Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Kuna wakati michango yenu hamshirikishi akili wala hamtendi haki.

Zaidi mnajikosha muonekane mko matawi.
Maslay queen watatu mjini sehemu ya maana watatumia sio chini ya 30k kila mtu sawa na 90k plus bolt ya kutoka IFM to Tabata go and return kwasasa sio chini ya 40k.
Ukijumlisha na yeye mtoa out 30k=90+30k+40k=+160k na hapo hatujui huyu jamaa uwezo wake ukoje?.

Naelewa binti huenda alihofia usalama wake lakini alipaswa amtaarifu jamaa kuwa anakuja na rafiki yake angalau mmoja.

Wabongo tunajifanya matajiri kulisha kijiji ilhali wazungu wenyewe hawanyi ujinga huu.
1. Binti alipaswa kutoa taarifa.
2. Kijana mdukuzi naye asingepaswa kuwatelekeza angemwita pembeni tu pale walipokuja kwenye bolt kabla ya kwenda walipopanga kwenda angalau wabadili location waende sehemu nafuu kidogo ili aweze kuafodi gharama.

Tuache ujinga huu wakulisha vijiji kwa sifa za kijinga hasa katika hatua zetu za awali katika utafutaji.

3. Mabinti elimikeni pia...toeni taarifa kabla hamjatoka ili mkubaliwe kuleta rafiki zenu au mkataliwe na out ifie juu kwa juu badala ya kuaibishana mbeleni:

NOTE: maslay queens ni zaidi ya kupe...mmoja ataagiza wine 2 za 25k@ na msosi wa 20k hapo ni 70k
Yaani hadi mwisho unaweza kujikuta 250k imekata bila kutarajia.
Wewe ni mkuu wa vita ulieongelea uhalisia wa kinachotokea battlefield. Achana na hawa wanaume suruali wanaojikosha kwa wanawake hapa kana kwamba wao wako na uwezo na kugeuzwa charity case.

Mwanaume hutakiwi kuwa mnafiki kiasi hiki, no wonder Africans hatuendelei aisee unajipanga utoke date unaandaa 100k unakutana na slay queen na convoy lake na mekapu zao kama mazombie. Sema ni aina ya wanawake pia vitoto vya chuo vina huu utamaduni.
 
Wewe ni mkuu wa vita ulieongelea uhalisia wa kinachotokea battlefield. Achana na hawa wanaume suruali wanaojikosha kwa wanawake hapa kana kwamba wao wako na uwezo na kugeuzwa charity case.

Mwanaume hutakiwi kuwa mnafiki kiasi hiki, no wonder Africans hatuendelei aisee unajipanga utoke date unaandaa 100k unakutana na slay queen na convoy lake na mekapu zao kama mazombie. Sema ni aina ya wanawake pia vitoto vya chuo vina huu utamaduni.
Kuna pesa tunazitumia kuonyesha ufahari lkn huwa tunazikumbuka sana tu mkuu.
Mambo ya zungungusha kama tulivyo...pesa huwa haipendi dharau...ukiitumia ndivyo sivyo itakulipa kisasi kwa ukata hutaamini.
Pesa inakulipa kisasi hadi utie adabu
 
Kuna pesa tunazitumia kuonyesha ufahari lkn huwa tunazikumbuka sana tu mkuu.
Mambo ya zungungusha kama tulivyo...pesa huwa haipendi dharau...ukiitumia ndivyo sivyo itakulipa kisasi kwa ukata hutaamini.
Pesa inakulipa kisasi hadi utie adabu
Value for money inapotea kabisa unabaki na majuto tu[emoji28]
 
Hii tabia ya kubebana kikundi wanafanya sababu wanapenda outings,mfano weekend hii mwanakikundi akipata mwaliko anabeba kundi lake wanaibuka. Member mwingine akipata mwaliko hivyo anaalika mwenzie kwahyo inakuwa cycle.
Mara nyingi wanaofanya mdada kama hajakukubali lazima afanye hivi.

