Nilichoshuhudia leo kwa binti mke wa mtu tena mke mwenyewe ni mlokole wa kufa mtu

Nilichoshuhudia leo kwa binti mke wa mtu tena mke mwenyewe ni mlokole wa kufa mtu

Leo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo

Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema

Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe

Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo

Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu

Jamani achen wanaume wawe MAKATILI
Mwanaume kuwa na kaba
 
Back
Top Bottom