Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume kuwa na kabaLeo nilipigwa na bumbuwazi baada ya kuona mke wa rafiki yangu ambaye ni mke wa ndoa na watoto wanao na ni mlokole sana nilimwamini sna nikawa mpka nimewapa gredit sana wanawake wa namna hii ila leo nimemshuhudia kwa macho mahili akichepuka na kuliwa na tatizo huyu jamaa ambaye amechepuka naye anafanyaga na ule mchezo
Kwa kweli mpaka sasa siamini nilichoona kabisa kabisa kwa kuwa huyu dada huwezi amini anvyoongea ni kiongozi wa sifa kwa kanisa lao na yeye na jamaa yake mumewe yaani nakosa maneno ya kusema
Na bahati mbaya jamaa anajitapa sasa kamlamba na demu hana jipya
Huyu dada yupo hapa jamii forum na mumewe na mimi na id zao ninazo sasa nafikiria kumweka wazi jamaa ili ajue mchezo aliofanyiwa mkewe
Mbaya ya yote jamaa kampiga picha na jamaa kanitumia tatu zipo ninazo
Kwa kweli mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu
Jamani achen wanaume wawe MAKATILI
Mkuu mabinti zenu mishungi ndo wasajili mahiri wa mixx by yas hakuna asiye lijua hili acha kujitoa akili.Mi nadhani wakatoliki ndo rahisi, mabinti wa dini yetu ya haki hawarubuniki kama wagalatia.