Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Wadau mimi nmekuja Tabora mwezi sasa. Nimekuja kikazi shughuli zetu. So siku zote hizi nalipwa Per diem kama kawaida. Nikawa mara kadhaa napata burdan sehemu mbalimbali mpaka mwenyeji wangu akanileta Sehemu moja inatwa Oxygen.
Siku hiyo nikapata lidada la Kiarabu. Mashallaah....lina tembea na kiti chake ( big ass ) na linapendeza kweli. Likanisonga songa nikaona si haba ngoja nami nipate sehemu ya kuwa naoshea Rungu. Lizuri sana la Haja.
Likanambia linaishi kwao lilishaachika mumewe alikuwa mlevi. Nikaona nilipangie Room ili liwe linanifariji na hali ya kibaridi huku Tabora. Sikutaka liwe linakuja Hotel nliyofikia maana nipo na wenzangu wananiheshimu mi ni boss wao.
Likanambia liwe linakuja nilipo nikasema hapana ntakupangia room.basi nikapelekwa Ng'ambo huko ndo lilipopata room.sikupapenda.likasema pale ndo pazuri kwake. Nikamwambia kama ni pale mi nalipia tu miezi mitatu ahame ahamie sehemu za kisasa Cheyo.
Basi kwa shingo upande akachukua pesa kulipia room. Siku mbili tatu bidada akasema anataka nimnunulie TV.nikaona siyo big deal TV 380,000 tu nikamnunulia.
Basi nikawa namtunza naye ananitunza tunafaana kwa jua na mvua. Siku nikamwambia sitoenda kwake...but night kali nikajiwa na hamu sana around saa tano nikaona isiwe shida. Nina usafiri na ng'ambo si mbali.
Basi nakumbuka nikawa nashuka ghorofani kwa kasi kidogo nivunje mguu nawahi kwenda osha Rungu.
Simu nlipiga ikawa unreachable.nikatia team home kwake. Bahati nzuri nikakuta hakulala mlango upo wapi nikasukuma ndani.... Daaah .... Nlikuta jamaa amevaa khanga amekaa anaangalia TV yangu?
Nlishtuka nikadhani maybe nmekosea room. Nikamwambia jamaa hapa ndo kwa Zakhia... Akajibu ndiyo...mara ghafla namwona bidada anaingia kashika beers mkononi. Kuniona akashtuka... Nikamuuliza ndo alichoamua kunifanyia...?
Bidada akawa mkali na kuanza kunibwatukia kuwa sijamwoa....tena nisimzingue....nikamwambia haina shida. Nliipasua TV... Yule mgeni alichomoka mle ndani na khanga akatoka speed sana.maana mashetani yangu ya kikurya yalishapanda.
Nikapasua na Radio yule dada aakaanza kulia akiomba msamaha....aliomba sana msamaha....nikamwambia atulie maana nlishashika kisu kukata kata sofa mbili nilizomwekea ndani....
Then nikamwaga analia ile mbaya.... Yaani mademu wa kiswahili hovyo sana. Nimechoka nayo. Nimeapa Ng'ambo sirudi tena. Jamaa yangu ananiambia labda nikaangalie sehemu nyingine mademu wa kupozea hasira. Nmeshachoka na huku Mboka Manyema.
Siku hiyo nikapata lidada la Kiarabu. Mashallaah....lina tembea na kiti chake ( big ass ) na linapendeza kweli. Likanisonga songa nikaona si haba ngoja nami nipate sehemu ya kuwa naoshea Rungu. Lizuri sana la Haja.
Likanambia linaishi kwao lilishaachika mumewe alikuwa mlevi. Nikaona nilipangie Room ili liwe linanifariji na hali ya kibaridi huku Tabora. Sikutaka liwe linakuja Hotel nliyofikia maana nipo na wenzangu wananiheshimu mi ni boss wao.
Likanambia liwe linakuja nilipo nikasema hapana ntakupangia room.basi nikapelekwa Ng'ambo huko ndo lilipopata room.sikupapenda.likasema pale ndo pazuri kwake. Nikamwambia kama ni pale mi nalipia tu miezi mitatu ahame ahamie sehemu za kisasa Cheyo.
Basi kwa shingo upande akachukua pesa kulipia room. Siku mbili tatu bidada akasema anataka nimnunulie TV.nikaona siyo big deal TV 380,000 tu nikamnunulia.
Basi nikawa namtunza naye ananitunza tunafaana kwa jua na mvua. Siku nikamwambia sitoenda kwake...but night kali nikajiwa na hamu sana around saa tano nikaona isiwe shida. Nina usafiri na ng'ambo si mbali.
Basi nakumbuka nikawa nashuka ghorofani kwa kasi kidogo nivunje mguu nawahi kwenda osha Rungu.
Simu nlipiga ikawa unreachable.nikatia team home kwake. Bahati nzuri nikakuta hakulala mlango upo wapi nikasukuma ndani.... Daaah .... Nlikuta jamaa amevaa khanga amekaa anaangalia TV yangu?
Nlishtuka nikadhani maybe nmekosea room. Nikamwambia jamaa hapa ndo kwa Zakhia... Akajibu ndiyo...mara ghafla namwona bidada anaingia kashika beers mkononi. Kuniona akashtuka... Nikamuuliza ndo alichoamua kunifanyia...?
Bidada akawa mkali na kuanza kunibwatukia kuwa sijamwoa....tena nisimzingue....nikamwambia haina shida. Nliipasua TV... Yule mgeni alichomoka mle ndani na khanga akatoka speed sana.maana mashetani yangu ya kikurya yalishapanda.
Nikapasua na Radio yule dada aakaanza kulia akiomba msamaha....aliomba sana msamaha....nikamwambia atulie maana nlishashika kisu kukata kata sofa mbili nilizomwekea ndani....
Then nikamwaga analia ile mbaya.... Yaani mademu wa kiswahili hovyo sana. Nimechoka nayo. Nimeapa Ng'ambo sirudi tena. Jamaa yangu ananiambia labda nikaangalie sehemu nyingine mademu wa kupozea hasira. Nmeshachoka na huku Mboka Manyema.