Nilichotendwa Tabora huku Ng'ambo sina hamu tena!

Duh wale watu sio kabisa
Hio Tabora ina vituko halafu inaonekana wanapenda sana kwa mpalange,mwezi wa 5 nilikuwepo huko ss kuna dem kabla ya hapo nilikuwa nawasiliana nae instagram,siku ya nikamwambia nakuja huko akaniambia poa nikifika yy ndio atakuwa mwenyeji wangu,nikiwa njian nikawa nawasiliana nae kila kituo ninachofika,basi akanitumia text eti ameshanga kuona siku zake ghafla[emoji2],nikamuuliza ss tutafanyaje kama tuonane siku nyingine,alichonijibu kilinifikirisha sana[emoji23],aliniambia ww njoo usijali ss ni watu wazima hatutakosa namna nyingine ya kufanya,man niliwaza njia nzima leo ndio naenda kupewa kwa mpalange bila kupenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],ilibid nimkumbuke yule mshikaji mwenye kisa chake humu kuwa hataisahau Kanyenye Tabora
 
Na masofa uliyafyekelea mbali? Au ulimuonea huruma tu ukayaacha salama!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we fala nimecheka kiboya sana.
 
Duuh yani kabisa huyu mhusika wa kwenye hii story yako alitegemea awe peke yake kwa huyo mwanamke.

Hii hadithi inatufundisha kua tusiamini watu mapema.
Kwa Taborana miji mingine ya waswahili, hiyo siyo hadithi.

Kukutana na mwanamke bar, halafu kirahisi tu unampangishia nyumba ili ummiliki!

Kitu wasichoelewa vijana ni kuwa, kila ridhiki unayojaliwa leo na Mwenyezi Mungu ni fursa ambayo hairudi, haupaswi kuitapanya na kufanyia kufuru za namna hiyo(kununua samani na kuziharibu).

Ingawa starehe kwa kijana haikatazwi, lakini lazima ifanywe kwa akili pia.

Vitu vyote hivyo vya thamani alivyo msheheni malaya,wawezakuta hawezi kufanya mema kama hayo hata kwa ndugu ama mamake mzazi!

Akifukuzwa ama kukumbana na mabadiliko ya kimaslahi, ndiyo huanza kuwaza kwa kujuta, wakati huo hana lolote la maana alilojiandalia maishani mwake.
 
Tabora sio kabisa nmewahi nusurika kuuawa kisa limalaya

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Form one? aliwahi sana jaman kuanza mambo ya kikubwa
 
Basi kama ni hivyo hukupaswa kutuletea huu utumbo humu. ungetulia kimya sindano ya tabora ikuingie kimya kimya.
kutuletea humu ni kuonyesha udhaifu mkubwa kama mwanaume alafu unaambiwa ukweli unamind nini sasa
 
Basi kama ni hivyo hukupaswa kutuletea huu utumbo humu. ungetulia kimya sindano ya tabora ikuingie kimya kimya.
kutuletea humu ni kuonyesha udhaifu mkubwa kama mwanaume alafu unaambiwa ukweli unamind nini sasa
Huyo jamaa sijui ni msukuma wa wapi sijui.
Ameleta uzi humu watu wanamfundisha ili siku nyingine awe mjanja analeta ujuaji usio na maana na matusi ya ajabu halafu eti anajiita bosi.
Hivi kampuni yenye kujielewa inaweza kumpa ubosi pimbi kama yule.
Ukimkabidhi ofisi ukamwamini si ataifilisi kampuni maana hajitambui hata watu wakija kwa ugia ya utapeli na biashara fake litatoa pesa halafu baadae litaanza kujitetea kampuni ina hela nyingi hakuna wasiwasi.
 
Unajisifu kufanya uzinzi na uasherati? Eti una pesa, so ukiwa na pesa ndiyo tiketi ya zinaa hovyo hovyo?

Ndugu, mwogope MUNGU, mheshimu MUNGU, hayo maisha unayoishi yanamwisho wake. Usisubiri huo mwisho ufike, ikimbie zinaa
 
Basi kama ni hivyo hukupaswa kutuletea huu utumbo humu. ungetulia kimya sindano ya tabora ikuingie kimya kimya.
kutuletea humu ni kuonyesha udhaifu mkubwa kama mwanaume alafu unaambiwa ukweli unamind nini sasa
Kwa nini wewe unaumia kwa pesa yangu?😁 Ulitaka nikupangishie wewe? Sometimes its better to mind your own business ...take your shit advice and shove it up your as*. Pesa yangu,ubwege wangu,kuibiwa nimeibiwa mimi,uzi wangu,nmeandika mimi.... Wewe tu unaumia for nothing ambacho kinakuhusu. Bas njoo wewe pia nikulipie halafu uni cheat...πŸ˜‚
 
Unajisifu kufanya uzinzi na uasherati? Eti una pesa, so ukiwa na pesa ndiyo tiketi ya zinaa hovyo hovyo?

Ndugu, mwogope MUNGU, mheshimu MUNGU, hayo maisha unayoishi yanamwisho wake. Usisubiri huo mwisho ufike, ikimbie zinaa
Ila bin dharura....
 
Mimi naweza kaa miaka 50 bila kufanya kazi na pesa ikawa inaingia tu na kama una dada au wewe mwenyewe pia nikakuoa.... Maisha ni rahisi tu....msi complicate sana. Hatufanani. We umeshaolewa? Dadizo je?
 
nini wewe unaumia kwa pesa yangu?😁 Ulitaka nikupangishie wewe? Sometimes its better to mind your own business ...take your shit advice and shove it up your as*. Pesa yangu,ubwege wangu,kuibiwa nimeibiwa mimi,uzi wangu,nmeandika mimi.... Wewe tu unaumia for nothing ambacho kinakuhusu. Bas njoo wewe pia nikulipie halafu uni cheat...πŸ˜‚

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…