Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Malaya atabaki kuwa Malaya kama mtu anaenda kununua wa elfu nne na bado anavutiwa na huyo mwanamke na kuanza kumsifia na kutaka kwenda naye kwake anapoishi unajua ni kwa kiwango gani nafsi yake imekoshwa? Umekoshwa na mwanamke katika mazingira mabovu siku ukikutana naye katika mazingira mazuri kama kwenye malls au restaurants ukamtaka akakukazia kwa bei ya juu ukalipa na kuenda naye faraghani ukimaliza unakuja humu JF kujitapa umekula pisi kali wakati wenzako usiku wamepiga kwa elfu nne na waweza kuta walifika hata ishirini sasa wewe kujikuta mjuaji umekuja kupita na uchafu wa wenzako bila ya kujua ndo maana wahenga walisema usilolijua ni usiku wa giza mimi Baba Morgan naongezea usilolijua ni zaidi ya usiku wa giza.
 
Hakuna hii kitu. Mwanamke mbovu ni mbovu hata awe mazingira gani. Mwanamke standard ni standard hata ufanye naye ngono jalalani. Harufu ya K tu ya mwanamke asiyetumika sana ni tofauti. Unaweza imumunya.
Endelea kuimumunya tu, Hawa madem tofaut connection ,uzungu na ushua ....Ila wakiingia kwenye 18 tunawala very simple
 
Demu unamkuta mazingira machafu unaenda kumla mazingira mabovu hapo raha iko wapi sasa kmmmk! Bora demu umtongoze kihalali ukale mbunye ya halali[emoji23]

Wahuni mna namna zenu za uhalali na watu wa dini wana namna zao za uhalali [emoji23][emoji23]....
 
Wahuni mna namna zenu za uhalali na watu wa dini wana namna zao za uhalali [emoji23][emoji23]....
Ukitongoza unakuwa chance kubwa ya kumuandaa demu! Unakuwa na chance kubwa ya kufahamiana nae vyema na ku connect nae kihisia kabla hamjaanza mambo ya mapenzi.
 
Ukitongoza unakuwa chance kubwa ya kumuandaa demu! Unakuwa na chance kubwa ya kufahamiana nae vyema na ku connect nae kihisia kabla hamjaanza mambo ya mapenzi.
Kidg nnakuunga mkono....Ila Kama atakuelewa ataficha uovu, atakucheleweshea kipochi manyoya ili umuone mstaarab , ataanza kukupiga kistaarab ,na kama utajichanganya sana unaeza owa...Ila advantage yake Unapata mda wa kumjua, Ila ndo Hawa Hawa ,usije ukaibiwa shehe
 
Dracular anusurika kunyonywa damu πŸ˜†πŸ˜†
 
Kama unajua Malaya ni Malaya ushajijibu sasa huyu Malaya hadi kumaintain kuishi maisha ya kifahari tafsiri yake ni kuwa flow yake ya pesa inabidi kuwa kubwa na hili flow iwe kubwa lazima aongeze jitahada katika kusupply bidhaa yake hoja inarudi palepale kuna possibility katika siku yenye jumla ya masaa ishirini na nne anaweza pigwa na watu tano na kuendelea na anapelekewa moto sio kitoto kutokana na kuspend na hao watu muda mrefu tofauti na yule anayesimama barabarani ambaye kwa wastani analala na mwanaume kwa dk5 mpaka dk10.
 
Sizungumzii mamba mkuu! Angalia wapi unamtoa huyo demu kwanza
 

Wapo wanaouza K ili wale, walale na kusaidia ndugu zao vijijini nk....
Wapo wanaouza K ili waweze kuishi luxury life maana kula, kuvaa, kulala kawaida kwao sio tatizo..
Wapo wanaouza K ili kuwa na level kubwa ya maisha, hawa tayari wanaishi maisha ya kawaida kwa gharama zao na mipango yao, wanauza kwa matajiri wapate mitaji mikubwa na kufungua biashara kubwa..
Wapo wanaouza K si kwa kulipwa hela hapana bali kupewa status kwa kusafirishwa maeneo kama dubai, Thai na kutumia tu sehemu za starehe..
Wapo ambao hawauzi K bali mapenzi ni hobby yao na huhitaji watu wa status fulani fulani kuenjoy tu maisha..
 
We upo kundi gani hapo?
 

tunazungumzia muuza K ambaye hata asipogongwa mwezi anaweza kula na kulipa bills zake...huyu anaweza kuwa hata na boyfriend wake wanafanya bure anakidhi haja zake, lakini target yake ni kulala na mwanamme mmoja kwa wiki atakayempa 200k mfano....au anayeweza kucover matumizi yake akapunguza makali ya maisha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…