Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Maji tiririka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatar
Aisee ni kweli hapo kwenye maabara ya dawa, nimekuelewa sana,maana utakavyoambiwa dawa bado iko on test hadi miaka 25 ijayo mmh balaa lingineWakati unachochea,ndom ikipasuka, Utajilaumu sana.
Unawezataka ukajitolee kuwa mpishi kwenye maabara wanayofanya tafiti ya dawa ya ngoma. Ili uwe unawakumbusha "changamkeni jamani"
Huyo wa buku nne akikuambia elfu 20 utagonga?Manina siwezi gonga demu wa elfu nne ata kama sina hela! Bora nitafute ata wa elfu 20 nikajilie ila elfu nne!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani papuchi si ni ile ile mkuu na wote wanajiuza japo kwa bei tofauti?, nadhani muhimu no kutulia na mmoja ambaye hakuuzii anakupa/mnapeana kwa upendo🤔Manina siwezi gonga demu wa elfu nne ata kama sina hela! Bora nitafute ata wa elfu 20 nikajilie ila elfu nne!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunatiana nnyyege jamani!!!Sio tu kususa ila nimenawa pia tena kwa sabuni maana nilimshika papuchi.. inachoma choma mavuz* nahisi ndo alikuwa katoka kunyoa
Day nyingine npo ubaruku mbeya kwa shangaz , tukawa tumeenda kupiga mishe mashinen kweny mchele... Hapo nna miaka 17 hiv... Nmerud maskan nna Kama 40 mfukon af nnatembea kifua mbele ka nmepigwa ngumi ya mgongo, nkaficha 20 maskan af twenty nikaingia nayo road , Sasa kukawa Kuna mech ya arsenal mda wa saa 10 af Mimi nmetimba bar saa 8 unusu hiv...ilikuwa ni city pub ubaruku kipindi hiko ndo inetoka kufunguliwa ..ikabd nichukue kasoda kusogeza mda wakat huo James bond ndo ametrend kweny dstv channels, nkawa nasogeza soda tartib...daaah ilikuja pini Kali nyeupe, vipisto, tumbo rula, nywele za Rasta ,inavaa niwani, af neno ya kuoza (kaskazini moja Kama sio singidani), basi mjuba ikabid nijitie ufahamu nkaiita nkaanza kuiboresha, ikataja dau 50 , nisiwe Muong manz alikuwa anaendana na hela anayo itaja, daaah mhuni nna 19 mfukon, nkaanza kujieleza pale Mara ooh Mimi mwanafunzi sjui Nini ,daa akanihurumia akakubali kwa ten Ila shart chumba showtime 5000 , ko kimazingira free money mfukon ni buku nne ,akasema yupo zamu , had saa 10 nimsubiri ...nkataka nimpe hela kabsa "pwetelea pwete acha nipigwe na pisi kali" alikataa akasema nitampa mnavomla...akaendelea na Kaz ,wakat huo Mimi soda haipand Wala movie, nkawa nausaminisha mzigo unavosambaza vinywaji tu,ikumbukwe mm ni school boy kwa wakat huo, ..hatimae saa kumi ikafika pisi ikaja ikasema leta 5000 nkalipie room nkatoa buku Saba..jeuri ipo na nna uhakika wa mbunye Kali, kwanza nnavibe sjawahi MLA Dem mwenye Rasta Wala mwenye miwani...SI mnajua tudem twa shule, kipind hiko npo advance,.. akasema tangulia room , alikuja baada ya nusu saa ,daah mazee had hiyo nusu saa inaisha nlikuwa nmeteseka sana Yan, alivokuja nkampa ten na buku ya ndom,nkabakiwa na buku, show ikaanza Kama dk 20 hiv nkapiga bao, ile nataka kuendelea akagoma kuendelea, sjui alizoea show nyepes za washua au lah....nakili wazi yule Dem hakuwa level zangu mazee, yule Dem hakudum sana pale bar Kwan Kuna mshua alimuondoa akamuweka ndan ....na ana familia now, Ila bado ni pini sana tu hata Leo , hatakagi mazoea kila nikkendaga kule, anahs ntamuhalibia shuguli, hata Wana nkiwaambiaga kuwa yule mama nimemla na nilimnunua wanakataa Kwan hakumaliza mwez bar..wassalam..stor ni nyingi aiseeDaaaaah amazing story
Anatakiwa ajui kuwa Dem wa buku nne ndo wa 20 yaan kutegemeana na siku husikaKwani papuchi si ni ile ile mkuu na wote wanajiuza japo kwa bei tofauti?, nadhani muhimu no kutulia na mmoja ambaye hakuuzii anakupa/mnapeana kwa upendo🤔
Ni kweli akirudi hapo akipandishiwa bei kuwa 20k atakubali?🤔Anatakiwa ajui kuwa Dem wa buku nne ndo wa 20 yaan kutegemeana na siku husika
Dem wa buku 4 ndo wa 20 ,hutegemea chimbo ulilomkuta, na ww alivokukadiria, hawez akajiuza laki Akat yupo buza , Ila Dem huyo huyo utamuopoa kwa lak club kubwa kubwa za washua...Najaribu TU kuwaza uyo mwanamke wa elfu 4 anakua ktk Hali gan[emoji848]View attachment 2056219
Sent using Jamii Forums mobile app
Dem hyo hyo ikikutana na mshua , location Kali inamlamba 50....madem ndo hao hao , ogopen matapeliNi kweli akirudi hapo akipandishiwa bei kuwa 20k atakubali?🤔
Hivi hao hao si huuza ndogo pia?Sijawahi nunua bado.
Sasa unaenda nunua k? Si bora ununue ndogo
Achana na buku 4 , hyo hyo dem unaeza jichanganya na usijuw anauza , ukamtongoza kistaarab, akachomoa,ukaanza kumhonga , na ukikaa kiboya Zaid unaweza usimle mzigo na akakulia hela zako , na ndo huyo hyo usiku wa buku nne , akakupeleka Kansan kujifanya mcha mungu ili kukutia kwenye ring, na ukijichanganya unaoa...hapa nlipo panga mtt wa mwenye nyumba anadanga juz kat kajifanya anaumwa na Kuna njemba ikaja kumuona , akaazima chumba Cha mpangaj mwingine kujifanya ndo geto lake ,njemba imepigwa kama lak tat za matibab, ...kiufupi hwa madem hawana alama ,na haya mambo hayana formula, hata mm na uzoef wangu naweza nikapigwa vile vile, ...Ni kweli akirudi hapo akipandishiwa bei kuwa 20k atakubali?🤔