani attack Mimi. Wewe uliniparamia Mimi wakati me ni mjumbe tu
Hakuna mtu asie tamani kuwa na familia au kuwa na watoto wanawake sikuiz wamekuwa makatili sana imagen mtu ubatafuta vitu vyako una jinyima af mtu anakuja ana ondoka na vitu vyako hii ipo sawa?Fanya uchunguzi utaona