Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Ni yuleyule alietelekezwa Queens bridge during 90's unless Ile story iwe ya uongo
 
Inasemwa Mapenzi yamezaliwa Tanga,na wewe uko vizuri kwenye kutoa ushauri na maoni katika mijadala mingi ya aina hii. Hata hivyo nimechagiza tu Kama kautani fulani,siyo tusi mkuu.
Najua huwezi nitukana kijana wangu.
Shida nyingi zinatupa uzoefu.
Bongo kuwa kwenye mahusiano sawa na kuwa chuo kikuu au kununua gari bovu kabisa ..ambalo .kila siku unalipeka gereji kwa fundi.
So ule uzoefu wa kuona fundi anavyotengeneza mdogo mdogo nawe unakuwa fundi bila kupenda🤣🤣
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.

Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.

Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
We si ulimwambia ni mkuu wa kitengo cha masoko pale Voda makao makuu, ulitegemea nini 🤣😂🤣

Ila wanawake ni viumbe ambao wameumbwa kuchukulia mambo serious sana kwa wepesi mno. Yakibumbuluka mwanaume unategemewa na jamii kubeba mzigo, ndiyo maana wanaume tunakufa mapema aisee.
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.

Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.

Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
I really love what you did.
YOU ARE THE MAN,

"we don't buy a cow before we drink it's milk"
 
Si ungemwambia tu aje pekeake... labda ulijitapa sana kua una hela
 
Ndio dawa yao hao,ilinikuta dodoma pale,mtoto kaja na wenzie kijiji kizima wakala wakanywa,nimefika hata sijapumua napewa bili laki sita na ushee,asee nilicho wafanya hawawezi kisahau japo mimi sikuwakimbia,nilimwambia muhudumu anipe bill ya yule dada pekeyake,kama 60 hivi wale wengine nika.wambia siwajui nikasepa nae
 
Ndio dawa yao hao,ilinikuta dodoma pale,mtoto kaja na wenzie kijiji kizima wakala wakanywa,nimefika hata sijapumua napewa bili laki sita na ushee,asee nilicho wafanya hawawezi kisahau japo mimi sikuwakimbia,nilimwambia muhudumu anipe bill ya yule dada pekeyake,kama 60 hivi wale wengine nika.wambia siwajui nikasepa nae
i salute you.
both hands.

hahaha
 
Sielewi kwanini uitwe wewe uje na marafiki zako...tena bila kumwambia aliyekuita yaani unamfanyia sapraiz?
Huu ni utoto ila inategemea na mazingira mliyokutana na huyo main manzi
Hiyo ipo sana kwa mademu wa uswazi, na lengo hasa linakuwa kumkomoa aliyetongoza,
Wakati nina nguvu zangu hicho kijini alichokujanacho huyo main chick nilikuwa navumilia maumivo, then nilikuwa nahakikisha over time napita nacho mmoja baada ya mwingine wa mwisho nampa habari yote,
 
Mimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!!
Ungelala mwenyewe tu
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.

Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.

Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Ulifanya jambo jema kijana wangu. Ifike mahali wanawake wawe na adabu na nidhamu ya kufuat walichoelekezwa. Kukuletea twiga staaz ni upumbavu usiovumilika hata kama ungekuwa na uwezo wa kulipia.

Siku nyingine ukishindwa kuwakimbia. Lipia bill yako na ya dem wako, za rafiki yao watalipa wao au atawalipia yeye.

Mwambie kabisa siku nyingine akiamua kuja na rafiki zake akujulishe mapema na wewe uende na Taifa Staaz yako.

Usindekeze mademu, jihurumie wewe, muda wako na pesa.
 
Back
Top Bottom