Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Wanaume wanazidi kupungua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni ushamba wa miaka 1980s.
Sasa hivi hatuko hukoo wee mjinga
Waligoma Serengeti light wanasena hazina hadhi yao....ungewanunulia Serengeti light
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] ss komwe lake limekujaje mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana una komwe
Kuna wakati michango yenu hamshirikishi akili wala hamtendi haki.Ujafikia umri wakufanya mapenzi first date unataka aje pekee anajuaje wewe kama ni mtu mwema unaushamba sana mtoto wa kiume unakuja kuadithia upuuzi hapa katika shamba la wanaume?? Wewe unaona kama umewakomoa yawezekana kuna mahali walipata changamoto kutokana na hilo ulilolifanya! Basi nikwambie KARMA NEVER SLEEP,KARMA IS BITCH KARMA WILL REVENGE IN OTHER WAY! Ndiyo ujumbe nakuachia.
Wote wana makosa hasa huyo binti ni mjinga zaidi..mtu 3??? Si bora angekuja na mmoja?Wanaume waliozoea kunyweshwa watakudhihaki
hakimbii bili ya mtu alikubaliana nae..sio uletewe timu ikuumize...huna akili wewe sio bureMwanaume hakimbii bili, umetudhalilisha wanaume. [emoji4]
Naona wewe mshamba zaidi. Nyie ndio wale wa zungusha tena huku unaishi nyumba ya kuoanga room 2 na familia. Unazungusha baa lkn nyumbani wanakula mchicha.Mkuu acha ushamba asee
Mimi huwa nakuwa open from the very biginning. Namwambia asije na gengeWote wana makosa hasa huyo binti ni mjinga zaidi..mtu 3??? Si bora angekuja na mmoja?
Hii koment unanfurahisha nani humu?Mwanaume hakimbii bili, umetudhalilisha wanaume. 😊
Umetisha mwamba hiyo nzuriWeekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.
Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.
Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?