Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Hapana umenielewa vibaya Sana,samahani kama umehisi nimekutukana.Kwa hiyo umeamua unitukane mkuu?
Sina ukoo kwa Samia mimi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana umenielewa vibaya Sana,samahani kama umehisi nimekutukana.Kwa hiyo umeamua unitukane mkuu?
Sina ukoo kwa Samia mimi mkuu
Nimekusoma vizuri tuHapana umenielewa vibaya Sana,samahani kama umehisi nimekutukana.
Inasemwa Mapenzi yamezaliwa Tanga,na wewe uko vizuri kwenye kutoa ushauri na maoni katika mijadala mingi ya aina hii. Hata hivyo nimechagiza tu Kama kautani fulani,siyo tusi mkuu.Kwa hiyo umeamua unitukane mkuu?
Sina ukoo kwa Samia mimi mkuu
Najua huwezi nitukana kijana wangu.Inasemwa Mapenzi yamezaliwa Tanga,na wewe uko vizuri kwenye kutoa ushauri na maoni katika mijadala mingi ya aina hii. Hata hivyo nimechagiza tu Kama kautani fulani,siyo tusi mkuu.
Wanaume siku hizi wameshtuka kulisha mchwa wasio na faidaWanaume wenye hela za kusikilizia shida sana.nyumbani kwako watu watakula nyama mbili kweli?
Haha ni yeyeNi yuleyule alietelekezwa Queens bridge during 90's unless Ile story iwe ya uongo
We si ulimwambia ni mkuu wa kitengo cha masoko pale Voda makao makuu, ulitegemea nini 🤣😂🤣Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.
Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.
Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
I really love what you did.Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.
Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.
Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
i salute you.Ndio dawa yao hao,ilinikuta dodoma pale,mtoto kaja na wenzie kijiji kizima wakala wakanywa,nimefika hata sijapumua napewa bili laki sita na ushee,asee nilicho wafanya hawawezi kisahau japo mimi sikuwakimbia,nilimwambia muhudumu anipe bill ya yule dada pekeyake,kama 60 hivi wale wengine nika.wambia siwajui nikasepa nae
Mkuu nin maana ya date?Si ungemwambia tu aje pekeake... labda ulijitapa sana kua una hela
Hiyo ipo sana kwa mademu wa uswazi, na lengo hasa linakuwa kumkomoa aliyetongoza,Sielewi kwanini uitwe wewe uje na marafiki zako...tena bila kumwambia aliyekuita yaani unamfanyia sapraiz?
Huu ni utoto ila inategemea na mazingira mliyokutana na huyo main manzi
Ungelala mwenyewe tuMimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!!
Ulifanya jambo jema kijana wangu. Ifike mahali wanawake wawe na adabu na nidhamu ya kufuat walichoelekezwa. Kukuletea twiga staaz ni upumbavu usiovumilika hata kama ungekuwa na uwezo wa kulipia.Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.
Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.
Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Mwanamke akinifanyia hv naweza muandalia mtego wa mtungoMimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja🤣🤣🤣🤣 kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia🤣🤣🤣🤣!!!!