Nakumbuka mwaka juzi 2021,Kuna mdada nilianza kudate nae,alkuwa UDSM pale, first time tumekutana kwenye gari mwanza kwenye ofisi ya Kidia One. Alinikuta nipo kwenye foleni,aisee baada ya kumwona ule uzuri wake tu,yaan chap within a fraction of second nilkuwa nshapata plan ya kumpata mtoto mzuri. So,pale nikavunga napokea simu nikatoka nje,yeye kwa kuwa alikuwa nyuma yangu akaje mbele, lengo ili nijue atakata ticket ya wap na Mimi nikate ya uko uko anakoelekea,nilkuwa boya kweli[emoji1787][emoji1787] mwanaume nikafika mlangoni nikarudi kwenye foleni sasa nipo nyuma yake,aisee dada alkuwa ananukia vizuri,Ile harufu ilifanya kukazia wazo langu la kumfuata mpaka anapoelekea.

Imefika zamu yake kukata ticket,aisee hakuna moment maishani mwangu masikio na ubongo vilikuwa na ushirikiano kama siku hiyo.... never ever aisee....aisee nilifurahi sana baada ya sentensi zifuatazo kutoka kwa mkata ticket dada gari ya Dar imebaki na seat 2&3 tu na hiz zimebaki sababu zilkuwa booked ila watu wamecancel safari.

Ilkuwa furaha maradufu sababu na Mimi nlkuwa naelekea dar,kwahyo tupo njia Moja afu seat Moja,pale pale kutokana na umakini niliokuwa nao niliweza kukariri namba yake ya simu na jina lake pale alipoulizwa na mkata ticket. Baada ya kupewa ticket yake cjui alipotelea wapi,na Mimi nikabeba ticket yangu,nikosogea nje nkasave namba nikahakiki namba kupita M-pesa nikaona majina ni Yale Yale.

Usiku nikamtext kumtakia usiku mwema na safar njema baada ya kama nusu saa akareply "Asante,samahan wewe Nan?! Sikumjibu asubuhi kwenye gari tumepanda tukapeana salamu then nikalaza seat kidogo nikafunika sura kwa kofia then nikapga usingiz kwa raha zote sababu yake namba ninayo. Nmekuja shktuka gari ndo inaingia Shy stand. Binti Yuko busy anaangalia series ya "the oval" ndo tukaanza vistory vya hapa na pale.Ikabidi kwanza nitest for the validity nione binti kama Binti ni kauzu au la..nikamwomba anisimulia hyo movie inauhusu Nini,(wakati Mimi nishaiangalia yote).Dada kaanza nisimulia mwanzo mpaka alipoishia,tukaanza urafiki kidogo kidogo.nkawa nshajua ndo anakuja chuo UDSM,anaingia mwaka wa tatu etc kufika Morogoro tukawa kama tumefamiana toka 5yrs ago.

Tumefika mbezi nkamuuliza unaendaje kwako usiku wote huu akadai amezoea na anapoenda sio mbali sana anafika Goba kwa auntie yake then jtatu ndo ataanza harakati za kwenda hostel. Ikabidi pale niwe gentle kidogo Nika request bolt nkapakiza mizigo yake ya yangu nkamwambia nakupeleka Hadi kwenu....Nakumbuka alijibu....Oohh thank you, you're so kind. Hapo sijaomba hata namba Wala Nini tumefka Goba Hadi kwao pale Nikamshushia beki zake,then nikwamwambia hope tuonana tena,mara Auntie yake huyo akafungua geti wakanza mahug yao hapo,Mimi huyo nikarudi kwangu.

Asubuhi nikamtext kumtakia siku njema,hakujibu uzalendo ukanishinda ikabidi nmpigie,akaniuliza ni wap nilipata namba yake nikwambia plan yote niliyofanya Toka kule ofisini kwenye kuchukua ticket,nikaomba kuonana nae akasema atakuwa busy mpaka jumamosi ndo atakuwa free baada ya kumaliza masuala yote ya registration. Week nzima yote tulikuwa kama wapenzi wa muda mrefu kumbe wapi. Katika maongezi nikamuuliza anapenda siku ya date tukutane wap akaniambia napenda kuona maji so sehemu kama beach mahala pake.

Chap nikamcheck dada Fulani hivi mjanja mjanja anipe mwongozo wa restaurant nzuri ambazo zipo maeneo ya beach [emoji3553].Akanipa location moja hyo na price list ya dinner za pale...kuona zile price list niliishiwa nguvu ila ikabdi nipge moyo konde.
Budget pale kwa dinner ambayo ni seafood ni 250k,bahati nzuri kabalance nilkuwa na kama 350k nafanyaje na mtoto seriously nmependa...we only live once,vunja mifupa kama meno ipo.

