Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,Huwezi kuwarudisha wala kubadili kiwanja maana at first hujui wamejipangaje. Huwenda nao wapo vizuri mfukoni wametaka tu kampani
Sikupingi mkuu, una point muhimu sana za ki uhalisiaHaha yaani badala ya kuwalisha uanze kuwapa semina?
Mbona utasutwa hapo hapo hutaamini....utasikia mwanaume wewe mbahili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Soma hata michango ya mabinti humu ni ya hovyo kupindukia.
Wamezoea maujinga haya
Hapo sawa best!!!!!Mimi toka nimeoa outing zimekufa zenyewe!!!Nashukuruu sio mtu wa outings, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babee angu had huwa anachukia, anachofanya sasa akitoka out nisilalee had yeye atoke huko afike kwake.
Ananitesaa..
Hatuwezi kuwa na majukumu sawa.🤣🤣🤣🤣
Kama wote mtakuwa na majukumu sawa, then hakuna shida. Mtashughulikiwa wote.
Hii ni mbinu ya kijeshi ilitumiwa na wahehe kumshambulia mjerumani🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Mtoa maada kasema ni out tu hajasema ilikuwa ni date lakiniMkuu,
Kwani wakati wa makubaliano huwa si mtu anasema atakuja peke yake au na wenzake? Sasa kama mlikubaliana mnakutana for a date kwa nini aje na wenzake bila taarifa? Kuwa au kutokuwa na pesa yao kunahusiana vipi na outing ya wawili?
If you understand what a date is, huwezi kuanza kuwaza mambo ya pesa, unawaza sababu za kukutana.
Hizi ni mbinu za kijeshi!!!!Zilitumiwa na wahehe kumshambulia mjerumaniFafanua Mwamba
Tupatie hizo mbinu pm tuwanyooshe wenye visima vya baraka na raha za dunianiHizi ni mbinu za kijeshi!!!!Zilitumiwa na wahehe kumshambulia mjerumani
Mimi nilipa chumba na kondom kaniletea pacti mbili (6pc) kwa hela yangu halafu kaingia mtiniMimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!!
Wadiz dadangu Coca kanikataza hapa🤣🤣🤣🤣!!!!!Nisimwage mchele kwenye kuku wengi🤣🤣🤣Tupatie hizo mbinu pm tuwanyooshe wenye visima vya baraka na raha za duniani
Kaka wewe ulizidisha na kondomu kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi nilipa chumba na kondom kaniletea pacti mbili (6pc) kwa hela yangu halafu kaingia mtini
Kaita mmoja, anakujaje na kijiji?Ulimuita wa nn
Iwe out au date, makubaliano ni tunakutana wawili. Kuleta timu ya basketball ni upumbavu tu, sema mabinti asilimia kubwa vyuoni ndio akili zao, kudate nao inabidi nawe uache akili zako home kwanza.Mtoa maada kasema ni out tu hajasema ilikuwa ni date lakini
Hongeraaa sanaaa.Hapo sawa best!!!!!Mimi toka nimeoa outing zimekufa zenyewe!!!