Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

Kiukweli mkuu sinaga iyo tabia nina mtu wangu japo sijamuoa bado ila nia thabiti ninayo na tumeanza mahusiano Mwaka 2019 December na ukweli sijawah gonga nje tangia nianzenae.

Nilichojaribu kuwaza Dem wa elfu 4 hiyo uchi si inatoa harufu mda wote? Maana hawaogi wale wakishaliwa ma kwa elfu nne nani atashindwa kuwala?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok nimekuelewa sasa, kwamba wanaoweza kuafford kulipa buku 4 ni wengi kuliko bei ikiwa kubwa. Na naskia hamna kuoga huwa papuchi zinafutwa tu na tissues akija mwingine kazi inaendelea. Wanaonunua hiyo huduma sijawahi kuwaelewa ni risk sana. Sasa usiombe na ndomu ipasuke katikati ya tendo. Utajuta milele.

Hongera kwa kutulia na mmoja na kumbe inawezekana wanaume mkiamua, safi sana na mfike mbali mkuu
 
Marry Christmas to everyone in here..
Jamani mwenzenu nilikuwa siamini kama biashara ya ngono huwa hipo.. Karibu na hapa napoishi kuna sehemu maarufu sana kwa biashara hiyo ya ngono basi nikajisemea lazima leo nikanunue mmoja wapo ili nipate experience kidogo kuhusu biashara hiyo.
Nikajongea taratibu mpaka eneo la tukio na maana nikaona wanawake wengi wa kila rika wakiwa wamevaa nusu uchi..

Basi nikaangalia nani mwenye matak* makubwa kuliko wote ili niinjoy nae katika utafiti wangu.. Mashalaah nikaona dada flani hivi age yake ni kama 28 hadi 32 nikamsogelea na yeye alivyoona tu namsogelea akanifata na kuniambia kaka part time ni elfu 4 sikutaka ku bargain sana nikamwambia poa ila twende kwangu huwezi amini alikataa katakata nikamwambia basi poa kwahiyo tutafanyia wapii?

Yule dada akanionesha kachumba ambacho kapo karibu kabisa na lile eneo nililomkuta.. Nikamwambia basi poa nikampa elfu 4 yake .. Tumefika pale yule dada akatoa condom na akaniambia niingie kwenye ki chumba kile kicho na giza. Daah yani nimeingia tu na kukuta njemba kama 4 hivi zinakula mzigo mule ndani, yule dada aka huku a kitu Kama kigodoro flani hivi akatandika chini kisha akapandisha juu ki skirt chake( kumbe hawavaagi pichu??). Akaniambia toa dushe nikuvishe ndom tufanye huku akiwa anajiandaa kulala kifo cha mende.. Nikamwambia sijaridhika na haya mazingira basi we chukua tu hiyo hela na ahsante kwa uhuduma.. akaanza ku shout eti "Monica mteja wangu kasusa" mi nikatoka na kurudi zangu geto na kunawa mikono na sabuuni na maji tiririka maana nilimshika papuchi kwa bahati mbaya..

Onyo: Tuendelee kuchukua tahadhari UKIMWI upo..
nani alikuambia ukimwi upo huko?
 
Ok nimekuelewa sasa, kwamba wanaoweza kuafford kulipa buku 4 ni wengi kuliko bei ikiwa kubwa. Na naskia hamna kuoga huwa papuchi zinafutwa tu na tissues akija mwingine kazi inaendelea. Wanaonunua hiyo huduma sijawahi kuwaelewa ni risk sana. Sasa usiombe na ndomu ipasuke katikati ya tendo. Utajuta milele.

Hongera kwa kutulia na mmoja na kumbe inawezekana wanaume mkiamua, safi sana na mfike mbali mkuu
Kutulia na mwanamke mmoja ni kati ya discipline kubwa ambayo wanaume wengi hatuiwezi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio ishu ya dini ujui kitu kuhusu universe.Unadhani duniani upo pekee yako tu
Sawa ila usitudanganye mana huongei haya ila kwa mtazamo wa kidini..hayo maroho machafu au masafi ni wewe tu ulivyojipostioni...umasikini wa akili mbaya sana..kuna watu wanalala na kila malaya na wanahela na maisha yao mazuri hao unawaongeleaje.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Peaky blinders irudi tu mwakani niliimiss haha
 

Attachments

  • IMG_3298.jpg
    IMG_3298.jpg
    19.9 KB · Views: 10
Sawa ila usitudanganye mana huongei haya ila kwa mtazamo wa kidini..hayo maroho machafu au masafi ni wewe tu ulivyojipostioni...umasikini wa akili mbaya sana..kuna watu wanalala na kila malaya na wanahela na maisha yao mazuri hao unawaongeleaje.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini sio laana pekee au mikosi pekee maishani
 
Back
Top Bottom