Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Kuna wakati michango yenu hamshirikishi akili wala hamtendi haki.

Zaidi mnajikosha muonekane mko matawi.
Maslay queen watatu mjini sehemu ya maana watatumia sio chini ya 30k kila mtu sawa na 90k plus bolt ya kutoka IFM to Tabata go and return kwasasa sio chini ya 40k.
Ukijumlisha na yeye mtoa out 30k=90+30k+40k=+160k na hapo hatujui huyu jamaa uwezo wake ukoje?.

Naelewa binti huenda alihofia usalama wake lakini alipaswa amtaarifu jamaa kuwa anakuja na rafiki yake angalau mmoja.

Wabongo tunajifanya matajiri kulisha kijiji ilhali wazungu wenyewe hawanyi ujinga huu.
1. Binti alipaswa kutoa taarifa.
2. Kijana mdukuzi naye asingepaswa kuwatelekeza angemwita pembeni tu pale walipokuja kwenye bolt kabla ya kwenda walipopanga kwenda angalau wabadili location waende sehemu nafuu kidogo ili aweze kuafodi gharama.

Tuache ujinga huu wakulisha vijiji kwa sifa za kijinga hasa katika hatua zetu za awali katika utafutaji.

3. Mabinti elimikeni pia...toeni taarifa kabla hamjatoka ili mkubaliwe kuleta rafiki zenu au mkataliwe na out ifie juu kwa juu badala ya kuaibishana mbeleni:

NOTE: maslay queens ni zaidi ya kupe...mmoja ataagiza wine 2 za 25k@ na msosi wa 20k hapo ni 70k
Yaani hadi mwisho unaweza kujikuta 250k imekata bila kutarajia.
Nipe muda kidogo ,nitakushangaza sana .
 
Kuna wakati michango yenu hamshirikishi akili wala hamtendi haki.

Zaidi mnajikosha muonekane mko matawi.
Maslay queen watatu mjini sehemu ya maana watatumia sio chini ya 30k kila mtu sawa na 90k plus bolt ya kutoka IFM to Tabata go and return kwasasa sio chini ya 40k.
Ukijumlisha na yeye mtoa out 30k=90+30k+40k=+160k na hapo hatujui huyu jamaa uwezo wake ukoje?.

Naelewa binti huenda alihofia usalama wake lakini alipaswa amtaarifu jamaa kuwa anakuja na rafiki yake angalau mmoja.

Wabongo tunajifanya matajiri kulisha kijiji ilhali wazungu wenyewe hawanyi ujinga huu.
1. Binti alipaswa kutoa taarifa.
2. Kijana mdukuzi naye asingepaswa kuwatelekeza angemwita pembeni tu pale walipokuja kwenye bolt kabla ya kwenda walipopanga kwenda angalau wabadili location waende sehemu nafuu kidogo ili aweze kuafodi gharama.

Tuache ujinga huu wakulisha vijiji kwa sifa za kijinga hasa katika hatua zetu za awali katika utafutaji.

3. Mabinti elimikeni pia...toeni taarifa kabla hamjatoka ili mkubaliwe kuleta rafiki zenu au mkataliwe na out ifie juu kwa juu badala ya kuaibishana mbeleni:

NOTE: maslay queens ni zaidi ya kupe...mmoja ataagiza wine 2 za 25k@ na msosi wa 20k hapo ni 70k
Yaani hadi mwisho unaweza kujikuta 250k imekata bila kutarajia.
Naunga mkono hoja,
Mabinti wangekula vyake na jamaa akalipia wangemuona fala na kumchukulia danga.
Kuna namna bint alitaka kumkomoa jamaa
Jamaa nae kafanya alchoweza kumkomoa zaid
 
Mi ningejitutumua nikalipa hiyo bili kisha nikahakikisha nachukua namba zao au mmoja wao wa shoga zake huyo slay q kisha naanza mawindo kwa mmoja baada ya mwingine ,Naanza kuwatoa out mmoja baada ya mwingina na kula mzigo kabisa.

Huwa hawakatai kutolewa out hao,tena wakiona mambo mazuri wanakutana nayo huko aaah we ni kunoa kisu tu nyama ipo

Huwa nafanya hivyo ,mie sichukui kampan yako ila jua nitawala wote kwa nyakati tofauti.
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,

Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Ahahaaaaaa....! Wewe balaa
 
Naunga mkono hoja,
Mabinti wangekula vyake na jamaa akalipia wangemuona fala na kumchukulia danga.
Kuna namna bint alitaka kumkomoa jamaa
Jamaa nae kafanya alchoweza kumkomoa zaid
Japo angelipa zake hata kwa kumtumia huyo binti kwa mpesa😄😄
 
