Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Hata kapicha tu kagiza giza kamekosa,au nawewe ulidata kwa maromance yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kulikuwa nanulazima gani wakutusema sie vibamia 🤣🤣🤣🤣Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.
Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
Basi me ntaishia kuwa wa kutumwa kama ndo hvo 😅😅Eh unadhani unapewa nafasi tu kirahisi kwa lipi hasa kwa wanaume wanalala na wanawake wenye vyeo na wanawake wanalala na wanaume wenye vyeo halafu wanapeana kisiri siri .
Unashangaa tu mtu kapata ila kunawengine wachache wameotea hiyo nafasi kwa bahati .
Sana sana haya makampuni makubwa
Hahaha wewe una ukimwiii Bora me sijapima ntabaki hvo hvoSasa kulikuwa nanulazima gani wakutusema sie vibamia 🤣🤣🤣🤣
So wee wapenda mitulinga eeh.
Ngoja nikuoe Mzee wa kupambania akutwishe mtulinga
oKNikileta ushahidi hapa wamekwishaaa au Mimi nimekwishaa
DuuhHahaha anajijua ntamtaja na jina, kabila na anapofanyia kazi af mumewe ni maarufu mjini daslam
Yupo humu?Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.
Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
Ebu itume iyo pic rafikiWengi naowajua wamefyatuka
Kuna mmoja alituma pic ya uchi anamtumia mume wa mtu mwingine ikakamatwa na mke we ikaletwa kanisani
Katika kizazi tulichopo ndoa ni concept ambayo imeshapitwa na wakati. Misingi ya ndoa iliwekwa kwenda sambamba na mfumo dume. Sasa tupo kwenye kizazi cha 50/50 lazima taasisi ya ndoa ianguke tu.Mwanamke umeolewa na mume ana kila kitu, anakupenda wewe na ndugu zako, anakujali kwenye Mambo yote madogo na ma kubwa Ila kweli unaenda kuliwa stoo na subordinate wako?
Ungeenda hotel basi Ila kwa hili umejidharaulisha sana.
Walijua hawaonekani Ila nimewaona sana.
Kweli wanaokataa ndoa wanazidi kupata point. Mwanaume tafuta mwanamke akuzalie watoto idadi unayotaka usijifunge funge.....ndoa waachie Bibi na babu zetu.
Wake za watu ukija unahema juu juu uje kabisa na kopo la maji maana nimewaona mnakuja kasi kweli...... Jiheshimuni kama ni kibamia pambana nacho ndo ulichochagua 😅.
Sasa ukimwi unaingiaje tena hapa.Hahaha wewe una ukimwiii Bora me sijapima ntabaki hvo hvo
Ama Kweli Umebarikiwa Sana Na Uzao Wa Tumbo Lako Umebarikiwa,,Nikizihitaji Hizo Baraka Za Uzao Wa Tumbo Lako Na Baraka Zako Kiujumla Ni Mambo Gani Natakiwa Yazingatia Haswa,,Kama Hutaki Niambie Mbona Sio Lazima MamiiHahaha nnao 10 nataka nipate na vi twin boy vitatu hivi
Aliliwa fine! Alitumia viuongo vyako vya mapenzi ama vyake?Kwa unanja ule atakuwepo
Dunia iko uchiDah😄😄😄,.
Hahaha!! nilikurupuka Madam , nilikuwa njiani jua Kali linapiga nawahi kwa Mama Ntilie nikaona ngoja nifanye attack ili nipate vibe ya kushambulia msosi vizuri😅😅😅😅
Sasa boss uliandika kama kuni attack Ila huku attack hoja
Shida Kataa ndoa ni wazee wa nyeto wengine ni mapapaiMpaka sasa kataa Ndoa 3- wengine 0
Ngoja tuone itakavyokua