Nilichotendwa Tabora huku Ng'ambo sina hamu tena!

Wenye pesa huwa atubwabwaji bwabwaji kuwa tuna pesa kila reply, huna pesa wewe John kisomo na hii story ni chai Period.
 
Halafu huwa wanalalamika kuwa sisi wanaume wabaya kumbe ubaya wanauanza wenyewe. Sasa anapiga simu na kutuma texts kila wakati kuwa nimsamehe kwa kuwa yule alikuwa mtu wake wa kitambo. So akawa hana namna. Hata kumjibu najisikia uvivu.
Mrudie akufanyie revenge
 
Tuwasiliane private aisee....
 
Wenye pesa huwa atubwabwaji bwabwaji kuwa tuna pesa kila reply, huna pesa wewe John kisomo na hii story ni chai Period.
Upo period?😳😳😳 How does that concern us?its your life.😁😁😁 Jus mind your own business.
 
Demu alikuwa sahihi, ungekuwa na hoja kama ungekuwa umemuoa, by the way usingevunja TV ungeifungua tu na kusepa nayo! Unavunjaje mali?
 
Hao ni malaya!
 
Mtoa mada kasema yeye ni Mkurya wewe unasema Msukuma. Wasukuma tuliwakosea nini?
 
2006/7 hii... Au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…