Jumamosi asubuh akinipgia anadai Yuko free anaenda saloon mwenge so simu atakuwa ameweka pembeni nisiwe na wasi wasi pindi akiwa slow kwenye kujibu text,nikasema worry out mama be safe.
Ametoka saloon akanitumia picha aisee mtoto alkuwa amependeza hadi nikaanza kufeel insecure nkasema nijikaze nisije nikafall deep in love nae maana hapa lazima competition ni Kali sana,,ukizingatia Mimi kapuku. Nikamsifia pale then nikamwambia jioni saa kumi na mbili kamili ntakuja kukupick,tunaenda karambezi for dinner,alifurahi sana.


Sasa picha linaanza muda umefka nmerquest uber hadi location aliyoniambia nitamkuta kufka pale nkampgia simu akasema nakuja nmekuona tayari, nakuja shtuka naona warembo watu na yeye akiwemo,duuh niliishiwa pose chap kwa haraka wazo likanijia nimwoba anioneshe sehemu ambayo kujisaidia haja ndogo. Bahati nzuri pale lilikuwa ni geto la wale wadada wawili nikaingia chap fungua wallet nlkuwa nimebeba 300k.....fasta nikagawa Ile Hela kwenye mafungu mawili 150k Kwa wallet nyingne 150k nakaweka mfuko wa nyuma kabisa ya suruali.

Nimemaliza kupanga budget ya dharura nikarudi tukaanza safari ya kwenda kwenye eneo la tukio mabinti wako busy kujisnap. Ila tayar nilkuwa nimekwazika balaa,mtoto ananimbia kwenye Simu unaongea kweli hapa unajifanya mpole. Tumefka tumekaa kabla mhudumu hajaja nikwambia binti nataka nikachukue vocha kama Kuna maduka ya karibu,nikwamwobe aje pembeni tuongee,tukasogea pembeni kidogo sehem ambayo wale wengne walkuwa hawatuoni nikatoa 100k nikampa,afu nikaondoka nkamwambia ntarudi within 15 minutes.....nilifanya kusudi kuondoka Kwa zile dakka Ili akirudi kwa marafiki zake wajadili jinsi ya kutumia hyo 100k.

Nilizunguka maeneo ya hapo hapo baada ya kama dakka 15 nkarudi nkakuta wameagiza chupa mbili za wine [emoji485].Binti kanitext "are you okay"?! Nikamjibu am okay.
Nikamuuliza mbona mnakunywa wine tu hamna nyama?!! Akasema amebaki na 10k tu kwa ajil ya bajaj kurudi home coz alijua kuwa nmemtelekeza......Duuh nikashtuka kumbe chupa moja ni 45k.....nikamuuliza nyama akasema ni 35k......nikamwambia agiza,waiter akaje tukaagiza na Mimi nkachukua bia zangu mbili jumla 50k pamoja na nyama. Wadada wako enjoy pale,tukapga story baada around saa tatu wakaomba kuondoka nikiwapa go ahead wine ilkuwa imeanza kuwapelekesha. Uber bajaj ilkuja wakaondoka zao na Mimi nikaita zangu bajaji huyo. Kwahyo nkajikuta nmeokoa 100k.

Personally niliona nimewakomoa kumbe wali appreciate sana wakaniona Niko very kind.Next weekend walinialika geto kwahyo nikale ubwabwa mmoja matata sana.
Toka hapo Binti akuwahi kuja na wenzie Tena,nikawa kwanini siku hizi haji nao tena anasema kwa Sasa amenizoea kwa hyo ana haja ya escort.

Kuwatelekeza hawa viumbe kwenye scenerio kama hizo inakuwa umafia wa Hali ya juu sana,Bora ukamchana mkuu wao wa msafara kuwa una bajeti yao afu waone wanajichangaje,kuliko kuwaagizia afu ukale Kona, and by the way ningekimbia siku ile sijui hawa mapacha wangu ningewapata wap?..Mungu ametubariki fraternal twins mimi na dear future wife[emoji847][emoji847][emoji847]
Safi sana
 
Yeah kama upo nje na mishe zako huwezi kupata watu wa haraka haraka wa kwenda na wewe maana kila mtu yupo busy na mambo yake

Ila pia wadada wa uswahilini nao wana hayo mambo maana hawana kazi za kufanya wapo available muda wote
mi mbona sina mishe na hao watu sina jamani
hata ukiniambia mtu mmoja wa kuja nae sina.
 
