Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Pia ukiamua kumtoa mwanamke out usiyemjua mpeleke sehemu unayoimudu sababu huna namna ya kucomfirm tabia zake za matumizi. Mpeleke sehemu hata akiwaza kukukomoa ataishia kuvimbiwa aharishe ila wewe utaweza kulipa. Wengine hutembelea eneo kabla ya kwenda na shemeji, anaagiza chai kisha anapitia menu na kuuliza info zote kuhusu gharama za vinywaji.

Kuvimba na kuingia five star bila kuweka wazi spending capacity yako kwa siku hiyo huku unasali asiagize kitu kikubwa nao ni ushamba.
Kwel mkuu.
Ila mkiwa watu wawil ambao inakuwa ni hesabu yako sehemu nying unaweza kumudu maana unajua pale gharama n hizi.
Wakiongezeka watu na huna taarifa ndipo unawatelekeza kama mkuu mwenzetu dadekiii mie naunga mkono yan sipendi upumbavuuu🤣🤣
 
Ujafikia umri wakufanya mapenzi first date unataka aje pekee anajuaje wewe kama ni mtu mwema unaushamba sana mtoto wa kiume unakuja kuadithia upuuzi hapa katika shamba la wanaume?

Wewe unaona kama umewakomoa yawezekana kuna mahali walipata changamoto kutokana na hilo ulilolifanya! Basi nikwambie KARMA NEVER SLEEP,KARMA IS BITCH KARMA WILL REVENGE IN OTHER WAY! Ndiyo ujumbe nakuachia.
Umeongea kwa hisia kali sana.

What if jamaa aliyewakimbia hao mademu ni KARMA mwenyewe unayemzungumzia.???

Dua la kuku halimpati mweweeee. Mpaka msichana kukubali kutoka na mwanaume asiyemjua ndani ya masaa yasiyozidi 24 huyo sio msichana wa kusema KARMA italipiza. Huyo ni mcharuko na ameshazoea.


Safi sana kaka,
 
Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM. Tukabadilishana namba, nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out

Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili. Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.

Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.

Wakaagiza savana, mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza. Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.

Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu

Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,

Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Ishawahi kunitokea hii pande za kijichi nimemwita manzi turn up pale akaja na wenzake wawili na mimi nikawashtua wanangu wawili fasta kwaiyo tukagawana pale kila mmoja anahudumia jimbo lake., tangu siku iyo nikimwita sehemu namwambia mapema kabisa aje peke ake
 
Mwaka jana mwanzon hivi nilieanda hotel flan hvi iko magomen sasa yule jama wa reception kashanizoea so nikawa nalipia room jama akaanza kunisimulia mkasa moja hivi ulitokea pale yan kuna jama alifika akalipia room mixer na msosi wa maana na pombe za kutosha demu hakuja wala nini jama ikabidi agawe kile chakula chote na pombe maana alikuwa ganzi sasa ikapita siku kadha yule dem nay akaja mshikaj nay kamuambia aagize vitu so dem akafanya hvyo duhhhh mchizi nay hakutokea dem alitukana matusi yot mapya na zamani
 
Kwel mkuu.
Ila mkiwa watu wawil ambao inakuwa ni hesabu yako sehemu nying unaweza kumudu maana unajua pale gharama n hizi.
Wakiongezeka watu na huna taarifa ndipo unawatelekeza kama mkuu mwenzetu dadekiii mie naunga mkono yan sipendi upumbavuuu🤣🤣
Hahaha. Kwangu mm Kukimbia hapana ila bili sitalipa.
 
