Innocent Citizen
Member
- Jul 14, 2021
- 42
- 74
Mkuu njoo Oxygen muda huu kuna beer zako tatu apa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kweli Elimu haina mwisho, kuna watu hawana ustaarabu na ndio wako hivyo tu!Wee acha unajua kutokuwa na uzoefu na bidada nlitegemea angetulia shida si pesa? Mi vipesa vidogo dogo ninavyo havinisumbui kabisa.
😁😁😁Hongera kwa kuwa bosi mkuu [emoji122][emoji122][emoji122]
Wewe umeokota malaya halafu unataka awe wa peke yako? We ulisikia wapi?[emoji15][emoji15][emoji15]
Tabora wanawake siyo wakutafuta baba acha uvivuSasa atakuwepo kweli zaidi ya miaka 16? Nani mwingine nimtafute angalau wa kupiga naye stories....
Alaa.. kumbe mawife huombaga Dua'a? Tunapo safari kizazi...?Hizo zitakua dua za mkeo zimejibiwa.
Sasa je unafikiri tunakaa kizembe. Ndio mtulie huko safarini.Alaa.. kumbe mawife huombaga Dua'a? Tunapo safari kizazi...?
Lazima tushike adabu..!!Sasa je unafikiri tunakaa kizembe. Ndio mtulie huko safarini.
Real? Upo peke yako au na....ile mituli (nyama ndani ya utumbo) ipo ?Mkuu njoo Oxygen muda huu kuna beer zako tatu apa
Halafu huwa wanalalamika kuwa sisi wanaume wabaya kumbe ubaya wanauanza wenyewe. Sasa anapiga simu na kutuma texts kila wakati kuwa nimsamehe kwa kuwa yule alikuwa mtu wake wa kitambo. So akawa hana namna. Hata kumjibu najisikia uvivu.Dah kweli Elimu haina mwisho, kuna watu hawana ustaarabu na ndio wako hivyo tu!
Ila wewe hapa ndo umeonesha mshamba....😂😂😂😂😂😂Wewe ni mshamba sana
Hahah mpe maana ya malayaHongera kwa kuwa bosi mkuu [emoji122][emoji122][emoji122]
Wewe umeokota malaya halafu unataka awe wa peke yako? We ulisikia wapi?[emoji15][emoji15][emoji15]
Mpotezee tu tafta goma lingineHalafu huwa wanalalamika kuwa sisi wanaume wabaya kumbe ubaya wanauanza wenyewe. Sasa anapiga simu na kutuma texts kila wakati kuwa nimsamehe kwa kuwa yule alikuwa mtu wake wa kitambo. So akawa hana namna. Hata kumjibu najisikia uvivu.
Wanawake ni ndugu bwashee, unaweza kujiona mjanja kutafuta mwingine ukakutana na konkodi likakumaliziaMpotezee tu tafta goma lingine
Sasa lengo si kumega kisela auWanawake ni ndugu bwashee, unaweza kujiona mjanja kutafuta mwingine ukakutana na konkodi likakumalizia
Huyu anataka wa kumpangishiaSasa lengo si kumega kisela au
Awe serios kwa kutafta mwanamke anayejitambuaHuyu anataka wa kumpangishia