Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Elezea hapa
Mke/mchepuko/mpenzi wako hawa ni watu unao waamin sana ukilinganisha na dada poa. So kwenda na mke kavu kavu ni rahis sana kuliko kwenda na malaya usiemjua kavu kavu bila kumpima afya yake.
Kumbuka huyo wa ndani unaemuamin na yeye pia anaweza kuwa na chain yake anayoiamin pia
 
Kwa iyo umetoa sadaka uwanja wa fisi wenzio wanatoa sadaka kanisani bhana
 
Acha fix, unachukuwa demu Clab Alberto usiku mkubwa, pale mnakwenda kupima wapi?

Halafu wale wauza K wa pale club Alberto wana vilainishi vyao hata mkipiga kavukavu ni safe kabisa.

Condom zinavaliwa na kunguru waoga wanaotaka kuwa walinzi wa dunia.
Acha ujuaji si useme uelimishwe? unadhani kupima mpka uende kituo cha afya? kwa taarifa yako mimi vipimo nnavyo nafanya self test kaa hapo kama panya
 
Acha ujuaji si useme uelimishwe? unadhani kupima mpka uende kituo cha afya? kwa taarifa yako mimi vipimo nnavyo nafanya self test kaa hapo kama panya
Hivyo vidude wanauziwa wajinga kama wewe kuangalia rangi.

Hiv test ina vipimo vitatu, cha kwanza kinahakikiwa na cha pili kisha cha tatu ndio kina Confirm usahihi wa vipimo viwili vya mwanzo.
 
Hivyo vidude wanauziwa wajinga kama wewe kuangalia rangi.

Hiv test ina vipimo vitatu, cha kwanza kinahakikiwa na cha pili kisha cha tatu ndio kina Confirm usahihi wa vipimo viwili vya mwanzo.
Unanifahamu? wapi nmesema nmenunua punguza ujinga
 
Sintosahau siku niliyonunua malaya alinipangia muda ile nafika namuona prof X akitoka kula mzigo huohuo ambao nami sikuuacha nikaubamiza vilivyo
 
utafiti mfuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…