Nilichoshuhudia leo kwa binti mke wa mtu tena mke mwenyewe ni mlokole wa kufa mtu

Nilichoshuhudia leo kwa binti mke wa mtu tena mke mwenyewe ni mlokole wa kufa mtu

UWOGA=UMASKINI

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
2,399
Reaction score
1,014
Leo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo

Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema

Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe

Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo

Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu

Jamani achen wanaume wawe MAKATILI
 
Leo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo

Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema

Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe

Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo

Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu

Jamani achen wanaume wawe MAKATILI
Mtishie na hizo picha akupe nawe mzigo. Ukienda kumwambia jamaa ntakorofishana tu
 
b5c8d2a9ed572868e1f09111769652ca.jpg
 
Kwaio jamaa atakuwa amemla na ule mtandao wetu pendwa au?
 
Leo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo

Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema

Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe

Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo

Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu

Jamani achen wanaume wawe MAKATILI
Devil at work!Tuliambiwa omben ili msije mkaingia majaribuni maana roho i radhi lakini mwili ni dhaifu.Bado tupo wenye hofu ya Mungu mpendwa usikate tamaa.Wote tunahitaji neema ya kushinda dhambi na pia tuikimbie zinaa tuliambiwa sasa kama utaiintartain basi we kwishne,
 
Niliwaamini sana walokole ila kwa hili basi tena
Still tupoooooooooooooooooooooo i insist huo ni udhaifu wa mtu na kutokua na hofu ya Mungu na mtu hujaribiwa kwa tamaa yake mwenyewe.Na si wote wanaojiita walokole wamesimama na Mungu wengine hutumia kama kimvuli tu cha kujifichia bt wa ukweli bado tupoooooooooooooooooooooo.Imeandikwa USIZINI PERIOD.Na ndo maana Yesu alisema anipendae atazishika amri zangu.Na mtu akitaka kumfuata ajitwike msalaba wake amfuate.
 
mtu kua mlokole haimaanishi amekua malaika.
wapo wanojikuta wameingia majaribuni km bindam wengine na wapo walioimara hawa tetereki.
 
Wewe umejuaje kama huwa anafanya kale kamchezo?

Mwisho wa siku wewe ni mwanaume kaa kimya mapenzi ya watu usiyaingilie.
Kuchepuka achepuke yeye kuumia uumie wewe ulipewa kifua kitumie ipasavyo
 
Back
Top Bottom