Nilichoshuhudia leo kwa binti mke wa mtu tena mke mwenyewe ni mlokole wa kufa mtu

Nilichoshuhudia leo kwa binti mke wa mtu tena mke mwenyewe ni mlokole wa kufa mtu

alafu ndo ukute yeye ndio anaongozaga sala za kuombea ndoa zawatu dha dunia hii
 
Hata mama yako alipokua umri huo alichepuka. Napataga shida sana mtu anayefuatia maisha ya watu wengine badala ya kujenga kila mara anawaza kubomoa.

Kwa kitu kama hiki mfuate binti kumweleza ukweli na muonye akirudia utasema vivyo hivyo kwa mwanaume anayetembea naye. Lakini kuwachonganisha wanandoa hao naona si jambo la kujenga zaidi ya kubomoa.

Golden rule "usimfanyie mwenzio kile usingependa kufanyiwa"

Pia karume alisema "penda na kuthamini cha kwako mpaka usahau cha mwenzio"
 
Leo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo

Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema

Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe

Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo

Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu

Jamani achen wanaume wawe MAKATILI
Kwahiyo unataka kuwatenganisha? Si umuache afumaniwe na mumewe siku ikifika
 
Hata mama yako alipokua umri huo alichepuka. Napataga shida sana mtu anayefuatia maisha ya watu wengine badala ya kujenga kila mara anawaza kubomoa.

Kwa kitu kama hiki mfuate binti kumweleza ukweli na muonye akirudia utasema vivyo hivyo kwa mwanaume anayetembea naye. Lakini kuwachonganisha wanandoa hao naona si jambo la kujenga zaidi ya kubomoa.

Golden rule "usimfanyie mwenzio kile usingependa kufanyiwa"

Pia karume alisema "penda na kuthamini cha kwako mpaka usahau cha mwenzio"
Mi napendekeza amwambie mumewe ili huyo mwanamke aache unafiki,MAOVU hayakubaliki.
 
Kuna msanii maarufu aliwahi kusema kwenye mahojiano wakati anataja list ya watu waliochepuka na ex boyfriend wake; ''.....yaani hata Jok...., tena si mlokole yuleee.....!!!.' Hapa naona kama mtoa mada kaingiliwa kwenye anga zake na huyo dada wa kilokole!! Kwa maelezo haya na undani wa kumfahamu huyo kaka, naona kila dalili mtu kaporwa mtu wake na hii ni taharuki!!!
 
Mtishie na hizo picha akupe nawe mzigo. Ukienda kumwambia jamaa ntakorofishana tu
Hahaaaaa wewe jamaa una roho ngumu kuliko huyo mama aliechepuka. Unataka jamaa alipwe chake kwa ajili ya macho kuona. Yaani wewe jamaa unaweza mkuta mwizi anaiba kwa jirani unamwambia niachie mgawo wangu la sivyo nakutia yowe la mwizi.
 
Achana nao fuatilia maisha yako tu mwache mume wake amgundue mwenyw
Kwan walokole si binadam wa kawaida na wanatenda dhambi kama kawa unachoshangaa ni nn apo
Hamna wa kuaminika iwe mwanaume au mwanaume
yeah gud gud.. unajua watu wanashindwa kuelewa misingi ya sheria mama za kimazingira sasa hapa ndio huwa kuna mshikemshike pale binadamu anapokuja kuweka sheria zake ambazo zinakinzana na sheria za kimazingira,asili na chimbuko letu ni unyama i mean tunatabia kama za wanyama ambazo tabia hizi zimeathiriwa direct with us na zinamisukumo ya aina yake tofauti tofauti.
kinachotutofautisha sisi na wanyama ni ufahamu lkn mengine ni copyright! sasa ufahamu wetu mda mwengine huingilia sheria mama za uasili wetu na hapo watu hushindwa kuzifuata sheria za kibinadamu nakutumbukia wenyewe tunaita kwenye dhambi!! lkn nijuavyo dhambi sio kwenda kinyume na sheria za binadamu no ni kwenda kinyume na sheria za kimazingira.
 
Kuishi kinafiki ni mbaya sana na inakera sana,watu wanaoishi kinyume na maadili halafu wakigundulika unatolewa ushauri kua wafichiwe siri,siwapendi sana na watu wanatakiwa wawaumbue ili kujenga jamii yenye maadili kwa manufaa ya kizazi chetu.Kutowaumbua hawa wazinzi kunafanya muda mwingine hata baadhi ya watoto kuja kusikiasikia mitaani kua mama yao au baba yao ni mhuni,na hivyo kupelekea kuathirika kisaikolojia na kuwawazia mama zao vibaya hasa pale ambapo mama au baba anaingiza mchepuko ndani na watoto kujua.Sipendi wazinzi na wafanya maovu tena kwa kificho.
 
Back
Top Bottom