Kuna pesa tunazitumia kuonyesha ufahari lkn huwa tunazikumbuka sana tu mkuu.
Mambo ya zungungusha kama tulivyo...pesa huwa haipendi dharau...ukiitumia ndivyo sivyo itakulipa kisasi kwa ukata hutaamini.
Pesa inakulipa kisasi hadi utie adabu
"Pesa hulipa kisasi"

Dah nakubaliana na wewe hapa 100% kabisa
 
Hii tabia ya kubebana kikundi wanafanya sababu wanapenda outings,mfano weekend hii mwanakikundi akipata mwaliko anabeba kundi lake wanaibuka. Member mwingine akipata mwaliko hivyo anaalika mwenzie kwahyo inakuwa cycle.
Mara nyingi wanaofanya mdada kama hajakukubali lazima afanye hivi.

Nakumbuka mwaka juzi 2021,Kuna mdada nilianza kudate nae,alkuwa UDSM pale, first time tumekutana kwenye gari mwanza kwenye ofisi ya Kidia One. Alinikuta nipo kwenye foleni,aisee baada ya kumwona ule uzuri wake tu,yaan chap within a fraction of second nilkuwa nshapata plan ya kumpata mtoto mzuri. So,pale nikavunga napokea simu nikatoka nje,yeye kwa kuwa alikuwa nyuma yangu akaje mbele, lengo ili nijue atakata ticket ya wap na Mimi nikate ya uko uko anakoelekea,nilkuwa boya kweli[emoji1787][emoji1787] mwanaume nikafika mlangoni nikarudi kwenye foleni sasa nipo nyuma yake,aisee dada alkuwa ananukia vizuri,Ile harufu ilifanya kukazia wazo langu la kumfuata mpaka anapoelekea.

Imefika zamu yake kukata ticket,aisee hakuna moment maishani mwangu masikio na ubongo vilikuwa na ushirikiano kama siku hiyo.... never ever aisee....aisee nilifurahi sana baada ya sentensi zifuatazo kutoka kwa mkata ticket dada gari ya Dar imebaki na seat 2&3 tu na hiz zimebaki sababu zilkuwa booked ila watu wamecancel safari.

Ilkuwa furaha maradufu sababu na Mimi nlkuwa naelekea dar,kwahyo tupo njia Moja afu seat Moja,pale pale kutokana na umakini niliokuwa nao niliweza kukariri namba yake ya simu na jina lake pale alipoulizwa na mkata ticket. Baada ya kupewa ticket yake cjui alipotelea wapi,na Mimi nikabeba ticket yangu,nikosogea nje nkasave namba nikahakiki namba kupita M-pesa nikaona majina ni Yale Yale.

Usiku nikamtext kumtakia usiku mwema na safar njema baada ya kama nusu saa akareply "Asante,samahan wewe Nan?! Sikumjibu asubuhi kwenye gari tumepanda tukapeana salamu then nikalaza seat kidogo nikafunika sura kwa kofia then nikapga usingiz kwa raha zote sababu yake namba ninayo. Nmekuja shktuka gari ndo inaingia Shy stand. Binti Yuko busy anaangalia series ya "the oval" ndo tukaanza vistory vya hapa na pale.Ikabidi kwanza nitest for the validity nione binti kama Binti ni kauzu au la..nikamwomba anisimulia hyo movie inauhusu Nini,(wakati Mimi nishaiangalia yote).Dada kaanza nisimulia mwanzo mpaka alipoishia,tukaanza urafiki kidogo kidogo.nkawa nshajua ndo anakuja chuo UDSM,anaingia mwaka wa tatu etc kufika Morogoro tukawa kama tumefamiana toka 5yrs ago.

Tumefika mbezi nkamuuliza unaendaje kwako usiku wote huu akadai amezoea na anapoenda sio mbali sana anafika Goba kwa auntie yake then jtatu ndo ataanza harakati za kwenda hostel. Ikabidi pale niwe gentle kidogo Nika request bolt nkapakiza mizigo yake ya yangu nkamwambia nakupeleka Hadi kwenu....Nakumbuka alijibu....Oohh thank you, you're so kind. Hapo sijaomba hata namba Wala Nini tumefka Goba Hadi kwao pale Nikamshushia beki zake,then nikwamwambia hope tuonana tena,mara Auntie yake huyo akafungua geti wakanza mahug yao hapo,Mimi huyo nikarudi kwangu.