Ishawahi kunitokea hii pande za kijichi nimemwita manzi turn up pale akaja na wenzake wawili na mimi nikawashtua wanangu wawili fasta kwaiyo tukagawana pale kila mmoja anahudumia jimbo lake., tangu siku iyo nikimwita sehemu namwambia mapema kabisa aje peke ake
HAwana akili pumbafu zao. Unatolewa out nawe unamtoa out mtu kwa mgongo wa mwingine
 
Ni yale yale tuu
Haha, siyo yale yale boss. Anayekimbia ni mkosaji, huwezi kimbia kimbia kama huna kosa

Mfano bili imekuja kubwa, meneja kaamua akuabishe, kawafungia mabinti na kuchukua cctv na kupeleka polisi ww utajitetea kwann ulikimbia bili yako?
 
Haha, siyo yale yale boss. Anayekimbia ni mkosaji, huwezi kimbia kimbia kama huna kosa

Mfano bili imekuja kubwa, meneja kaamua akuabishe, kawafungia mabinti na kuchukua cctv na kupeleka polisi ww utajitetea kwann ulikimbia bili yako?
Hakuna kesi kama hiyo wataambiwa waache simu zao,maana utakuta kama ni polisi nae yalishamkuta
 
Hakuna kesi kama hiyo wataambiwa waache simu zao,maana utakuta kama ni polisi nae yalishamkuta
sawa, Ila kuna management ambazo hawaitaji simu maana hawana maduka ya simu kwamba wataziuza, wao management inatakiwa tu ifile report ya kilichotokea na hatua ilizochukua. Then wahusika watapambana na polisi.

Halafu hilo la polisi kuwa yalishamkuta halina nguvu saana maana hata fumanizi, kukwapua kuna polisi yalishawakuta na yakifika mezani kwao wanayafanyia kazi haswa.

All in all kama una kiasi cha fedha kilichokutosha ww huna haja ya kukimbia. Maoni binafsi lakini. Ww unaweza kukimbia tu.
 
Haha, siyo yale yale boss. Anayekimbia ni mkosaji, huwezi kimbia kimbia kama huna kosa

Mfano bili imekuja kubwa, meneja kaamua akuabishe, kawafungia mabinti na kuchukua cctv na kupeleka polisi ww utajitetea kwann ulikimbia bili yako?
Mkuu kukimbia ni salama.zaid kuliko kuanza kupambana na hao watu. Hujawahi ona au kisikia malaya akiaibisha mtuu?
Ukikimbia unakuwa umeepusha mengi
 
Mkuu kukimbia ni salama.zaid kuliko kuanza kupambana na hao watu. Hujawahi ona au kisikia malaya akiaibisha mtuu?
Ukikimbia unakuwa umeepusha mengi
Sasa kwann nijitengenezee mazingira ya kuketi na malaya ili nikimbie? Unless umri bado ni mdogo sana below 30. Ila kama ni mtu mzima, hili sio suala la kukuabisha kabisa. Mapema tu utachukua hatua, kabla hata ya kuketi nao na kuanza kuagiza.
 
Sasa kwann nijitengenezee mazingira ya kuketi na malaya ili nikimbie? Unless umri bado ni mdogo sana below 30. Ila kama ni mtu mzima, hili sio suala la kukuabisha kabisa. Mapema tu utachukua hatua, kabla hata ya kuketi nao na kuanza kuagiza.
kuliko kuzozana mie naona bora kuondoka maana maswala ya kuanza kujielezea kuwa mm sio naowalipia hawaa n mambo mengi
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ishawahi kunitokea hii pande za kijichi nimemwita manzi turn up pale akaja na wenzake wawili na mimi nikawashtua wanangu wawili fasta kwaiyo tukagawana pale kila mmoja anahudumia jimbo lake., tangu siku iyo nikimwita sehemu namwambia mapema kabisa aje peke ake
nimecheka kinoma
 
kuliko kuzozana mie naona bora kuondoka maana maswala ya kuanza kujielezea kuwa mm sio naowalipia hawaa n mambo mengi
Unajua mkuu malaya wanajulikana. Pale mnapokutana tu utajua hili ni kundi la malaya. Sasa mazingira ya maamuzi utakayochukua ndo yataamua aibu utakayoipata.
 
Back
Top Bottom