Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Marry Christmas to everyone in here..
Jamani mwenzenu nilikuwa siamini kama biashara ya ngono huwa hipo.. Karibu na hapa napoishi kuna sehemu maarufu sana kwa biashara hiyo ya ngono basi nikajisemea lazima leo nikanunue mmoja wapo ili nipate experience kidogo kuhusu biashara hiyo.
Nikajongea taratibu mpaka eneo la tukio na maana nikaona wanawake wengi wa kila rika wakiwa wamevaa nusu uchi..

Basi nikaangalia nani mwenye matak* makubwa kuliko wote ili niinjoy nae katika utafiti wangu.. Mashalaah nikaona dada flani hivi age yake ni kama 28 hadi 32 nikamsogelea na yeye alivyoona tu namsogelea akanifata na kuniambia kaka part time ni elfu 4 sikutaka ku bargain sana nikamwambia poa ila twende kwangu huwezi amini alikataa katakata nikamwambia basi poa kwahiyo tutafanyia wapii?

Yule dada akanionesha kachumba ambacho kapo karibu kabisa na lile eneo nililomkuta.. Nikamwambia basi poa nikampa elfu 4 yake .. Tumefika pale yule dada akatoa condom na akaniambia niingie kwenye ki chumba kile kicho na giza. Daah yani nimeingia tu na kukuta njemba kama 4 hivi zinakula mzigo mule ndani, yule dada aka huku a kitu Kama kigodoro flani hivi akatandika chini kisha akapandisha juu ki skirt chake( kumbe hawavaagi pichu??). Akaniambia toa dushe nikuvishe ndom tufanye huku akiwa anajiandaa kulala kifo cha mende.. Nikamwambia sijaridhika na haya mazingira basi we chukua tu hiyo hela na ahsante kwa uhuduma.. akaanza ku shout eti "Monica mteja wangu kasusa" mi nikatoka na kurudi zangu geto na kunawa mikono na sabuuni na maji tiririka maana nilimshika papuchi kwa bahati mbaya..

Onyo: Tuendelee kuchukua tahadhari UKIMWI upo..
Nilichokipenda ni unawaji kwa maji tiririka kujikinga na omicron!
 
Usirudie tena ulichofanya Mkuu, sio kwamba usirudie kununua malaya hapana usirudie kuwachoresha utakuja kupigwa ufe hivi hivi Mkuu.

Akiropoka umemuibia jua imekula kwako, shukuru mungu karopoka jambo la kawaida.
Hao Malaya tabia ya kuwachomesha mabaharia Aina ya mleta uzi Kuna siku kidogo iwatokee puani, mwamba alitanya hivyo Sasa bidada akajifanya kumcholesha kwa wenzake wakamzukia si unawajua mpaka 50,000 ikamtoka, kumbe mwamba hakuridhika akaleta taarifa kwa wahuni wenzie kilichotokea lile dangulo lilikufa jumla.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Marry Christmas to everyone in here..
Jamani mwenzenu nilikuwa siamini kama biashara ya ngono huwa hipo.. Karibu na hapa napoishi kuna sehemu maarufu sana kwa biashara hiyo ya ngono basi nikajisemea lazima leo nikanunue mmoja wapo ili nipate experience kidogo kuhusu biashara hiyo.
Nikajongea taratibu mpaka eneo la tukio na maana nikaona wanawake wengi wa kila rika wakiwa wamevaa nusu uchi..

Basi nikaangalia nani mwenye matak* makubwa kuliko wote ili niinjoy nae katika utafiti wangu.. Mashalaah nikaona dada flani hivi age yake ni kama 28 hadi 32 nikamsogelea na yeye alivyoona tu namsogelea akanifata na kuniambia kaka part time ni elfu 4 sikutaka ku bargain sana nikamwambia poa ila twende kwangu huwezi amini alikataa katakata nikamwambia basi poa kwahiyo tutafanyia wapii?

Yule dada akanionesha kachumba ambacho kapo karibu kabisa na lile eneo nililomkuta.. Nikamwambia basi poa nikampa elfu 4 yake .. Tumefika pale yule dada akatoa condom na akaniambia niingie kwenye ki chumba kile kicho na giza. Daah yani nimeingia tu na kukuta njemba kama 4 hivi zinakula mzigo mule ndani, yule dada aka huku a kitu Kama kigodoro flani hivi akatandika chini kisha akapandisha juu ki skirt chake( kumbe hawavaagi pichu??). Akaniambia toa dushe nikuvishe ndom tufanye huku akiwa anajiandaa kulala kifo cha mende.. Nikamwambia sijaridhika na haya mazingira basi we chukua tu hiyo hela na ahsante kwa uhuduma.. akaanza ku shout eti "Monica mteja wangu kasusa" mi nikatoka na kurudi zangu geto na kunawa mikono na sabuuni na maji tiririka maana nilimshika papuchi kwa bahati mbaya..

Onyo: Tuendelee kuchukua tahadhari UKIMWI upo..
😂😂😂😂
 
Kwani papuchi si ni ile ile mkuu na wote wanajiuza japo kwa bei tofauti?, nadhani muhimu no kutulia na mmoja ambaye hakuuzii anakupa/mnapeana kwa upendo[emoji848]
Kiukweli mkuu sinaga iyo tabia nina mtu wangu japo sijamuoa bado ila nia thabiti ninayo na tumeanza mahusiano Mwaka 2019 December na ukweli sijawah gonga nje tangia nianzenae.