Mi ningejitutumua nikalipa hiyo bili kisha nikahakikisha nachukua namba zao au mmoja wao wa shoga zake huyo slay q kisha naanza mawindo kwa mmoja baada ya mwingine ,Naanza kuwatoa out mmoja baada ya mwingina na kula mzigo kabisa.
Huwa hawakatai kutolewa out hao,tena wakiona mambo mazuri wanakutana nayo huko aaah we ni kunoa kisu tu nyama ipo

Huwa nafanya hivyo ,mie sichukui kampan yako ila jua nitawala wote kwa nyakati tofauti.
Utajikuta umetumia milioni
 
Mi ningejitutumua nikalipa hiyo bili kisha nikahakikisha nachukua namba zao au mmoja wao wa shoga zake huyo slay q kisha naanza mawindo kwa mmoja baada ya mwingine ,Naanza kuwatoa out mmoja baada ya mwingina na kula mzigo kabisa.
Huwa hawakatai kutolewa out hao,tena wakiona mambo mazuri wanakutana nayo huko aaah we ni kunoa kisu tu nyama ipo

Huwa nafanya hivyo ,mie sichukui kampan yako ila jua nitawala wote kwa nyakati tofauti.
Faida yake ni nini?
Kumwaga wazungu tu tena kwa mabinti wa kuokoteza?
Mbona tunajishusha thamani kiasi hiki?
 
Mimi huu mchezo aliwai nifanyia Mchepuko wangu mamaJ

Tumeenda bar wawili,
Pale bar kakutana na shoga zake meza ya jirani, wakaanza Kama wanaomba bia Moja, nikaona mamaJ katoa bia kawapa.nikachukulia POA.

Baadae wakazidisha mazoea wakamuomba na nyama choma na vinywaj zaidi.
Bila idhini yangu Kawaagizia jikoni na counter kwa maelekezo ya bill itasoma kwangu.

Mda wa kuondoka naletewa bill inasoma mzigo mrefu sn wkt kwangu nmetumia pesa kdg, namwambia mamaJ anajibu kirahisi rahisi nikaona naumbuka hapa.

Nililazimika kulipa ile bill kwa kujazia cash nilonayo kwa muamala wa NMB mobile.

Tulivoenda nyumban nilikwapua ela zake KWENYE mkoba wake wa kazini na kukata Deni langu la ile bill walokunywa shoga zake.

Alipinga kelele sana[emoji1787]
Katukana matusi ya Kila Aina[emoji1787]
Ila ndo hivyo nishajilipa, pesa hairudi


Alipata funzo na hajarudia Tena upuuzi ule, skuhz ata mtu akiomba bia moja tuko bar anajuana nae, atamwelekeza kwangu nitoe idhini kwanza sio kujiamulia kienyeji[emoji4]
 
Umekosea sana mkuu, me nilimwita akaja na wenzake watatu nilifanya usavimbi wng wale mabest zake nkawala ndizi utumbo wote[emoji23][emoji23]
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,

Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
ungemwambia mapema kuwa asije na qenzio huo ndio ustaarabu
 
Mimi huu mchezo aliwai nifanyia Mchepuko wangu mamaJ

Tumeenda bar wawili,
Pale bar kakutana na shoga zake meza ya jirani, wakaanza Kama wanaomba bia Moja, nikaona mamaJ katoa bia kawapa.nikachukulia POA.

Baadae wakazidisha mazoea wakamuomba na nyama choma na vinywaj zaidi.
Bila idhini yangu Kawaagizia jikoni na counter kwa maelekezo ya bill itasoma kwangu.

Mda wa kuondoka naletewa bill inasoma mzigo mrefu sn wkt kwangu nmetumia pesa kdg, namwambia mamaJ anajibu kirahisi rahisi nikaona naumbuka hapa.

Nililazimika kulipa ile bill kwa kujazia cash nilonayo kwa muamala wa NMB mobile.

Tulivoenda nyumban nilikwapua ela zake KWENYE mkoba wake wa kazini na kukata Deni langu la ile bill walokunywa shoga zake.

Alipinga kelele sana[emoji1787]
Katukana matusi ya Kila Aina[emoji1787]
Ila ndo hivyo nishajilipa, pesa hairudi


Alipata funzo na hajarudia Tena upuuzi ule, skuhz ata mtu akiomba bia moja tuko bar anajuana nae, atamwelekeza kwangu nitoe idhini kwanza sio kujiamulia kienyeji[emoji4]
Safi sana kamanda,huo ndio uanaume,uanaume sio kugeuzwa chuma ulete
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,

Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Vijana mna shida kweli. Taratibu ungetafuna wote wanne kila mtu na siku yake. Mwishowe ungepiga fivesome. Siku nyingine ujue. Wabgekuja wawili ungewatafuna wote wawili siku hiyo hiyo baada ya misavanna na konyagi humo humo. Ndiyo vitu wanataka hawana wivu hao
 
Back
Top Bottom