Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Jumapili jioni nilipigiwa simu ya mzinga na pisi ya IFM ipo mwaka wa 2. Ikaniambia ina dharura.
Ikaniambia imekuja Tabata, naunganisha dots.
Kama ulikua na pisi nyeupe sana ina asili ya Kilimanjaro. Umenitia hasara ya kulipia outing yako.
 
Mimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!!
Hii imenitokea mara 2 mkuu.
Mara ya tatu sikukubali nilimla demu akiwa period kwa kutumia vile vijifuko vya lailoni
 
Narudia tena mwamba ameupiga mwingi sana kama Legendary Pele😄
 
Kuepuka mizinga, nawashauri.

Acheni ubebi ubebi wa out na mablaa mablaaah.

Demu mwambie ajue kua unahitaji K. Kwamba anakuja muonane kwaajili ya kutiana .

Usifanye Ile ya Baby Leo tutoke out kwanza alafu sex siku nyingine

Maninaaa zakoooo ,utapururwa na kizazi Cha nyoka 😂😂😂😂
 
Dawa ni kula chocho tu kama baharia hapo😅
 
Kama ni issue ya usalama unampanga tu mapema inaeleweka

Siku hizi unaweza kama unahofia usalama wako sehemu unayoenda unaweza ukamtumia mtu live location yako akawa anafuatilia ulipo incase of anything unamtaarifu chap tu anafika ulipo
watakwambia hawajui [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa kwanini hukuwaambia pale pale kwamba bakini

Icho alichokifanya ndo sahihi kwa nn wenyewe ndo hawa kutoa taarifa mapema jamaa ajipange...

Jamaa itakua alijua wanajitegemea ataanzaje kuwaambia si wangemshamgaa [emoji28]
 
Karma ni hadithi za kusadikika acha kukariri
 
Sielewi kwanini uitwe wewe uje na marafiki zako...tena bila kumwambia aliyekuita yaani unamfanyia sapraiz?
Huu ni utoto ila inategemea na mazingira mliyokutana na huyo main manzi
Wewe ushapevuka hauwezi fanya hivyo ila wenzio wengi wanafanya hivyo.
 
Njaa nazo huwasumbua.
Njaa na ushamba pia. Mtu mdogo wake anakaribia kuwa na birthday atakuambia mnunulie shemeji yako cake na anakulazimisha kabisa wakati wewe si baba wa huyo mtoto. Yaani atataka birthday ya nduguye ufanye wewe wakati huyo ndugu yake ana wazazi na anapigwa miti na wanaume wengine ambao hawana faida kwake ila mwisho wa siku zigo unatupiwa wewe. Kumamake demu wa namna hii namkubalia tu ila mwisho wa siku sitekelezi chochote, namuacha gizani na haibu yake. Pumbavu!
 
Wewe ushapevuka hauwezi fanya hivyo ila wenzio wengi wanafanya hivyo.
Unajua haiingii akilini.na si uungwana.
Mtu kaandaa bajeti,maongezi,mazingira ya kukutana wawili aafu unamjia na furushi...hata nilivyokua teenager sijawah fanya kitu kama hicho..
 
Mkule na mdogo wake ili ajue uchungu wa wewe kuhudumia mali ya wengine 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…