Asubuhi nikamtext kumtakia siku njema,hakujibu uzalendo ukanishinda ikabidi nmpigie,akaniuliza ni wap nilipata namba yake nikwambia plan yote niliyofanya Toka kule ofisini kwenye kuchukua ticket,nikaomba kuonana nae akasema atakuwa busy mpaka jumamosi ndo atakuwa free baada ya kumaliza masuala yote ya registration. Week nzima yote tulikuwa kama wapenzi wa muda mrefu kumbe wapi. Katika maongezi nikamuuliza anapenda siku ya date tukutane wap akaniambia napenda kuona maji so sehemu kama beach mahala pake.

Chap nikamcheck dada Fulani hivi mjanja mjanja anipe mwongozo wa restaurant nzuri ambazo zipo maeneo ya beach [emoji3553].Akanipa location moja hyo na price list ya dinner za pale...kuona zile price list niliishiwa nguvu ila ikabdi nipge moyo konde.
Budget pale kwa dinner ambayo ni seafood ni 250k,bahati nzuri kabalance nilkuwa na kama 350k nafanyaje na mtoto seriously nmependa...we only live once,vunja mifupa kama meno ipo.

Jumamosi asubuh akinipgia anadai Yuko free anaenda saloon mwenge so simu atakuwa ameweka pembeni nisiwe na wasi wasi pindi akiwa slow kwenye kujibu text,nikasema worry out mama be safe.
Ametoka saloon akanitumia picha aisee mtoto alkuwa amependeza hadi nikaanza kufeel insecure nkasema nijikaze nisije nikafall deep in love nae maana hapa lazima competition ni Kali sana,,ukizingatia Mimi kapuku. Nikamsifia pale then nikamwambia jioni saa kumi na mbili kamili ntakuja kukupick,tunaenda karambezi for dinner,alifurahi sana.


Sasa picha linaanza muda umefka nmerquest uber hadi location aliyoniambia nitamkuta kufka pale nkampgia simu akasema nakuja nmekuona tayari, nakuja shtuka naona warembo watu na yeye akiwemo,duuh niliishiwa pose chap kwa haraka wazo likanijia nimwoba anioneshe sehemu ambayo kujisaidia haja ndogo. Bahati nzuri pale lilikuwa ni geto la wale wadada wawili nikaingia chap fungua wallet nlkuwa nimebeba 300k.....fasta nikagawa Ile Hela kwenye mafungu mawili 150k Kwa wallet nyingne 150k nakaweka mfuko wa nyuma kabisa ya suruali.

Nimemaliza kupanga budget ya dharura nikarudi tukaanza safari ya kwenda kwenye eneo la tukio mabinti wako busy kujisnap. Ila tayar nilkuwa nimekwazika balaa,mtoto ananimbia kwenye Simu unaongea kweli hapa unajifanya mpole. Tumefka tumekaa kabla mhudumu hajaja nikwambia binti nataka nikachukue vocha kama Kuna maduka ya karibu,nikwamwobe aje pembeni tuongee,tukasogea pembeni kidogo sehem ambayo wale wengne walkuwa hawatuoni nikatoa 100k nikampa,afu nikaondoka nkamwambia ntarudi within 15 minutes.....nilifanya kusudi kuondoka Kwa zile dakka Ili akirudi kwa marafiki zake wajadili jinsi ya kutumia hyo 100k.

Nilizunguka maeneo ya hapo hapo baada ya kama dakka 15 nkarudi nkakuta wameagiza chupa mbili za wine [emoji485].Binti kanitext "are you okay"?! Nikamjibu am okay.
Nikamuuliza mbona mnakunywa wine tu hamna nyama?!! Akasema amebaki na 10k tu kwa ajil ya bajaj kurudi home coz alijua kuwa nmemtelekeza......Duuh nikashtuka kumbe chupa moja ni 45k.....nikamuuliza nyama akasema ni 35k......nikamwambia agiza,waiter akaje tukaagiza na Mimi nkachukua bia zangu mbili jumla 50k pamoja na nyama. Wadada wako enjoy pale,tukapga story baada around saa tatu wakaomba kuondoka nikiwapa go ahead wine ilkuwa imeanza kuwapelekesha. Uber bajaj ilkuja wakaondoka zao na Mimi nikaita zangu bajaji huyo. Kwahyo nkajikuta nmeokoa 100k.

