Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Hivi hao hao si huuza ndogo pia?
Ndo hao hao, mkuu ukijichanganya unaoa, na ni Hawa Hawa dada zetu na watt wa shangaz na wajomba zetu , ndo Hawa dada zetu na wadogo zetu wapo mikoa ambayo sisi hatupo na hawaelewek wanafanya Kaz gan,Ila wakija misiban tunawaona wazungu ,wakiukizwa mwafanya shughuli gan wanajib biashara as if biashara imekuw matako, wengine tunaowaona ni dada na ndugu zenu ndo wamekimbilia huku nilipo Kama ndugu zangu waluvokja huko, hawana alama na haya mambo hayana formula...
 
Hee huyo dada noma sasa kuazima hadi ghetto, je hiyo njemba ikirudi next time bila taarifa kumsalimia mgonjwa hapo itakuaje😂😂
 
Hee huyo dada noma sasa kuazima hadi ghetto, je hiyo njemba ikirudi next time bila taarifa kumsalimia mgonjwa hapo itakuaje😂😂
Hawz kuja bila taarifa aliwekewa ring, na akijimix ataitwa mwiz and no one care, mbaya Zaid mshua wa Dem hajui Kama mtt anauza,,au anajua kaamua kuchuna maana Hana namna,...narudia Tena hawana alama.. japo mm naweza nkamtambua tabia Zake baada ya miez mitat hv Kam nkipata Dem wa hvo
 
Hee huyo dada noma sasa kuazima hadi ghetto, je hiyo njemba ikirudi next time bila taarifa kumsalimia mgonjwa hapo itakuaje😂😂
Ati kanashangaa..😂

Haya Mambo yanafanywa na ke Kama nyinyi tunajua sema tumeamua kukaa kimya tu,ukiwa mshamba siku ukikutana nayo halafu ndo umependa unaweza kupasuka moyo..🤣
 
Duh mwamba kweli ww ni Legendary halafu umeongea kwa hisia sana elimu uliyotoa hapa haifundishwi popote zaidi ya uzoefu binafsi.
 
Eti nilimshika papuchi kwa bahati mbaya, yaani utoke zako gheto na ufuate sungura tope ukalipia kabisa alafu useme bahati mbayaa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…