Nilichojaribu kuwaza Dem wa elfu 4 hiyo uchi si inatoa harufu mda wote? Maana hawaogi wale wakishaliwa ma kwa elfu nne nani atashindwa kuwala?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa alikuwa na nia yakutaka kufanya ngono mazingira ndiyo yaliyomkwamisha. Kuwakuta wanaume 4 wanafanya ngono.
Ngono ni tendo la siri kama kuna wanaume 4 wanafanya ngono hakuna tena siri

Yule dada angekubali kwenda geton kwake huyu jamaa angepiga
 
Day moja nimewaka namanyege ya kushato, nkasema acha nikajimix holiday (iringa) maana huwa naskia pamewaka balaa ,japo najua sio Kama mk ..Sasa nikafika pale nna buku Saba mfukon...nkakutana na pini moja hivi Kali kichiz mzee ,kiunoni vipisto , kavaa na vile vinguo vyakubana vifup , yaan akiinama unaiona Pichu kwa umbaali, nikaona hapo kichepe acha nimboreshe,...nikaanza kum-boresha tukakubaliana buku tano Ila ndom juu yangu...kufka ndina mzee hakusomek kabsa, hapo mm nimetangulizwa mbele yeye nyuma akawa ananiambia tu kata kulia ,kushoto ,IngiA....ebwana godoro kipisi ,raman za kushato , kitanda fut tat na nna hai kulikuwa na nati moja moja kila angle, stim zikanikata kabsa mboo ililala mjuba, mkumbuke hapo mm npo mbele yy yupo nyuma anapandisha kigaun, kumchek ni mmaza wa Kama 34 hiv huku mm nlimuona Kama wa 22 kwenye taa zenye rangi nyekundu na blue kule bar...nikapiga moyo konde mwanaume hachagui dimba...basi nikauziwa kike kikondom kimoja buku , hasira Zaid kondom ni ya msaada ya MSD ...nikamwambia ainame akachomoa...ikabid kifo Cha mende ..daah kelele za kitanda ,uchafu wa chumba na umri wake vikantoa kwenye reli Sasa kutokana na hasira nkawa napeleka moto had akanifinya mbavun .. paliuma had mboo ikalala...ikabid kuiamsha akaiamsha ikakubali..kubatilisha kondom akadai buku Tena, daah ntafanyeje na ndo nipo mbele ya mbunye , hapo nkachapa huku najilaum , daaah SI ikalalia ndina , mammae ikabid nianze kuingiza Kama utambi wa taa, ...ikabid ni mchane sjaridhka na mazingira nkavaa nguo zangu nkasepa ,skutoa bao japo nilimla kwa mda mrefu
Mkuu nimecheka sana hii kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti ukawa unachomeka kama utambi wa taa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Malaya anauza 4000 ujue hata life style yake ni ya Tsh 4000...chumba uswazi analipa 50K kwa mwezi au anakaa gheto..

Wapo Malaya wanakaa mikocheni, msasani, upanga, nk kwenye apartments wanalipa mpaka $500 - $1000 kwa mwezi...hawa akiuza hiyo 4000 ataipata saa ngapi hiyo $500...life style zao ni gharama pia ili kumaintain muonekano na thamani....Wapo Malaya wanapanda ndege na kwenda kuuza nchi mbalimbali, hawa unafikiri hizo gharama za kugharamia safari na kianzio wanazitoa wapi wakiuza hiyo 4000.... Unafikiri Malaya anayepatikana pale New Africa hotel Dar anaweza kuwa anauza huko banana kwa 4000?..
 
Kulala na kahaba ni kuichafua nafsi yako nawe mikosi itakuandama, kahaba,malaya ni jalala la kutupia mikosi KILA mwanaume uacha roho yake chafu pale unaposhiriki nae zile roho chafu zinakuvaa na maisha yako yanachafuka.

Uzinzi ni hatari sio suala la malaya tu...issue ni uzinzi...Papuchi ambayo ni salama ni mke wako ambaye mlikwenda kanisani au msikitini mkafunga ndoa, hiyo ndio salama maana tayari imebarikiwa na ina ulinzi kiroho..
 
Uzinzi ni hatari sio suala la malaya tu...issue ni uzinzi...Papuchi ambayo ni salama ni mke wako ambaye mlikwenda kanisani au msikitini mkafunga ndoa, hiyo ndio salama maana tayari imebarikiwa na ina ulinzi kiroho..
Makahaba na watoza ushuru wanawatangulia kuingia kwenye ufalme wa Mungu, tatizo mnachuja mbu na kumeza ngamia ....,!! Kwenye issue hii mnajifanya watakatifu , Ila mambo mengine ni waovu wa kimya kimya , Usiwadharau Sana hawa watu ..shukru Mungu tu Kwa Hali yako ya kimahusiano
 
Bora wale wanaotega maeneo anatafuta target moja analipwa 100k au 50k ananyweshwa, anakula na anaamka na 50k-100k akitoka hapo anaoga na vipodozi vyote kama anatoka ofisini vile....huyu hata mileage na wear rate ya K ukiifungia gauge inaweza kuwa ndongo...
 
Back
Top Bottom