Personally niliona nimewakomoa kumbe wali appreciate sana wakaniona Niko very kind.Next weekend walinialika geto kwahyo nikale ubwabwa mmoja matata sana.
Toka hapo Binti akuwahi kuja na wenzie Tena,nikawa kwanini siku hizi haji nao tena anasema kwa Sasa amenizoea kwa hyo ana haja ya escort.

Kuwatelekeza hawa viumbe kwenye scenerio kama hizo inakuwa umafia wa Hali ya juu sana,Bora ukamchana mkuu wao wa msafara kuwa una bajeti yao afu waone wanajichangaje,kuliko kuwaagizia afu ukale Kona, and by the way ningekimbia siku ile sijui hawa mapacha wangu ningewapata wap?..Mungu ametubariki fraternal twins mimi na dear future wife[emoji847][emoji847][emoji847]
Hizi scenarios zinatokea 2/100. Hongera mkuu kwako imelipa ila kwa wengine ni komesha komoa
 
Kuna pesa tunazitumia kuonyesha ufahari lkn huwa tunazikumbuka sana tu mkuu.
Mambo ya zungungusha kama tulivyo...pesa huwa haipendi dharau...ukiitumia ndivyo sivyo itakulipa kisasi kwa ukata hutaamini.
Pesa inakulipa kisasi hadi utie adabu
Hii ni kweli,pesa ina wivu sana ikiichezea kuna siku itakuchezea
 
Kuna pesa tunazitumia kuonyesha ufahari lkn huwa tunazikumbuka sana tu mkuu.
Mambo ya zungungusha kama tulivyo...pesa huwa haipendi dharau...ukiitumia ndivyo sivyo itakulipa kisasi kwa ukata hutaamini.
Pesa inakulipa kisasi hadi utie adabu
Sheria za pesa ni kwamba ukiipoteza kwa kununua vitu usivyovihitaji kuna siku utauza vitu unavyovihitaji ili upate pesa. Pesa ikipotea kizembe huwa hairudi.
 
Mm situation hii ilishawahi nikuta hapo mji wa Mkwawa japo kidogo iko slight different. Kuna pub moja inaitwa lock down kuna kipindi ilikuwa baab kubwa nimeingia pale nikaendelea na kamnyweso huku nikiambaza kushoto kulia.

Ghafla nikaona mtoto mmoja mkali sana sasa kwakuwa mida ile tayari kichwa kilishawaka nikamfata chap nikampa hi nilimkuta ana windhoek 2 anaendelea kudensi densi basi akawa mkarimu nikamuagizia 2 namm nikaendelea kula weiser.

Basi tukala vituuu kuna muda akaenda washroom kurudi akaja na rafiki yake akanitambulisha sasa sababu alikuwa ashawaka akataka nimpe hisani na rafiki yake nikawa mkarimu waitress akamletea Savannah za kutosha ili kwenda sawa nasisi, yule tag ubavu anakunywa savannah kama maji aisee. Wakaanza vurugu mara tunataka shisha mara wanaagiza kuku mzima na machips kibao wanagusa wanaacha. Muda umeenda saa kumi hiyo.

Baadae yule demu akaniambia nimpe mwenzake 10k ya nauli sababu hana kitu arudi chuo. Ikabidi nimpe tu kwakweli ili namm niende nikaichakate mbususu hii iliyoniingiza hasara kwelikweli.

Tulienda hadi lodge niliyofikia nikachakata viwili chap then bidada akalala usingizi wa kuzima mm nikaweka alarm saa mbili asubuhi nikashtuka nikaoga then nikasepa chap! Ile fedha niliyopanga kumpa 50k ndio aliyotumia mwenzake imeisha hiyo.
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,

Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
 
Kuna wakati michango yenu hamshirikishi akili wala hamtendi haki.

