Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Jamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.

Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.

Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.

Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.

Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
KWaiyo na ww hutaki Ndoa bali unataka kubanduliwa na wanaume tofauti tofauti mpaka utakapoitwa Bibi kizee.
 
Jamani mwenzenu fridge langu haligandishi linapooza tu. Nimeshindwa kukaa nalo nitapasuka moyo.

Sasa Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.

Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.

Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.

Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua [emoji28].
Et kibamia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila sisi wanaume kwa nini tunafanyiana hivi. Kama unajua huyu mke wa mtu kwa nini umle? Hata haya mauaji tu nyie hamuogopi?
Katika masuala ambayo sikubaliani na baadhi ya wanaume wenzangu ni suala la kutomber mke wa mtu.

Mimi kama alpha male hii kitu inanichukiza sana, ni kujidhalilisha wewe mwenyewe na kumdhalilisha mwanaume mwenzio.
 
KWaiyo na ww hutaki Ndoa bali unataka kubanduliwa na wanaume tofauti tofauti mpaka utakapoitwa Bibi kizee.
Hivi kwa trend hii unayoiona mtoto wako unayemzaa Leo ana uhakika wa kupata mume kwa haya ambayo wake za watu wanafanya? Me mwenyewe mwanangu wa kiume siwez mruhusu kizembe zembe avamie mi gumegume. Na akiivamia ntafanya juu chini tubaki tunalea watoto yeye atuachie mji wetu

Kama itafikia hakuna waoaji bas tutapambana na Hali zetu. Kwanza ndoa sio kila kitu. Umefurahi sasa eeh
 
Back
Top Bottom