Nilichotendwa Tabora huku Ng'ambo sina hamu tena!

Nilichotendwa Tabora huku Ng'ambo sina hamu tena!

Hiyo hela uliyotumia kwa hilo changu bora ungemtumia mama yako mzazi qua kumjengea kaburi lake kama ameshatutoka
Hatufanani. Mama yangu anaishi vizuri na baba yangu. Kifupi si pesa ya kuniumiza kichwa. MPaka natumia hiyo maana yake mambo yote muhimu nimekamilisha. Nalipwa per diem na posho mbalimbali.....yaani siyo issue kwangu. Nlikwazika tu kuwa anatumia vitu nlivyogharamia kwa upuuzi.

Kuna stages sisi wengine tumeshapita hatuko huko tena. Kama ninyi.
 
Mwanamke mkuu hujamuoa unampangia chumba..?? Mkuu huyo ilitakiwa ukimuhitaji mnakutania hata lodge mnamalizana ila kumpangia chumba daah pole
Kodi ndogo sana ndugu yangu si kama ya Dar. Yaani ukiambiwa unaweza shangaa....lakh 300,000 miezi mitatu. Ni pesa ndogo sana. Niliona hiyo bora kuliko kuwa nalipia Hotel 45,000 kila mara. Pia sikutaka mleta nilipo si heshima. Huwa sifanyi hilo kosa.
 
Sasa kwanini unaharibu vitu na umevigharamakia mwenyewe, na tena kuna watu wanamahitaji navyo.
Nsingeharibu vitu ngelazimika kumharibu yeye ....na muda huu ngekuwa nina kesi ndogo ingawa isingenisumbua....ila tu ingenichafulia status yangu Mkuu.
 
Kodi ndogo sana ndugu yangu si kama ya Dar. Yaani ukiambiwa unaweza shangaa....lakh 300,000 miezi mitatu. Ni pesa ndogo sana. Niliona hiyo bora kuliko kuwa nalipia Hotel 45,000 kila mara. Pia sikutaka mleta nilipo si heshima. Huwa sifanyi hilo kosa.
Sawa ila wamawake wa kuchakata kama hao usiwapangie vyumba wakikaa wenyewe watavusha watu siku haupo km hivyo
 
Nilishachukua kirukuu nikasomba vitu vya malaya niliyempangishia sinza. Nikafika navyo home nikaulizwa nikakosa jibu cha maana tu vinatumika na watoto wana TV yako. Sifanyi ujinga tena wa kumpangishia Demu malaya chumba.
Ulifanya vyema.... Atakuwa alijuta sana ...hawajielewi hawa ....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilishachukua kirukuu nikasomba vitu vya malaya niliyempangishia sinza. Nikafika navyo home nikaulizwa nikakosa jibu cha maana tu vinatumika na watoto wana TV yako. Sifanyi ujinga tena wa kumpangishia Demu malaya chumba.
Mambo ya kupangishia madem Chumba hiyo tabia wanayo wa Zanzibar utakuta kijana ana ishi Kwa wazaz lakin kampangishia Chumba malaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe ni bosi, sijui hao unaowaongoza wapoje. Maana unaonekana mshamba sana!
Likely Msukuma [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Kaona tu mtako na weupe wa kishombe shombe basi huyoo tayari kuingia magharama yasiyo na kichwa wala miguu. Tena ana bahati. Huyo aliyemkuta kajifunga kanga anaangalia TV yake angeweza hata kumtoa utumbo...and for what?

Ukifika mahali kabla hujakurupuka ulizia kwanza wenyeji. Ongea na bodaboda wa hapo mtaani watakupa mkanda mzima kuhusu pisi uliyoitageti kabla hujaamua kujitosa kununua maTV na kupangisha vyumba. Vinginevyo unaweza kujikuta unauliwa bure au kuingia katika matata makubwa. Ushamba/ulimbukeni mzigo!
 
Sasa atakuwepo kweli zaidi ya miaka 16? Nani mwingine nimtafute angalau wa kupiga naye stories....
jamaa yangu hapo si kuna Chuo cha Uhazili? jaribu week end
lakini hawa wanawake wa kujibebea hutawamaliza hamu mwisho wakuite KIBAMIA maana huwezi mpangia mwanamke chumba usiend lala lazima ataingiza apime mitalimbo mingine
 
Back
Top Bottom