Zaidi mnajikosha muonekane mko matawi.
Maslay queen watatu mjini sehemu ya maana watatumia sio chini ya 30k kila mtu sawa na 90k plus bolt ya kutoka IFM to Tabata go and return kwasasa sio chini ya 40k.
Ukijumlisha na yeye mtoa out 30k=90+30k+40k=+160k na hapo hatujui huyu jamaa uwezo wake ukoje?.

Naelewa binti huenda alihofia usalama wake lakini alipaswa amtaarifu jamaa kuwa anakuja na rafiki yake angalau mmoja.

Wabongo tunajifanya matajiri kulisha kijiji ilhali wazungu wenyewe hawanyi ujinga huu.
1. Binti alipaswa kutoa taarifa.
2. Kijana mdukuzi naye asingepaswa kuwatelekeza angemwita pembeni tu pale walipokuja kwenye bolt kabla ya kwenda walipopanga kwenda angalau wabadili location waende sehemu nafuu kidogo ili aweze kuafodi gharama.

Tuache ujinga huu wakulisha vijiji kwa sifa za kijinga hasa katika hatua zetu za awali katika utafutaji.

3. Mabinti elimikeni pia...toeni taarifa kabla hamjatoka ili mkubaliwe kuleta rafiki zenu au mkataliwe na out ifie juu kwa juu badala ya kuaibishana mbeleni:

NOTE: maslay queens ni zaidi ya kupe...mmoja ataagiza wine 2 za 25k@ na msosi wa 20k hapo ni 70k
Yaani hadi mwisho unaweza kujikuta 250k imekata bila kutarajia.
Halafu Chief hawa madada hawana ubinadamu kabisa...unaweza kuwahudumia hapo na kulipa bills zote,wap wakiondoka wataenda kuwasimulia wenzao kwamba tumepata danga tumelichuna...bora jamaa alivyowakimbia..hawana Wema hao
 
Mm situation hii ilishawahi nikuta hapo mji wa Mkwawa japo kidogo iko slight different. Kuna pub moja inaitwa lock down kuna kipindi ilikuwa baab kubwa nimeingia pale nikaendelea na kamnyweso huku nikiambaza kushoto kulia.

Ghafla nikaona mtoto mmoja mkali sana sasa kwakuwa mida ile tayari kichwa kilishawaka nikamfata chap nikampa hi nilimkuta ana windhoek 2 anaendelea kudensi densi basi akawa mkarimu nikamuagizia 2 namm nikaendelea kula weiser.

Basi tukala vituuu kuna muda akaenda washroom kurudi akaja na rafiki yake akanitambulisha sasa sababu alikuwa ashawaka akataka nimpe hisani na rafiki yake nikawa mkarimu waitress akamletea Savannah za kutosha ili kwenda sawa nasisi, yule tag ubavu anakunywa savannah kama maji aisee. Wakaanza vurugu mara tunataka shisha mara wanaagiza kuku mzima na machips kibao wanagusa wanaacha. Muda umeenda saa kumi hiyo.

Baadae yule demu akaniambia nimpe mwenzake 10k ya nauli sababu hana kitu arudi chuo. Ikabidi nimpe tu kwakweli ili namm niende nikaichakate mbususu hii iliyoniingiza hasara kwelikweli.

Tulienda hadi lodge niliyofikia nikachakata viwili chap then bidada akalala usingizi wa kuzima mm nikaweka alarm saa mbili asubuhi nikashtuka nikaoga then nikasepa chap! Ile fedha niliyopanga kumpa 50k ndio aliyotumia mwenzake imeisha hiyo.
Kazi nzuri
 
Nauli walienda kwa pamoja. Kukimbia kunatokana na woga sababu huna pesa ila unaweza kuwa na pesa na ukabaki na ukalipa sahani yako, sahani ya mwenzako kisha ukaondoka.

Kuna scenario nilihadithiwa mzungu mmoja alifanya hivi bila kujua kuwa wale wote walitegemea alipe bili.

Yeye akaweka mezani akasema
"I have to be somewhere guys, let's keep in touch" akaacha pesa yake mezani ila bili ilibaki kubwa sana.
Walienda pomoja ila pesa ya Bolt alilipa mwamba...kwa kifupi mwamba ametuwakilisha,umepewa kadi ya mwariko wa mtu mmoja mnakuja watatu? Lazima mjifunze kuheshimu budget za watu.
 
Back
Top Bottom