Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Mkuu niseme tu. Nakupongeza kwa maamuzi magumu ya kumwacha huyo bint ajifunze maana huwezi kualika mtu mmoja aje na kijiji.
Bora angekwambia kuwa atakuja na watu wengine nawe ungejipanga ila kitendo cha kuja na kijiji je kama ungemfuata na usafiri wako wa miguu miwili ingekuwaje kuhusu hao wenzakeee?
Wadada acheni utoto. Ukitolewa out nawe usijifanye kuwatoa mashoga zako out kwa mgongo wa mwingne
Bora angekwambia kuwa atakuja na watu wengine nawe ungejipanga ila kitendo cha kuja na kijiji je kama ungemfuata na usafiri wako wa miguu miwili ingekuwaje kuhusu hao wenzakeee?
Wadada acheni utoto. Ukitolewa out nawe usijifanye kuwatoa mashoga zako out kwa mgongo wa mwingne